Ufungaji wa mziki kwenye gari... Nani mkali wao?

kulikiwa na Jamaa Enzi hizo anaitwa Shukuru pale Magomeni alikuwa balaa. Hawa sijui kina Dick Sound hamna lolote zaidi ya Mbwembwe na Mikogo tuu.

Huyo Shukuru bado yupo hapo migo migo?

Yep, wadau wengi wanasema Dick yupo overrated tu.
 
Mkuu ili muziki uwe mkubwa na mzuri unaunganishwa na viti vingi
1 aina ya redio inayotoa mziki
2 crossover ipoje
3 equalizer nzuri
4 busta inauwezo
5 speaker nayo je(pamoja na box yake)
6 umeme nao uko sawa
Kwapamoja unafanye setup kari sana ya muziki
Hawa wote mnao waongelea Wanachez Na equalizer tu
Ila mziki unaunganisha vitu vingi
 
Dick sound ni overrated afu Kama wewe sio celebrity au kiongoz Jamaa Ana customer care mbaya balaa plus bei za kifalafala

Mkuu unaongea with experience?

Akienda mtu ambaye siye celeb, hapewi customer service nzuri? This means that anajali sana celebs customers coz ndiye wanaompa promo sana.
 
Kwa Tanzania nzima Eastside sound wa Arusha anawafunika wote

Huyo mwamba naye siku hizi anatajwa sana kwenye sound system installation.

Tena naona siku hizi Dick na huyo wa Arusha ndo wapo kwenye peak.

Natamani tupate wadau ambao wamefunga sound kwa hao miamba ili tupate real experience.
 
Mkuu ili muziki uwe mkubwa na mzuri unaunganishwa na viti vingi
1 aina ya redio inayotoa mziki
2 crossover ipoje
3 equalizer nzuri
4 busta inauwezo
5 speaker nayo je(pamoja na box yake)
6 umeme nao uko sawa
Kwapamoja unafanye setup kari sana ya muziki
Hawa wote mnao waongelea Wanachez Na equalizer tu
Ila mziki unaunganisha vitu vingi

Hawa wote wanaotajwa na kusifiwa wanacheza na equaliser tu?!!

Mkuu so tukafunge mziki quality wapi?
 
Dick anadharau sana kama sio celebritt kwa kweli customer service mbaya sana niliwai kupeleka gari yangu kwake nikatoka najiskia vibaya kwa huduma mbovu

Ilikuwaje mkuu. Ilikugharimu kiasi gani? Na je ubora wa mziki ulikuwaje?
 
Back
Top Bottom