Ufungaji wa mziki kwenye gari... Nani mkali wao?

kayanda01

JF-Expert Member
Feb 14, 2014
1,081
907
Heshima kwenu wakuu.

Mada inajieleza. Kumekuwa na mgongano wa kimawazo kuhusu Nani mkali wa kufunga mziki kwenye gari jijini Dar?

Wanasema Dicksound ndo baba lao. Wengine wanasema kuna wakali pale Mnazi Mmoja - Lumumba street, Dicksound anasubiri! Vile vile nasikia kuna mtaalamu mwingine hatari sana mitaa ya Kisutu, ni mhindi huyu.

Sasa tukate mzizi wa fitina. Kwa wakati wa sasa, nani mkali wa car sound hapa town?

Namaanisha mziki mzito wenye quality. Sio makelele. Sio makelele ya kuungurumisha body ya gari utadhani spika ya debe au dumu!
 
Dick wa kawaida tu kilichompa jina ni kuweza kuwateka mastaa wa bongo kufanya nao kazi kitu ambacho wenzoe wa fani yake waneshindwa na mpongeza kwa hilo sababu imemjengea soko kubwa sana....

Na hata mimi au wewe kama unataka kutoboa hapa bongo kwny ujasiriamali make sure unawateka mastaa kadhaa wananunue bidhaa yako au ka unatoa huduma watumie huduma yako inasaidia sana kupaisha hata kama uwezo wako sio mkubwa
 
Sisi wa mikoani tunaruhusiwa kukomenti hapa.???
Heshima kwenu wakuu.

Mada inajieleza. Kumekuwa na mgongano wa kimawazo kuhusu Nani mkali wa kufunga mziki kwenye gari jijini Dar?

Wanasema Dicksound ndo baba lao. Wengine wanasema kuna wakali pale Mnazi Mmoja - Lumumba street, Dicksound anasubiri! Vile vile nasikia kuna mtaalamu mwingine hatari sana mitaa ya Kisutu, ni mhindi huyu.

Sasa tukate mzizi wa fitina. Kwa wakati wa sasa, nani mkali wa car sound hapa town?

Namaanisha mziki mzito wenye quality. Sio makelele. Sio makelele ya kuungurumisha body ya gari utadhani spika ya debe au dumu!
 
Dick sound ni overrated afu Kama wewe sio celebrity au kiongoz Jamaa Ana customer care mbaya balaa plus bei za kifalafala
Kama ana Mambo ya kifalafala Sisi ndani ya dakika 5 tunashusha hicho kiburi chooote, anabaki useless, tupo gambosh, Dar tunafika pia mikoani huduma inapatikana Kwa bei nafuu kabsa!
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom