Acha zarau ugali umkulea
Marekani mahindi hutumika kama chakula cha mifugo kwa 80% 20% for fuel(ethanol) and for export inasemekana utumiaji mkubwa wa nafaka za maindi hupelekea akili kuwa pumbafu hvyo uwezo wa kung'amua mambo huwa mdogo
siwezi kula vyakula vya wazungu halafu kesho yake niamke nililie haki ya kuolewa na mwanaume mwenzangu! Ukila hiyo ngano ya Wamarekani lzm ma------ yanyevue nyevue hence unakuwa punga! Ugali ndo kila kitu! Tena ugali wa ulea na lidelele mix up na sabola we acha tu
Uongo mtupu.Marekani mahindi hutumika kama chakula cha mifugo kwa 80% 20% for fuel(ethanol) and for export inasemekana utumiaji mkubwa wa nafaka za maindi hupelekea akili kuwa pumbafu hvyo uwezo wa kung'amua mambo huwa mdogo
Tumia chakula kitokanacho na ngano na utakuwa na akili sawa na wazungu,utalala kitanda kimoja na mbwa,utawabusu mbwa,utaongea na mbwa na utamfanya mbwa ndio kila kitu hakuna mwandani na rafiki kama madog!
Mimi nakubaliana na wewe 100%. Hata hii mada yako inaonesha umekula ugali tangu kuzaliwa kwako hadi jana jioni. Mbaya zaidi inaonekana hujawahi kula kitu kingine tofauti na ugali......kwa mada hii, kweli ugali ni mbaya
ni kweli ugali ni chakula cha maskini, na ni kweli kinadumaza akili kama uamini fuatilia faly nyingi za wala ndizi, wengi wao wanaakili wana upendo, hawana jaziba ngozi zao nzuri sana, kama huamini nenda kule simiyu uangalie ngozi za wakina dada na wakina mama wamekomaa kweli kweli.
Unadhani kila wafanyacho au wasemacho wamarekani ni sahihi?
kwa mishikaki, kwa kuku, kwa majani ya maboga ya kuweka karanga, kwa mkuu wa meza (unaweza endeleza list) utashindanisha hayo mabaga yao hapo...?
niko safi kichwani kaka
Marekani mahindi hutumika kama chakula cha mifugo kwa 80% 20% for fuel(ethanol) and for export inasemekana utumiaji mkubwa wa nafaka za maindi hupelekea akili kuwa pumbafu hvyo uwezo wa kung'amua mambo huwa mdogo
He! Jamaa kweli namna gani au unamzingua tu duh!wentworth miller hahahahaKwa hiyo wewe unashindia mikate na tambi ili uwe na akili na matokeo yake umeishia kuwa shoga!...nenda shule kidogo kijana ujue katika nafaka (including gano wanayokula hao "wamarekani") kuna virutubisho gani vinavyofanya nini mwilini! UJINGA MZIGO!
Marekani mahindi hutumika kama chakula cha mifugo kwa 80% 20% for fuel(ethanol) and for export inasemekana utumiaji mkubwa wa nafaka za maindi hupelekea akili kuwa pumbafu hvyo uwezo wa kung'amua mambo huwa mdogo
Tumia chakula kitokanacho na ngano na utakuwa na akili sawa na wazungu,utalala kitanda kimoja na mbwa,utawabusu mbwa,utaongea na mbwa na utamfanya mbwa ndio kila kitu hakuna mwandani na rafiki kama madog!
He! Jamaa kweli namna gani au unamzingua tu duh!wentworth miller hahahaha
Marekani mahindi hutumika kama chakula cha mifugo kwa 80% 20% for fuel(ethanol) and for export inasemekana utumiaji mkubwa wa nafaka za maindi hupelekea akili kuwa pumbafu hvyo uwezo wa kung'amua mambo huwa mdogo