Ugali ni chakula cha kimasikini

Ugali ni chakula cha kimasikini

Wewe masai dada, the way you treat carbohydrates matters a lot!

cooked starch yoyote ina the same content jamani
hata ambayo haipo cooked ukiitest ni jibu lile lile

ukitest unga wa ngano na unga wa ugali unapata kitu kile kile
FAHAMU KIMOJA TUKINACHOINGIA KATIKA DAMUBYAKO NI NUTRIENTS NA SIO UGALI HUO UNAINGIA MOJA KWA MOJA KWENYE DAMU YAKO
SO ule ugali ule baga ule mkate au ule mihogo ya mama k hapo mtaani

kitakochoingia kwenye damu yako ni the same contents
baaa ya digestion,UPO?
 
cooked starch yoyote ina the same content jamani
hata ambayo haipo cooked ukiitest ni jibu lile lile

ukitest unga wa ngano na unga wa ugali unapata kitu kile kile
FAHAMU KIMOJA TUKINACHOINGIA KATIKA DAMUBYAKO NI NUTRIENTS NA SIO UGALI HUO UNAINGIA MOJA KWA MOJA KWENYE DAMU YAKO
SO ule ugali ule baga ule mkate au ule mihogo ya mama k hapo mtaani

kitakochoingia kwenye damu yako ni the same contents
baaa ya digestion,UPO?

Taste matters a lot kwa mlaji wa kawaida. Hayo ya kwenye damu ni wasomi kama wewe. Mimi huku kijijini naangalia utamu mdomoni/taste mdomoni. Watu wengi hawapendi ugali usiokobolewa (dona???-mie ni mlaji wa ndizi sijui majina hayo). wanatafuta taste ingawa usiokobolewa una virutubisho vingi na biological benefits/medicinal value against cancer katika utumbo. Sema masai
 
Tumia chakula kitokanacho na ngano na utakuwa na akili sawa na wazungu,utalala kitanda kimoja na mbwa,utawabusu mbwa,utaongea na mbwa na utamfanya mbwa ndio kila kitu hakuna mwandani na rafiki kama madog!
hahahahahahahaa hizi hasira sasa
 
Taste matters a lot kwa mlaji wa kawaida. Hayo ya kwenye damu ni wasomi kama wewe. Mimi huku kijijini naangalia utamu mdomoni/taste mdomoni. Watu wengi hawapendi ugali usiokobolwe (dona???-mie ni malji wa ndizi sijui majina hayo). wanatafuta taste ingwa usiokobolewa una virutubisho vingi na biological benefits/medicinal value against cancer katika utumbo. Sema masai

chauvhakara dogo wangu simaanisshi taste ya mdomoni my dear
namaanisha ,(jaribio la kupima ) ni nutrients gani ipo katika a certain food, kwa kutumia reagents

yaani sijui hata niwekeje
 
namaanisha FOOD TEST na sio FOOD TASTE
ngano na mahindi na mihogo ni sawa katika food test
ila katika food taste najua utakimbilia chapati utaacha kula mihogo ya mama k kama breakfast
 
chauvhakara dogo wangu simaanisshi taste ya mdomoni my dear
namaanisha ,(jaribio la kupima ) ni nutrients gani ipo katika a certain food, kwa kutumia reagents

yaani sijui hata niwekeje

Sijakuelewa, labda unieleweshe zaidid. nakubaliana na wewe kuwa chemical ingredients zinaweza kuwa sawa, lakini treatment ya hizo ingredients kabla ya kuzila will much determine the value of your food. -Uko TFNC???
 
namaanisha FOOD TEST na sio FOOD TASTE
ngano na mahindi na mihogo ni sawa katika food test
ila katika food taste najua utakimbilia chapati utaacha kula mihogo ya mama k kama breakfast

Nice, then tumeelewana! Nakubali test itatupa kuwa all contain carbohydrates as the main component!
 
Sijakuelewa, labda unieleweshe zaidid. nakubaliana na wewe kuwa chemical ingredients zinaweza kuwa sawa, lakini treatment ya hizo ingredients kabla ya kuzila will much determine the value of your food. -Uko TFNC???

vikorombwezo unavyoviweka ukikaanga baga ndo vinaweka tofauti na mihogo ya mama k kama
nyanya mbichi_typhoid
mayonize_ulcers
vitunguu_unazidi kuongeza sukari mwilini maana VITUNGUU VIBICHI NI REDUCING SUGAR
mafuta_mengi yana cholestrol unazidi jiweka mazungira ya kupata presha

lakini mihogo ya mama k
inachemshwa tu na chumvi kidogo na mara nyingi pilipili yake huwa ni ya kupikwa
chumvi_madini joto mwilini
pilipili_stimulants nzuri sana inaleta ha,u ya kula inastimulate sense za ulimi
wengine husema inaleta hamu ya kula na kufanya ule chakula kingi zaidi
 
vikorombwezo unavyoviweka ukikaanga baga ndo vinaweka tofauti na mihogo ya mama k kama
nyanya mbichi_typhoid
mayonize_ulcers
vitunguu_unazidi kuongeza sukari mwilini maana VITUNGUU VIBICHI NI REDUCING SUGAR
mafuta_mengi yana cholestrol unazidi jiweka mazungira ya kupata presha

lakini mihogo ya mama k
inachemshwa tu na chumvi kidogo na mara nyingi pilipili yake huwa ni ya kupikwa
chumvi_madini joto mwilini
pilipili_stimulants nzuri sana inaleta ha,u ya kula inastimulate sense za ulimi
wengine husema inaleta hamu ya kula na kufanya ule chakula kingi zaidi

asante, ni kama nilivyosema, msomi kama wewe unayajua hayo. sisi huku kijijini tunajali taste! Nashukur kwa elimu ya mayonize na nyanya mbichi-typhoid. Piza, chips, baga etc ni vipenzi vya watoto wetu, wasemaje mpenzi wangu!
 
asante, ni kama nilivyosema, msomi kama wewe unayajua hayo. sisi huku kijijini tunajali taste! Nashukur kwa elimu ya mayonize na nyanya mbichi-typhoid. Piza, chips, baga etc ni vipenzi vya watoto wetu, wasemaje mpenzi wangu!

watoto wapi??
watoto wadogo kuwapa frying food ni janga unamtengenezea matatizo
by the way
kuna njia nyingi za kumfanya mtoto wako ale ngano products i mean vyakula ambavyo havina mafuta meeengi
kwa mfano waweza tengeneza chapati zisizo na mafuta ukamtengenezea na mchuzi akala(pale lumumba zipo ) ukitaka kujua nazungumzia nini waweza uliza pia zinavyotenenezwa
pia kuna cookies ambazo mara nyingi sio deep frying Cc farkhina (sina utaalamu sana hapa)


kama watoto unaowazungumzia ni kina miss chagga wacha wale baga tu maana wanajua contents yake na madhara na faida
kuliko watoto wa dogo wa kupewa uji
 
Last edited by a moderator:
Tatizo sio Ugali tatizo huo Ugali unakula na mboga gani.
Hivi mtu upate Ugali wako,samaki mzuri mkubwa wa kukaanga aliyejazwa spices,maharage kidogo ya nazi,cabbage nzuri kidogo,mchicha kidogo,pilipili ya kusaga,chumvi pembeni,ndimu na kidogo na maji ya kilimanjaro ya 1.5litre utasema ugali mbaya?!.Tatizo mnakula ugali na dagaa wakavu ndo maana mnakuja kulalamika lalamika hapa.
 
Tatizo sio ugali, bali tatizo ni hali ya wala ugali. Laiti ugali ungekuwa ni staple food kwa rich people ungeheshiimika.
Rich people wanakula cornflakes, popcorn, kupitia mahindi hayo. Ila watu poor waishio maeneo ya sub saharan wanakula ugali.
 
  • Thanks
Reactions: kui
watoto wapi??
watoto wadogo kuwapa frying food ni janga unamtengenezea matatizo
by the way
kuna njia nyingi za kumfanya mtoto wako ale ngano products i mean vyakula ambavyo havina mafuta meeengi
kwa mfano waweza tengeneza chapati zisizo na mafuta ukamtengenezea na mchuzi akala(pale lumumba zipo ) ukitaka kujua nazungumzia nini waweza uliza pia zinavyotenenezwa
pia kuna cookies ambazo mara nyingi sio deep frying Cc farkhina (sina utaalamu sana hapa)


kama watoto unaowazungumzia ni kina miss chagga wacha wale baga tu maana wanajua contents yake na madhara na faida
kuliko watoto wa dogo wa kupewa uji

Labda kama unatoa shule' elimu kwa wazazi. lakini mbona naona watoto wanakula sana hivyo nilivyovitaja juu. hasa watoto wa matajiri! This is the order of the day!
 
Ugali ukipata mboga nzuri unakwenda.. Waghana wanaita ugali FuFU.
 
Nimesoma hapa lakin wengi hawana ufahamu kuwa MA Hindi nayo yalitoka nchi za magharibi,Kwenye karne ya 15,wareno walileta mazao mapya hapa afrika,mazoa hayo ni pamoja na mahindi,mapera,mapapai,pamoja viazi vitamu,Nafaka za mwafrika ni ulezi na mtama,mpunga asiri yake ni bara la Asia,ambao Mpunga nao uliletwa afrika na waarabu kuanzia mwaka 200KK,ngano ilitokea mashariki ya kati kwenye miaka hyo,na kuletwa Afrikaans pia na ilisambaa duniani kote,Hivyo basi wewe mwafrika usifikir kuwa mahindi ni Zao la afrika
 
Nimesoma hapa lakin wengi hawana ufahamu kuwa MA Hindi nayo yalitoka nchi za magharibi,Kwenye karne ya 15,wareno walileta mazao mapya hapa afrika,mazoa hayo ni pamoja na mahindi,mapera,mapapai,pamoja viazi vitamu,Nafaka za mwafrika ni ulezi na mtama,mpunga asiri yake ni bara la Asia,ambao Mpunga nao uliletwa afrika na waarabu kuanzia mwaka 200KK,ngano ilitokea mashariki ya kati kwenye miaka hyo,na kuletwa Afrikaans pia na ilisambaa duniani kote,Hivyo basi wewe mwafrika usifikir kuwa mahindi ni Zao la afrika

Well said. Mahindi sio zao la asili ya afrika, Lakini sio Ugali.
 
Nimesoma hapa lakin wengi hawana ufahamu kuwa MA Hindi nayo yalitoka nchi za magharibi,Kwenye karne ya 15,wareno walileta mazao mapya hapa afrika,mazoa hayo ni pamoja na mahindi,mapera,mapapai,pamoja viazi vitamu,Nafaka za mwafrika ni ulezi na mtama,mpunga asiri yake ni bara la Asia,ambao Mpunga nao uliletwa afrika na waarabu kuanzia mwaka 200KK,ngano ilitokea mashariki ya kati kwenye miaka hyo,na kuletwa Afrikaans pia na ilisambaa duniani kote,Hivyo basi wewe mwafrika usifikir kuwa mahindi ni Zao la afrika

Topic sio asili ya zao la mahindi isipokuwa kama ni chakula cha kimasikini, kinachodumaza afya ya akili na kinafaa kuliwa na mifugo tu pamoja na kuzalishia nishati.
Kuadopt chakula na kukifanya kuwa staple food si kitu cha ajabu duniani kote na ndio maana hata machapisho mengi yanatambua kuwa mahindi ni staple food ya watu wa kusini mwa jangwa la sahara, kama ulivyo muhogo ulioletwa na Wareno pia.
 
Back
Top Bottom