Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

Thanks...naweza kupata contacts za hao eden fish farm or hao polo polo fish farm
+255 755 200 335
POLOPOLO Farm Investiment LTD,
BOX 28121
KISARAWE, COST REGION
TANZANIA
Eden fish farm
255 767 979 484
Mkuu uwe unajaribu kutumia search engine kutafuta mawasiliano ya kampuni unazohitaji.
 
Ndugu Nina lengo la kuingia kwenye ufugaji wa samaki mi naomba kwa wajuzi wanipe ushaur mahitaji haswa issue ya mtaji.
 
Kuna aina 3 za ufugaji ambazo ni intensive semi intensive na extensive,.

Ya kwanza ni ufugaji wa kibiashara nikimaanisha samaki wengi, chakula kingi, dawa na uangalizi wa karibu lakini katka eneo dogo.

Yapili ni ufugaji unaofanywa na watu wengi, samaki wachache eneo kubwa, na ya mwisho samaki wanawekwa kwenye eneo kubwa sana na hawategemei ulishaji
 
Ufugaji Wa Samaki Ni Tasnia Pana Kidogo Lakini Ni Rahisi Kuitekeleza Kuliko Ufugaji Wa Wanyama Wengine, Sehemu Nzuri Ya Kuanzia Mtu Kama Wewe Ni Kuonana Na Mtaalamu Akupe ABC Zake Na Ikiwezekana Upate Bussiness Plan Ambayo Itakuwa Na Mchanganuo Wa Kila Kitu.
Mimi Ni Mtaalamu Wa Tasnia Hiyo Kwa Zaidi Ya Miaka 14, Njoo INBOX Tutete Kidogo

Sent from my GT-N8000 using JamiiForums mobile app
 
Ungefafanua unahitaji ufugajk upi, na samaki wa aina gani ingekua vizuri zaidi
Kwa maeneo haya nataka nifuge Sato Na kambale.vifaranga wanapatkana kiurahisi kidog.nia yangu ni ya kibiashara zaid .maana naona eneo nililopo samaki hawapatikani sana ..
 
Za mchana boss naweza nani pata mchanganuo..nataka fuga sato au Kambale nna tank Lita 200 yale

Sent from my TECNO DP7CPRO using JamiiForums mobile app
 
Ninaweza Kupatia Mkuu, Ila Kwenye Tenki Kama Hilo Hutapata Mafanikio Zaidi Labda Uliboreshe Kwa Kuweka Mifumo Itakayosaidia Kusafisha Maji Na Kuongeza Oxygen, Hebu Nicheki Kwa Namba Hii 0659841995

Sent from my GT-N8000 using JamiiForums mobile app
 
Mi sihitaji kutumia tank nataka nitengeneze ka bwawa kwa ajir hiyo hiv haiwezekani kweli?
 
kwa anaefahamu soko la hawa samaki wa kufuga tafadhali....kama kuna madalali naomba namba zao pia. napatikana Dar es salaam.
 
Nitafte kwa 0759741303 nikupe ABC za ufugaji wa samaki. Mimi ni mfugaji na mzalishaji wa vifaranga vya samaki.

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu nahitaji kufuga samaki maeneo ya moshi ,je vifaranga napataje kwa ukaribu ukiacha wanaopatikana mwanza na dar?
 
Hiyo inatokana na maandaliz hafifu ya kuzalisha hao samaki.+255758991232 piga hiyo ruvu fish farm. Vyakula wote ni pellets. Best quality kwa mtitiriko wa ubora ni Ruvu, Hills na Farmers Centres
 
Je, Inawezekana kuchanganya kambare na sato ndani ya bwawa moja?
 
Kwema humu, Naombeni msaada katika hili wadau je nipo sahihi au??

Katika mita 30 kwa 20 ni sawa na mita za mraba 600
Hivyo basi kwa eneo kama hilo linaweza hifadhi samaki hadi 12,000 kwa kutumia ufugaji wa semi intensive (yani samaki 20 kwa kila mita ya mraba)

Na samaki hula jumla gram ngapi mpaka kufikia uzito wa soko?

Wakuu nipo sahii katika hili kama sipo sawa naombeni mniweke sawa.

Ha Muji
 
Kwema humu, Naombeni msaada katika hili wadau je nipo sahihi au??

Katika mita 30 kwa 20 ni sawa na mita za mraba 600
Hivyo basi kwa eneo kama hilo linaweza hifadhi samaki hadi 12,000 kwa kutumia ufugaji wa semi intensive (yani samaki 20 kwa kila mita ya mraba)

Na samaki hula jumla gram ngapi mpaka kufikia uzito wa soko?

Wakuu nipo sahii katika hili kama sipo sawa naombeni mniweke sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…