Heron
JF-Expert Member
- Oct 4, 2013
- 1,946
- 1,804
Mimi nakubaliana na wewe 100%. Hata hii mada yako inaonesha umekula ugali tangu kuzaliwa kwako hadi jana jioni. Mbaya zaidi inaonekana hujawahi kula kitu kingine tofauti na ugali......kwa mada hii, kweli ugali ni mbaya
Dah safi sana mkuu! naona umempatia jibu sahihi na la busara sana! nadhan siku nyingine hataleta uzi hapa akiwa kakamata kopo la chibuku

