kayanda01
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 1,086
- 913
Heshima kwenu wakuu.
Mada inajieleza. Kumekuwa na mgongano wa kimawazo kuhusu Nani mkali wa kufunga mziki kwenye gari jijini Dar?
Wanasema Dicksound ndo baba lao. Wengine wanasema kuna wakali pale Mnazi Mmoja - Lumumba street, Dicksound anasubiri! Vile vile nasikia kuna mtaalamu mwingine hatari sana mitaa ya Kisutu, ni mhindi huyu.
Sasa tukate mzizi wa fitina. Kwa wakati wa sasa, nani mkali wa car sound hapa town?
Namaanisha mziki mzito wenye quality. Sio makelele. Sio makelele ya kuungurumisha body ya gari utadhani spika ya debe au dumu!
Mada inajieleza. Kumekuwa na mgongano wa kimawazo kuhusu Nani mkali wa kufunga mziki kwenye gari jijini Dar?
Wanasema Dicksound ndo baba lao. Wengine wanasema kuna wakali pale Mnazi Mmoja - Lumumba street, Dicksound anasubiri! Vile vile nasikia kuna mtaalamu mwingine hatari sana mitaa ya Kisutu, ni mhindi huyu.
Sasa tukate mzizi wa fitina. Kwa wakati wa sasa, nani mkali wa car sound hapa town?
Namaanisha mziki mzito wenye quality. Sio makelele. Sio makelele ya kuungurumisha body ya gari utadhani spika ya debe au dumu!