Ufoo saro:sitaki tena mapenzi

Wakati watanzania wengi wakisubiri taarifa kutoka kwa ufoo saro juu ya mkasa ulioikumba familia yake, na kumpoteza my number one wake pamoja na bi mdanga wake bi anastazia saro,bi shosti huyo kaapa kutozungumzia chochote kuhusu tukio hilo wala ugomvi wao na the late husband wake na kusema hiyo itabaki kuwa siri ya maisha yake hadi kifo kitakapomkuta,super star uyo ambaye nyota yake imewaka ghafla alienda mbali na kusema kuwa hataki kusikia chochote kuhusu mapenzi kwa sasa na hatak kujiingiza uko kabisaa.
Ah wapi! Tangu lini mti ulikataa mizizi yake isizame ardhini?
 
Ukimwoa unatakiwa unatakiwa ujihami muda wote na usiwe na usingizi wa pono. Anatisha.
 
Wakati watanzania wengi wakisubiri taarifa kutoka kwa ufoo saro juu ya mkasa ulioikumba familia yake, na kumpoteza my number one wake pamoja na bi mdanga wake bi anastazia saro,bi shosti huyo kaapa kutozungumzia chochote kuhusu tukio hilo wala ugomvi wao na the late husband wake na kusema hiyo itabaki kuwa siri ya maisha yake hadi kifo kitakapomkuta,super star uyo ambaye nyota yake imewaka ghafla alienda mbali na kusema kuwa hataki kusikia chochote kuhusu mapenzi kwa sasa na hatak kujiingiza uko kabisaa.

Vipi akijiskia hamu ya kugegedwa??? Au ana test tubes za kutosha?
 
Nani amuoe..mtu mwenyewe sura nguuumuuuu ukichanganya na utapeli wake basi anazidi kuwa mbaya
 
kumbe ndio huyuuu,atangaze tenda tuu.
images


"Nlikuwepo":bolt:
 
Mtoa mada sijakupata vizuri.AMESEMA AU UMEMSEMEA.
ila watu wanahukumu utadhani wamemfunga CCTV mdada Ufoo.........!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom