Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
nehemiah ni kada wa chama kwa taarifa yenu. sasa mlitegemea hiyo nafasi apewe kijana wa CUF?
Anaweza kuwa kada wa chama,pia mkuu katiba inamruhusu
Ila pia hapa napinga kama mtu atapewa hizo nafasi kwa kuwa tu ni kada wa chama.Uwezo uzingatiwe na fairnes ktk procedure yote ya uteuzi
Hilo ni shirika la nyumba la Taifa,si la CUF,CCM wala CHADEMA.