SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,244
- 4,258
Ah wapi! Tangu lini mti ulikataa mizizi yake isizame ardhini?Wakati watanzania wengi wakisubiri taarifa kutoka kwa ufoo saro juu ya mkasa ulioikumba familia yake, na kumpoteza my number one wake pamoja na bi mdanga wake bi anastazia saro,bi shosti huyo kaapa kutozungumzia chochote kuhusu tukio hilo wala ugomvi wao na the late husband wake na kusema hiyo itabaki kuwa siri ya maisha yake hadi kifo kitakapomkuta,super star uyo ambaye nyota yake imewaka ghafla alienda mbali na kusema kuwa hataki kusikia chochote kuhusu mapenzi kwa sasa na hatak kujiingiza uko kabisaa.