Ugali ni mlo hatari kwa Watanzania, ndio ukweli usiosemwa

ngara23

JF-Expert Member
Aug 31, 2019
2,376
5,222
Watu wengi wanaamini ugali ndio chakula pekee cha kuupa mwili nguvu na afya njema lakini si kweli

Ugali ni mlo hatari ni kama sumu ndio maana hata wanyama wachoyo kama mbwa, nguruwe, paka, nk. Hawana akili lakini katu huwakuti wakila ugali maana ni chakula kisicho na nutrients zozote mwilini.

Hapa Tanzania jamii na makabila makabila makubwa hatupendelei ugali mfano sisi watu wa mkoa wa Kagera, Moshi(wachaga) na Mbeya hawali ugali lakini Tanzama mikoa duni kama Dodoma, Singida, Lindi, na watu wa Pwani wala ugali

Wenzetu wamataifa mengine wana afya afya na wala hawajui ugali ni nini Tazama wenzetu kutoka west Africa hawali maugali kama Watanganyika wana body zimejengeka.

Waganda, Wakenya, Wanyarwandwa hawali ugali. Mtu ukila ugali kwanza unalewa kama umepiga jibapa la Konyagi masaa mawili, ukila ugali wa Mara digestion ni ngumu mwilini chakula hakushuki hupati choo siku mbili, sasa hicho chakula au uchafu tu.

Wazungu na warabu wako vizuri kiafya wala hawayajui maugali ni nini wao wanajilia ngano, wali, nyama na maziwa, sisi Watanganyika kutwa usiku tunakula maugali na milenda kama tumerogwa

Madhara ya ugali kwa watu wetu, tumekosa washiriki wazuri kwenye michezo yani leo umpeleke Kibwana amkabe Sadio Mane AFCON haiwezekani.

Watoto hawana akili mashuleni wapo tu wamechoka yaani wamelewa chakali shuleni hawaewi kisa kula maugali.

Miili kama midogo kama digidigi unakuta mwanaume Dar anavamiwa na panya road anajificha kisa kula maugali

Sipendi ugali nakushauri usije ukala haya sumu ya akili na mwili ugali ni sumu kali

Nikiwa Rais nitapiga marufuku ugali

#kataa ugali Mtanganyika
 
Na ukisoma historia zinadia kuwa kabla ya wakoloni kuja Afrika, Afrika haikuwa na utamaduni wa kula ugali.

Kwa hiyo ujio wa wakaloni ndio mwanzo wa ugali.

Kabla ya wakoloni Afrika ilikuwa na wazee timamu sana kwenye kichwa ila hayo yote yalikuja ku change ghafla baada ya ugali kuwasili.

Ukifanya tafakuri ya kina utaona wakoloni walitumia ugali kama bio weapon ya kuwadhoofisha wazee wetu kiakili.

Na sehemu wakoloni waliyokuja kumaliza mchezo kwa kuwavuruga akili mazima wazee wetu ni pale walipoingia porini kutafuta majani yanayoteleza na kuyapa jina la mlenda na kufanya hiyo ndio combinations bora ya mlo wa ugali.

Baada ya hapo ndio tumefikia hapa tulipo kila mtu amepoteana, tumekata ringi hatuna dira.

And sometimes if we're being honest, we gotta admit to speak the truth, that the world is better off without us.
 
Sina uhakika kuhusu faida za ugali mwilini, ila umedanganya kuhusu mataifa mengine kula ugali. Africa nzima chakula kikuu ni ugali kama unasema Nigeria, Ghana, Cameroon na west kwa ujumla hawali ugali basi inaonekana hujasafiri kwenda popote. Halafu hujui hata Corn flakes, pop corn 🌽 wanazobugia wazungu ni mahindi hayohayo tofauti ni mbeguna mapishi tu?.. kama ugali ungekuwa na shida yoyote basi hata shuleni na vyuoni kusingekuwa na wakufunzi, maana wote wamelelewa na ugali na maharage. Sema nini, unaonekana una ulimbukeni fulani hivi..
 
Na ukisoma historia zinadia kuwa kabla ya wakoloni kuja Afrika, Afrika haikuwa na utamaduni wa kula ugali.

Kwa hiyo ujio wa wakaloni ndio mwanzo wa ugali.

Kabla ya wakoloni Afrika ilikuwa na wazee timamu sana kwenye kichwa ila hayo yote yalikuja ku change ghafla baada ya ugali kuwasili.

Ukifanya tafakuri ya kina utaona wakoloni walitumia ugali kama bio weapon ya kuwadhoofisha wazee wetu kiakili.

Na sehemu wakoloni waliyokuja kumaliza mchezo kwa kuwavuruga akili mazima wazee wetu ni pale walipoingia porini kutafuta majani yanayoteleza na kuyapa jina la mlenda na kufanya hiyo ndio combinations bora ya mlo wa ugali.

Baada ya hapo ndio tumefikia hapa tulipo kila mtu amepoteana, tumekata ringi hatuna dira.

And sometimes if we're being honest, we gotta admit to speak the truth, that the world is better off without us.
Nini kilitangulia kati ya wakoloni na kilimo cha mahindi,.!?,nyie watu mna matatizo kichwani hata kutumia google hamjui. Ila mna justify upumbavu wenu kwasababu nyepesi nyepesi..
 
Watu wengi wanaamini ugali ndo chakula pekee cha kuupa mwili nguvu na afya njema lakini si kweli
Ugali ni mlo hatari ni kama sumu ndo maana hata wanyama wachoyo kama mbwa, nguruwe, paka, nk.

Hawana akii lakini katu huwakuti wakila ugali maana ni chakula kisicho na nutrients zozote mwilini.

Hapa Tanzania jamii na makabila makabila makubwa hatupendelei ugali mfano sisi watu wa mkoa wa kagera, Moshi(wachaga) na Mbeya hawali ugali lakini Tanzama mikoa duni kama Dodoma, Singida, Lindi, na watu wa pwani wala ugali

Wenzetu wamataifa mengine wana afya afya na wala hawajui ugali ni nini Tazama wenzetu kutoka west Africa hawali maugali kama Watanganyika wana body zimejengeka.

Waganda, Wakenya, Wanyarwandwa hawali ugali. Mtu ukila ugali kwanza unalewa kama umepiga jibapa la Konyagi masaa mawili, ukila ugali wa Mara digestion ni ngumu mwilini chakula hakushuki hhupati choo siku mbili, sasa hicho chakula au uchafu tu.

Wazungu na warabu wako vizuri kiafya wala hawayajui maugali ni nini wao wanajilia ngano, wali, nyama na maziwa, sisi Watanganyika kutwa usiku tunakula maugali na milenda kama tumerogwa

Madhara ya ugali kwa watu wetu, tumekosa washiriki wazuri kwenye michezo yani leo umpeleke Kibwana amkabe Sadio Mane AFCON haiwezekani.

Watoto hawana akili mashuleni wapo tu wamechoka yaani wamelewa chakali shuleni hawaewi kisa kula maugali.

Miili kama midogo kama digidigi unakuta mwanaume Dar anavamiwa na panya road anajificha kisa kula maugali

Sipendi ugali nakushauri usije ukala haya sumu ya akili na mwili ugali ni sumu kali

Nikiwa Rais nitapiga marufuku ugali

#kataa ugali Mtanganyika

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe na kina adriz mnaokula urojo mna nini?
 
Nini kilitangulia kati ya wakoloni na kilimo cha mahindi,.!?,nyie watu mna matatizo kichwani hata kutumia google hamjui. Ila mna justify upumbavu wenu kwasababu nyepesi nyepesi..
Asili ya mahindi ni Amerika ya kati na Mexico.

Hata ukiangalia katika nchi zenye uzalishaji wa mahindi kidunia utaona katika nchi 15, ni nchi 3 tu ambazo ni za Afrika.

Nazo hizo zimeshika nafasi ya mwishoni.
Screenshot_20240326-013753.png



Mahindi yalikuja Afrika karne ya saba yakianzia Pwani ya Afrika.

Kabla ya karne ya saba, Afrika hakukuwa na kitu kinachoitwa mahindi.
 
Watu wengi wanaamini ugali ndo chakula pekee cha kuupa mwili nguvu na afya njema lakini si kweli
Ugali ni mlo hatari ni kama sumu ndo maana hata wanyama wachoyo kama mbwa, nguruwe, paka, nk.

Hawana akii lakini katu huwakuti wakila ugali maana ni chakula kisicho na nutrients zozote mwilini.

Hapa Tanzania jamii na makabila makabila makubwa hatupendelei ugali mfano sisi watu wa mkoa wa kagera, Moshi(wachaga) na Mbeya hawali ugali lakini Tanzama mikoa duni kama Dodoma, Singida, Lindi, na watu wa pwani wala ugali

Wenzetu wamataifa mengine wana afya afya na wala hawajui ugali ni nini Tazama wenzetu kutoka west Africa hawali maugali kama Watanganyika wana body zimejengeka.

Waganda, Wakenya, Wanyarwandwa hawali ugali. Mtu ukila ugali kwanza unalewa kama umepiga jibapa la Konyagi masaa mawili, ukila ugali wa Mara digestion ni ngumu mwilini chakula hakushuki hhupati choo siku mbili, sasa hicho chakula au uchafu tu.

Wazungu na warabu wako vizuri kiafya wala hawayajui maugali ni nini wao wanajilia ngano, wali, nyama na maziwa, sisi Watanganyika kutwa usiku tunakula maugali na milenda kama tumerogwa

Madhara ya ugali kwa watu wetu, tumekosa washiriki wazuri kwenye michezo yani leo umpeleke Kibwana amkabe Sadio Mane AFCON haiwezekani.

Watoto hawana akili mashuleni wapo tu wamechoka yaani wamelewa chakali shuleni hawaewi kisa kula maugali.

Miili kama midogo kama digidigi unakuta mwanaume Dar anavamiwa na panya road anajificha kisa kula maugali

Sipendi ugali nakushauri usije ukala haya sumu ya akili na mwili ugali ni sumu kali

Nikiwa Rais nitapiga marufuku ugali

#kataa ugali Mtanganyika

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuleni kuku, mayai, mboga, samaki, maziwa.
 
Watu wengi wanaamini ugali ndo chakula pekee cha kuupa mwili nguvu na afya njema lakini si kweli
Ugali ni mlo hatari ni kama sumu ndo maana hata wanyama wachoyo kama mbwa, nguruwe, paka, nk.

Hawana akii lakini katu huwakuti wakila ugali maana ni chakula kisicho na nutrients zozote mwilini.

Hapa Tanzania jamii na makabila makabila makubwa hatupendelei ugali mfano sisi watu wa mkoa wa kagera, Moshi(wachaga) na Mbeya hawali ugali lakini Tanzama mikoa duni kama Dodoma, Singida, Lindi, na watu wa pwani wala ugali

Wenzetu wamataifa mengine wana afya afya na wala hawajui ugali ni nini Tazama wenzetu kutoka west Africa hawali maugali kama Watanganyika wana body zimejengeka.

Waganda, Wakenya, Wanyarwandwa hawali ugali. Mtu ukila ugali kwanza unalewa kama umepiga jibapa la Konyagi masaa mawili, ukila ugali wa Mara digestion ni ngumu mwilini chakula hakushuki hhupati choo siku mbili, sasa hicho chakula au uchafu tu.

Wazungu na warabu wako vizuri kiafya wala hawayajui maugali ni nini wao wanajilia ngano, wali, nyama na maziwa, sisi Watanganyika kutwa usiku tunakula maugali na milenda kama tumerogwa

Madhara ya ugali kwa watu wetu, tumekosa washiriki wazuri kwenye michezo yani leo umpeleke Kibwana amkabe Sadio Mane AFCON haiwezekani.

Watoto hawana akili mashuleni wapo tu wamechoka yaani wamelewa chakali shuleni hawaewi kisa kula maugali.

Miili kama midogo kama digidigi unakuta mwanaume Dar anavamiwa na panya road anajificha kisa kula maugali

Sipendi ugali nakushauri usije ukala haya sumu ya akili na mwili ugali ni sumu kali

Nikiwa Rais nitapiga marufuku ugali

#kataa ugali Mtanganyika

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Watu wengi wanaamini ugali ndo chakula pekee cha kuupa mwili nguvu na afya njema lakini si kweli
Ugali ni mlo hatari ni kama sumu ndo maana hata wanyama wachoyo kama mbwa, nguruwe, paka, nk.

Hawana akii lakini katu huwakuti wakila ugali maana ni chakula kisicho na nutrients zozote mwilini.

Hapa Tanzania jamii na makabila makabila makubwa hatupendelei ugali mfano sisi watu wa mkoa wa kagera, Moshi(wachaga) na Mbeya hawali ugali lakini Tanzama mikoa duni kama Dodoma, Singida, Lindi, na watu wa pwani wala ugali

Wenzetu wamataifa mengine wana afya afya na wala hawajui ugali ni nini Tazama wenzetu kutoka west Africa hawali maugali kama Watanganyika wana body zimejengeka.

Waganda, Wakenya, Wanyarwandwa hawali ugali. Mtu ukila ugali kwanza unalewa kama umepiga jibapa la Konyagi masaa mawili, ukila ugali wa Mara digestion ni ngumu mwilini chakula hakushuki hhupati choo siku mbili, sasa hicho chakula au uchafu tu.

Wazungu na warabu wako vizuri kiafya wala hawayajui maugali ni nini wao wanajilia ngano, wali, nyama na maziwa, sisi Watanganyika kutwa usiku tunakula maugali na milenda kama tumerogwa

Madhara ya ugali kwa watu wetu, tumekosa washiriki wazuri kwenye michezo yani leo umpeleke Kibwana amkabe Sadio Mane AFCON haiwezekani.

Watoto hawana akili mashuleni wapo tu wamechoka yaani wamelewa chakali shuleni hawaewi kisa kula maugali.

Miili kama midogo kama digidigi unakuta mwanaume Dar anavamiwa na panya road anajificha kisa kula maugali

Sipendi ugali nakushauri usije ukala haya sumu ya akili na mwili ugali ni sumu kali

Nikiwa Rais nitapiga marufuku ugali

#kataa ugali Mtanganyika

Sent using Jamii Forums mobile app
Ijapokuwa kuna chembechembe za kweli, hii mada yako ni uongo kwa asilimia karibu 78.

1. Ugali ni bora kama unga haujakobolewa, unga ukikobolewa unapoteza angalau 75% ya virutubisho vyake.

2. Ugali ni chakula bora sana, ni chanzo kikubwa cha starch(wanga), ambayo humeng'enywa kutengeneza glucose. Kwa bahati mbaya, wengi wamezoea kula kiasi kikubwa sana cha ugali kuliko uhitaji wa miili yao. Hili linasababisha shibe inayoambatana na usingizi mzito na kuchoka kwa mwili kutokana na mwili kutumia nguvu nyingi kwenye kumeng'enya starch.

3. Changamoto kubwa zaidi kwenye ugali ipo kwenye kutokausha maindi vzuri ndio yahifadhiwe. Hili linasababisha maindi mengine kuharibika kwa kupata cyanide. Maindi haya yakikobolewa, ugali huwa hatarishi kama chakula.

4. It is fiber rich delicasy, so it prevents constipation(nnya laiiiiniii.)

5. Inasaidia kwenye emeng'enyaji wa chakula kutokana na utajiri wake wa fibres.

6.ugali una utajiri wa proteins ambazo ni muhimu kwenye kujenga afya bora.

7. Ulaji wa ugali haswa ambao haijakobolewa, husaidia kwenye kujenga ngozi bora(ndio maana unapendwa na Wanawake) na madini yaliyopo ndani yake, hutumiwa kuboresha afya kwa mlaji.

Juu ya yote, jamii kadhaa za Kenya kama wajaluo, wakisii, wakamba pamoja na waluhya wanapenda ugali kupitiliza. So kusema wakenya hawapendelei ugali ni unafki.
Mwisho, usikilaumu chakula. Jilaumu wewe kwa kushindilia ugali mwingi kuliko mahitaji ya mwili wako. Ila ugali ni chakula bora sana na ni sehemu ya maisha yetu ya kila siku.
 
Watu wengi wanaamini ugali ndo chakula pekee cha kuupa mwili nguvu na afya njema lakini si kweli
Ugali ni mlo hatari ni kama sumu ndo maana hata wanyama wachoyo kama mbwa, nguruwe, paka, nk.

Hawana akii lakini katu huwakuti wakila ugali maana ni chakula kisicho na nutrients zozote mwilini.

Hapa Tanzania jamii na makabila makabila makubwa hatupendelei ugali mfano sisi watu wa mkoa wa kagera, Moshi(wachaga) na Mbeya hawali ugali lakini Tanzama mikoa duni kama Dodoma, Singida, Lindi, na watu wa pwani wala ugali

Wenzetu wamataifa mengine wana afya afya na wala hawajui ugali ni nini Tazama wenzetu kutoka west Africa hawali maugali kama Watanganyika wana body zimejengeka.

Waganda, Wakenya, Wanyarwandwa hawali ugali. Mtu ukila ugali kwanza unalewa kama umepiga jibapa la Konyagi masaa mawili, ukila ugali wa Mara digestion ni ngumu mwilini chakula hakushuki hhupati choo siku mbili, sasa hicho chakula au uchafu tu.

Wazungu na warabu wako vizuri kiafya wala hawayajui maugali ni nini wao wanajilia ngano, wali, nyama na maziwa, sisi Watanganyika kutwa usiku tunakula maugali na milenda kama tumerogwa

Madhara ya ugali kwa watu wetu, tumekosa washiriki wazuri kwenye michezo yani leo umpeleke Kibwana amkabe Sadio Mane AFCON haiwezekani.

Watoto hawana akili mashuleni wapo tu wamechoka yaani wamelewa chakali shuleni hawaewi kisa kula maugali.

Miili kama midogo kama digidigi unakuta mwanaume Dar anavamiwa na panya road anajificha kisa kula maugali

Sipendi ugali nakushauri usije ukala haya sumu ya akili na mwili ugali ni sumu kali

Nikiwa Rais nitapiga marufuku ugali

#kataa ugali Mtanganyika

Sent using Jamii Forums mobile app
Ungejipanga vizuri kabla ya kuandika, siwezi kuamini kuwa wasukuma, wanyamwezi na watu wa mikoa ya Mara na Singida ni makabila madogo! Hawa wote wala ugali.
Zambia ugali mara tatu kwa siku na Malawi ni wala ugali, Afrika Magharibi wala ugali wote hawa tofauti ni aina ya unga wanaotumia.
 
Back
Top Bottom