MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Serikali yote imeoza.
Hiki darubini iliyotumika kuibua uozo wa Blandina naomba ipelekwe kila Wizara ili tujui kulikoni ndani ya mtungi ; Sitaki tusubiri mtu afukuzwe ndo tuanze kueleza madhambi yake. Ni vema madhambi yakaelezwa hata kama mtu hajafukuzwa ili tufanye usafi huko mawizarani