Ufisadi wa Blandina Nyoni huu hapa!

Hiki darubini iliyotumika kuibua uozo wa Blandina naomba ipelekwe kila Wizara ili tujui kulikoni ndani ya mtungi ; Sitaki tusubiri mtu afukuzwe ndo tuanze kueleza madhambi yake. Ni vema madhambi yakaelezwa hata kama mtu hajafukuzwa ili tufanye usafi huko mawizarani

Mkuu hii kazi naifanya kwa tabu sana. Tuwahamasishe watumishi wa serikali wajitoe kwa wingi walete data kama hizi. Mi binafsi hizi data nimezipata kutoka wa watu waliokaribu kabisa na System ya Wizara ya Afya na Wizara ya Maliasili na Utalii. Watumishi wa serikali ndiyo wanaotuangusha. Data wanazo sana sema wanahofu kujitokeza humu jumvini!
 
Sishangai, kwa serikali hii kila aliyepewa madaraka ukimchunguza lazima utakuta ananuka! Ndio ananuka rushwa. lakini kwanini mnaleta tuhuma hizi wakati madaktari wamegoma!? kwa mtinda huu hatutalikomboa taifa. Yaani mnaweka mambo ya mafisadi hadharani baada tu ya kuona kunamnachodai!? Tuyaweke maovu hayo wazi hata kama hatuko kwenye madai., ili ionekane kunatunachopigania.

 
Huyu mama ni boya, yaani baada ya kupigwa chini ndo anakumbuka kuresign its too late. piga chinii. na hii haitoshi afilisiwe hizo mali kumbe ni fisadi wa kutupwa, aturudishie mabilion yetu.
 
Tunaomba na wale walioko Wizara ya Ardhi na wizara zote alizopita watupe ufisadi wa Katibu Mkuu Patrick Rutabanzibwa; maana naye anajifanya Mungu mtu. Hana tofauti na Blandina, halafu naye ana roho mbaya sana!

Umenigusa mkuu,ngoja tumalize ya blandina tuhamie kwa huyu mtu maana anajifanya msafi anacontrol matumizi ya wizara wkt yeye ndo fisadi namba moja na mnyanyasaji wafanyakazi anaetaka kuabudiwa km mungu.tunaomba wenye nondo zake huyu mtu mziandae soon tunahamia kwake.
 
Yaani badala ya kujadili utendaji wake wa kazi mnaleta mambo ya unaa! Crap

Mkuu, huo ndio utendaji wake wa kazi ama wewe ulitaka tupate ratiba yake tangu asubuhi mpaka jioni? Haya yaloelezwa ni mtindo na mfumo wa utendaji wake wa kazi. L a kujiuliza, hivi nguvu hizi na jeuri hii kaipata wap?
 
Yaani badala ya kujadili utendaji wake wa kazi mnaleta mambo ya unaa! Crap

Watu tuko na majonzi kufuatilia jinsi nchi yetu inavyoliwa mcha kweupe: Meremeta, Deep Green, EPA, Richmond, Mama Nyoni halafu wewe wachekelea. Wewe ndiye unaandika utumbo, utumbo, crap, crap, go to helll!!!!!!
 
Well, unadhani ni sehemu gani ya ofisi za kibongo haya yaliyoorodheshwa hapo juu hayafanyiki?
Tafakari!

Kwa kweli tunashangazwa na hiyo timing. Mtoa mada amesubiri mpaka limejitokeza hilo ndiyo ajifanye kutoboa siri ya ufisadi huu hewa. Nadhani ni vizuri pia atueleze jinsi mama huyu alivyomkatalia ngono fisadi mmoja aliyechochea mgomo huu na sasa anatumia fursa hii kumlipizia kisasi.
 
Kumbe umekumbuka haya ya kununiana na kubigana vibesi vipo kwenye wizara nyingi hata Rais alisema kwenye Semina elekezi kule Dodoma mwaka jana na hili linapunguza utendaji wa Wizara nyingi kwa kiasi kikubwa.
Huyo mama ana dharau hata kwa ndugu zake wa kuzaliwa nae. But personal issues zisitupumbaze, let's focus.
Hivi sheria ya maadili ya uongozi na ile ya kazi (hiyo #15 hapo) inaruhusu kununiana?
The Boss alisema wanawake na kususa na kununanuna, haya yule shoga yake FF, bi Asha, akiwa prezidaa sijui atamnunia waziri mkuu?
 
spot on

umesahau kwamba ni chakula ya kada mmoja wa CCM (mdogo kwake kiumri) asiye na elimu wala kazi maalum zaidi ya kupiga jaramba, kusifia-sifia na kudanganyadanganya watu kwa ahadi hewa.... ambaye sasa anatumia gari za serikali wakati si mwajiriwa wa serikali


Mtaje kabisa watanzania wamjue.:yawn:
 
1. kampuni ya ulinzi ya muhimbili NGE tenda haikutangaza kampuni ni ya Blandina nyoni.
2. Amechukua mashine za kusfishia figo akishirikiana na Dr Linda Ezekiel pamoja na reagent na filter wakazipeleka kwenye msasani kwenye hospital yao nyoni akiwa na share.
list inaendelea
 
1. kampuni ya ulinzi ya muhimbili NGE tenda haikutangaza kampuni ni ya Blandina nyoni.
2. Amechukua mashine za kusfishia figo akishirikiana na Dr Linda Ezekiel pamoja na reagent na filter wakazipeleka kwenye msasani kwenye hospital yao nyoni akiwa na share.
list inaendelea

Blandina tayari ametoswa ki aina, vipi huyo Dr. Linda?
 
Back
Top Bottom