Ufisadi wa Lowassa wakumbushiwa bungeni

Ufisadi wa Lowassa wakumbushiwa bungeni

ha ha ha

wabunge wale ambao kuropoka sana ndio kuliwafanya waonekane wanajua kazi, ili hali majimbo yao hayana huduma bora za jamii imekula kwao

wakafanye kazi

as for Lowassa; kuna mtu anabisha kuwa sio fisadi??? LOWASA NI FISADI, wengine ni kikwete, ridhwani, Mbowe, niendelee??
Cc TCRA&POLISI
#Cybercrime
 
CDM walimwita ENL fisadi na CCM wakamuita gamba na wakaapizana gamba lazima livuliwe. Hili walishindwa kulitimiza. Ukaja uchaguzi JK akamtema ENL nae akaenda CDM ambako "alisafishwa" na CCM wakaanza/wakaendeleza kumuita FISADI. CDM wameniacha hewani kwa kitendo chao chakumvuta ENL ingawa naamini waliangalia nguvu ya ENL kuwapatia kura zaidi. Sasa CCM ndo wanaotakiwa kuchukua hatua kama kweli ENL ni jipu kwani ndio wenye serikali. Hivyo haingii akilini kupiga kelele kwani sasa hawana sababu ya kumlinda ENL....... labda kama huo ufisadi wa ENL wanaosema pia unawahusisha wakubwa huko CCM. [Yale maufisadi makubwa ya EPA, Meremeta etc siyazungumzii na ni ya CCM yote]
 
Tatizo lako linajulikana sio la kwako tu bali la kifamilia na ukoo kwani vichwa vyenu sio wazima na wengi wenu mna ma file hosp. za wendawazimu. na ukiendelea kutaja utajikuta unataja jina lako kwa sababu hizo hizo za kiwenda wazimu.
Mkuu jaribuni kuwa mnastahimiliana kutofautiana kifikra na kimatazamo siyo kigezo cha kutoleana maneno yanayokwenda kinyume na maadili yetu ya kitanzania.Sie huku twachukiana wao waheshimiwa wala na kunywa pamoja.
 
Huyu mbunge kawachana live kama wanavyopendelea
 
Mimi ni mkulima huku Namtumbo, ajira yangu katika CCM ni uanachama wangu, CCM ni chama pekee chenye alama ya kazi yangu "jembe", nakihurumia sana kile chama cha vidole viwili, nahisi wanachama wake wameishia kushikwa vidole na kufuata.
Unaishi kwa picha?
 
Unaishi kwa picha?
Naishi kwa falsafa, nyundo na jembe ni alama kubwa sana kama ilivyokuwa muhimu sana kuzungusha mikono kwa wale jamaa wakiamini mabadiriko yanakuja kwa kuzungusha mikono.
 
ha ha ha

wabunge wale ambao kuropoka sana ndio kuliwafanya waonekane wanajua kazi, ili hali majimbo yao hayana huduma bora za jamii imekula kwao

wakafanye kazi

as for Lowassa; kuna mtu anabisha kuwa sio fisadi??? LOWASA NI FISADI, wengine ni kikwete, ridhwani, Mbowe, niendelee??
Zito
 
ha ha ha

wabunge wale ambao kuropoka sana ndio kuliwafanya waonekane wanajua kazi, ili hali majimbo yao hayana huduma bora za jamii imekula kwao

wakafanye kazi

as for Lowassa; kuna mtu anabisha kuwa sio fisadi??? LOWASA NI FISADI, wengine ni kikwete, ridhwani, Mbowe, niendelee??
Do u have proof au unaropoka tu kama wenzio?
 
Naona hoja yako ni kuihamisha hii vita kutoka bungeni kuileta hapa jamvini. Naam huu utakuwa ni mnyukano wa nguvu.
 
Upinzani hata ukija na hoja nzuri kiasi gani dhidi ya ufisadi wabunge wa CCM wataipangua kirahisi sana kwa kumtaja Lowassa. Kitendo cha kumchukua fisadi na kumfanya mgombea urais umekivuruga sana chama.
 
Hivi hakuna uwezekano wa nchi kutokuwa na bunge? Sioni faida yao kabisa, ni kama bendi ya taarab tu
 
Upinzani hata ukija na hoja nzuri kiasi gani dhidi ya ufisadi wabunge wa CCM wataipangua kirahisi sana kwa kumtaja Lowassa. Kitendo cha kumchukua fisadi na kumfanya mgombea urais umekivuruga sana chama.
Ufisadi wa Lowassa ni upi? Mbona vyombo vya dola havichukui hatua dhidi yake?
 
Kwa nini msishangae jinsi tume ya uchaguzi chini ya Lubuva waliyoyatenda wakati wa kujumlisha na kutangaza matokeo na mfano hai ni kwenye Jimbo la january makamba ambako waliopiga kura kumchagua Rais walikuwa mara 2 zaidi ya waliopiga kura kuchagua mbunge,na vipi kuhusu yale magunia ya kura feki yaliyokuwa yametapakaa nchi nzima yenye kura za Magufuli yalikuwa ya nini kama UKAWA walikuwa wamekosea kumteua Lowasa kugombea Urais kupitia umoja huo?
....bila kusahau vijana wa IT walioingizwa mjini kutoka Nigeria, Kenya na Korea wakisaidiwa na wenyejiwao kina yeriko??
 
Tugange yaliyopo na yajayo,walifaidi sana hasa wanaCCM sasa mzee MAGU endelea kudeal na wanaojikeza kuwa na tabia hiyo kwa sasa,walopita kwani wataweza kurudisha mali walizoiba? Taratibu tutafika pazuri one day,cha muhimu msimamizi wa rasilimali zetu kapatkana,tuendelee na kazi.
 
Masisiemu yanauliza lowasa kuteuliwa na chadema mbona hayaulizi utaratibu uliotumika kwa ngosha?
 
Back
Top Bottom