Ufisadi wa Lowassa wakumbushiwa bungeni

Ufisadi wa Lowassa wakumbushiwa bungeni

[QUOTE="TataMadiba, post: 15972783, member: 206398"huwezi jua ukweli kwsn wanasiasa hawana ulimi mmoja leo hivi kesho hivi
 
Unauhskika gani tofauti na maneno ya majukwani kuwa lowassa fisadi mi sipo upande wowote ils natsmani kujua ukweli.wandugu mnipe vigezo ili nielewe kwani anapojiuzuru uwaziri mkuu alikataa
 
Inauma sana kuona watanzania mbumbumbu kama nyie na asilimia nyingi ndivyo mlivyo. Yani ukiulizawa upeleke mahkamani ushahidi kuwa lowasa ni fisadi utapeleka icho ki video clip kuwa ndyo ushahidi?

Hadi nakuonea huruma jinsi ulivyo zoba wa kufikiri. Try to use ur brain my friend.

Kama unajitoa fahamu ili kujipendekeza CCM itz oky endelea unaweza pata hta U DC kma Polepole.
Unapanic sana
Ukweli ndio huo
Lowassa fisadi na kamwe IKULU kwake nindoto
 
Hata Kabwe Zitto ni fisadi. Hivyo ndivyo aliweza kuwaweka mjini. Alifisadi NSSF na TANAPA kupitia Leka Dutigite/Gombe Advisors.

Hivi bado ana magari ya Nimrod Mkono? Na lile Hammer Jeupe lenye namba za nje bado lipo?

Naona hali yake siku hizi ngumu, kuwa ACT hailipi kama ilivyokuwa Chadema hadi hela ya hoteli double tree imemshinda na ametokomea na deni tokea mwaka Jana.
Ndoto hizo
 
Hata Kabwe Zitto ni fisadi. Hivyo ndivyo aliweza kuwaweka mjini. Alifisadi NSSF na TANAPA kupitia Leka Dutigite/Gombe Advisors.

Hivi bado ana magari ya Nimrod Mkono? Na lile Hammer Jeupe lenye namba za nje bado lipo?

Naona hali yake siku hizi ngumu, kuwa ACT hailipi kama ilivyokuwa Chadema hadi hela ya hoteli double tree imemshinda na ametokomea na deni tokea mwaka Jana.
Chombo gani kimethibitisha haya uyazungumzayo? Walau kuhusu Lowassa tuna hansad za bunge zikithibitisha uhusika wake katika kuifisidi nji hii, maazimio yapo.

Badala ya kujitetea Lowasa akakasirika na kujiuzulu kwa hasira. Vizazi na vizazi vitaendelea kujua hivyo......
 
Chombo gani kimethibitisha haya uyazungumzayo? Walau kuhusu Lowassa tuna hansad za bunge zikithibitisha uhusika wake katika kuifisidi nji hii, maazimio yapo.

Badala ya kujitetea Lowasa akakasirika na kujiuzulu kwa hasira. Vizazi na vizazi vitaendelea kujua hivyo......
Hansard ya Bunge ilisema Lowassa anahusika na Richmond? Kasome vizuri.
 
ha ha ha

wabunge wale ambao kuropoka sana ndio kuliwafanya waonekane wanajua kazi, ili hali majimbo yao hayana huduma bora za jamii imekula kwao

wakafanye kazi

as for Lowassa; kuna mtu anabisha kuwa sio fisadi??? LOWASA NI FISADI, wengine ni kikwete, ridhwani, Mbowe, niendelee??
mmeshindwa ya Lugumi mnatafuta pa kujificha? Ni aibu tulijuwa majipu ni kwa wadogo wakubwa hayaguswi.CCM ni ile ile,
 
Umezungumzia Hansard, kaisome vizuri juu ya suala husika kisha uturudie na majibu.
Usikwepe, Hansard zilizopo ni maazimio ya bunge juu ya matumizi mabaya ya waziri mkuu na ofisi yake kuliingiza taifa katika hasara katika mkataba tata wa Richmond...... Sote tunajua kilichotokea.......uwaziri mkuu ukatumbuka pwaaaaaaa.
 
mmeshindwa ya Lugumi mnatafuta pa kujificha? Ni aibu tulijuwa majipu ni kwa wadogo wakubwa hayaguswi.CCM ni ile ile,
Lugumi anamjengea Bwana mkubwa hekalu Masaki, tusitarajie haki kutendeka.

Home Shopping Centre imeingizia TRA hasara Karibia TZS trilioni tisa. Amewajengea ukumbi mpya wa mikutano wa ccm dodoma, atamalizia kukarabati ofisi ndogo ya ccm Lumumba. Tusitarajie haki kutendeka.

Hiyo ndio CCM 2015-2020.
 
Kusema ukweli kabisa mpaka leo bado nashindwa....kuwa wapinzani walitumia gani cha kufikiria hadi wakamuona kuwa Lowasa anafaa kugombea uraisi kupitia umoja ambao hapo mwanzo alikuwa akiupinga kwa nguvu zake zote...........

Mbowe alipata wapi ujasiri wa kumpendekeza LOWASA kuwa mgombea wa UKAWA hali ya kuwa anajua kuwa ni fisadi na badala yake anatuambia kuwa mwenye ushahidi atangulie mahakamani......??

SIDHANI KAMA UKAWA KUPITIA CHADEMA WALIKUWA KATIKA HALI YA KAWAIDA KIAKILI WAKATI WANAYAPENDEKEZA HAYO.......

Pesa inanunua kila kitu hata akili ya mtu. Muulize Mbowe alivuta bilioni ngapi!! Si ajabu hata mimi ningewekwa kwenye mazingira hayo ningevuta hizo pesa na kubadilisha gear angani kama alivyofanya ndugu yetu Mbowe. Pesa sio mchezo baaana.
 
Usikwepe, Hansard zilizopo ni maazimio ya bunge juu ya matumizi mabaya ya waziri mkuu na ofisi yake kuliingiza taifa katika hasara katika mkataba tata wa Richmond...... Sote tunajua kilichotokea.......uwaziri mkuu ukatumbuka pwaaaaaaa.
Unakimbilia hoja, unashindwa kuitetea. Umetuletea hoja ya Hansard, tuwekee hapa neno kwa neno, inasema Lowassa anahusikaje na Richmond?
 
Kusema ukweli kabisa mpaka leo bado nashindwa....kuwa wapinzani walitumia gani cha kufikiria hadi wakamuona kuwa Lowasa anafaa kugombea uraisi kupitia umoja ambao hapo mwanzo alikuwa akiupinga kwa nguvu zake zote...........

Mbowe alipata wapi ujasiri wa kumpendekeza LOWASA kuwa mgombea wa UKAWA hali ya kuwa anajua kuwa ni fisadi na badala yake anatuambia kuwa mwenye ushahidi atangulie mahakamani......??

SIDHANI KAMA UKAWA KUPITIA CHADEMA WALIKUWA KATIKA HALI YA KAWAIDA KIAKILI WAKATI WANAYAPENDEKEZA HAYO.......

kama ni dawa basi manywele aliwapa ya kutosha, huwa siele huyu mzee iliwazibaje mdomo, na niwambie mamvi hatoki cdm, huko ndo salama yake, kawapa kazi ya kumlinda.
 
Unakimbilia hoja, unashindwa kuitetea. Umetuletea hoja ya Hansard, tuwekee hapa neno kwa neno, inasema Lowassa anahusikaje na Richmond?
Nimeshindwa vipi? Kwani Lowassa alijiuzulu tu bila sababu? Sababu ni Richmond...... Maazimio ya bunge yalimtaka aachie nafasi.....usichoelewa nini?
 
Nimeshindwa vipi? Kwani Lowassa alijiuzulu tu bila sababu? Sababu ni Richmond...... Maazimio ya bunge yalimtaka aachie nafasi.....usichoelewa nini?
Umetueleza kuhusu Hansard ya Bunge juu ya Richmond, badala ya kutuletea neno kwa neno jinsi Lowassa alivyohusishwa, unatumia maneno ya kujifikirisha. Ulikuwa na haja gani ya kutaja Hansard wakati haujui ilisema nini exactly?
 
Back
Top Bottom