masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,792
- 16,757
Wewe masai dada, the way you treat carbohydrates matters a lot!
cooked starch yoyote ina the same content jamani
hata ambayo haipo cooked ukiitest ni jibu lile lile
ukitest unga wa ngano na unga wa ugali unapata kitu kile kile
FAHAMU KIMOJA TUKINACHOINGIA KATIKA DAMUBYAKO NI NUTRIENTS NA SIO UGALI HUO UNAINGIA MOJA KWA MOJA KWENYE DAMU YAKO
SO ule ugali ule baga ule mkate au ule mihogo ya mama k hapo mtaani
kitakochoingia kwenye damu yako ni the same contents
baaa ya digestion,UPO?