Hahahaah hapa ulitaka kutuingiza chaka haswaaYugaley
Kumbe kuna maana nyingi za mchicha?? Hapa unamaanisha mchicha Ile mboga ya majeani??Je mchicha unaitwaje(as opposed na chinese). Nisemapo mchicha nakusudia mchicha.
mchicha ni "amarant", kwa Kiingereza. Kule Jamaica, "callalou".Je mchicha unaitwaje(as opposed na chinese). Nisemapo mchicha nakusudia mchicha.
Wewe acha matusi aisee kireno wapi wakat n kisukuma??tena n dyudyu ya mwanamke maana yake!lol!Ubhukima kwa kireno
Sio kweliWewe acha matusi aisee kireno wapi wakat n kisukuma??tena n dyudyu ya mwanamke maana yake!lol!
Niliwahi pitapita nchi za watu pande za Finn wao kwenye menu yao wameandika hard poridgewakuu ma great thinkers namkuje huku tafadhari mniambie kuwa chakula cha UGALI kinaitwaje kwa kimombo? zawadi itakuhusu.
Ahsante sana. Ngoja nicheki Oxford Dictmchicha ni "amarant", kwa Kiingereza. Kule Jamaica, "callalou".
Lazima atakuwa katoka kanda za chuchu.Hahaaaaaa, hii imenikumbusha miaka ya nyuma nikuwa chuo kuna mwl mmoja ndo alikuwa ametoka majuu kuchukua master yake, na siku moja akiwa class anasema. . how do you call stiff porridge in swahili? is it Yugalaey?? Haha jamaa alikuwa na mbwembwe huyo.
Ni ugali hivyohivyo Mzee stiff porridge sometimes bt ugali sanasana.wakuu ma great thinkers namkuje huku tafadhari mniambie kuwa chakula cha UGALI kinaitwaje kwa kimombo? zawadi itakuhusu.