ha ha ha
wabunge wale ambao kuropoka sana ndio kuliwafanya waonekane wanajua kazi, ili hali majimbo yao hayana huduma bora za jamii imekula kwao
mimi nabisha kwa kuwa mafisadi awali hukamatwa, hupelekwa mahakamani wakipatikana na hatia huadhibiwa na mahakama kifungo au faini au zote pamoja! lakini kama mtu yupo mtaani hajawahi hata kuhojiwa? alipata hata fursa ya kugombea urais na vyombo husika vipo kimya how comes wewe uibuke tuu na kusema fulani na fulani mafisadi? wakamatwe wafunguliwe mashtaka then mahakama ituambie kama ni mafisadi au laa!! acha mbwembwe za hapa JF
wakafanye kazi
as for Lowassa; kuna mtu anabisha kuwa sio fisadi??? LOWASA NI FISADI, wengine ni kikwete, ridhwani, Mbowe, niendelee??