Ufisadi kwenye uteuzi wa Nehemia Mchechu?

nehemiah ni kada wa chama kwa taarifa yenu. sasa mlitegemea hiyo nafasi apewe kijana wa CUF?

Anaweza kuwa kada wa chama,pia mkuu katiba inamruhusu

Ila pia hapa napinga kama mtu atapewa hizo nafasi kwa kuwa tu ni kada wa chama.Uwezo uzingatiwe na fairnes ktk procedure yote ya uteuzi

Hilo ni shirika la nyumba la Taifa,si la CUF,CCM wala CHADEMA.
 
Wakati mwingine head hunting hufanyika pia... for a good reason na siyo lazima ufisadi...

I have participated in recruitment processes... wakati mwingine kazi inatangazwa.. wanaoomba unakuta ni watu wa viwango vya chini mno... hata ukiwashindanisha wenyewe kwa wenyewe utaishia kupata mtu asiye stahili.In such circumstance u may be forced to resort to head hunting.

Nehemia as I know him is a material for the position.... tunaweza kulaumu na kusema mengi lakini anabakia THE CEO FOR NHC for the time being..tukubali na tumpe nafasi jamani. It could have been you or me..ila haikuwa.

Kwani qualification ilikuwa nini? Kisomo, au ufanisi aliofanya mahali pengine? Mkumbuke kuongoza kampuni ya REAL estate kama NHC na ambayo ni mali ya umma PARASTATAL ORG. sio sawa na benki hata kidogo. MBA is not the right qualification. Walikuwa wanatafuta mtu na sio qualification maana wako wenye qualifications , na experience kuliko huyo dogo.
 
This is confusing. Kwenye thread ile tuliyommwagia hongera 'kijana', kama sikosei iliandikwa mahala na Maane kwamba Mchechu alishauriwa apeleke CV ya kwa ajili ya hiyo kazi na hatimaye akaipata.



Ina maana ilienda CV peke yake bila application? Hata kama hivyo ndivyo na ameipata kazi hiyo bila kufuata utaratibu lakini anao uwezo wa kuimudu hiyo kazi what is all the fuss about? Wapo wangapi wanaoteuliwa na Rais na hawakidhi matakwa ama hawana uwezo unaotakikana?

Is this you? kwa sababu rais anafanya so iendelee kufanyika, kwa sababu anafit it is ok,

hawa wanaoajiri ndugu zao,umeshawahi kusikia huwa hwa fit makazini? au hao mawaziri umeshawahi kusikia hawafit?

so what was the point ya kuwaambia E&Y wafanye mchakato, wawalipe fedha, halafu mkapinga mchakato? hakuna haja basi ya kutoa matangazo magazetini,

kwa standard yako sijui kama tutafika....
 
Wakati mwingine head hunting hufanyika pia... for a good reason na siyo lazima ufisadi...

I have participated in recruitment processes... wakati mwingine kazi inatangazwa.. wanaoomba unakuta ni watu wa viwango vya chini mno... hata ukiwashindanisha wenyewe kwa wenyewe utaishia kupata mtu asiye stahili.In such circumstance u may be forced to resort to head hunting.

Nehemia as I know him is a material for the position.... tunaweza kulaumu na kusema mengi lakini anabakia THE CEO FOR NHC for the time being..tukubali na tumpe nafasi jamani. It could have been you or me..ila haikuwa.

WoS, heshima mbele,

I beg to respectifully disagree. Head hunting inafanyika katika juhudi za ku-widen pool ya applicants. Huwezi amua kumchukua Masanja from Nowhere, bila kumshindanisha na wengine ukasema kwamba hiyo ni head hunting. What happened to merit? Unless hiyo inafanyika hapa TZ tuu. Assume you go by what you say "head hunting". This will set a VERY dangerous precedent, maana you no longer subscribe to merit na utakuwa huna haja ya kuinvite applications. Yes applicants wanaweza wasiwe na vigezo, its precisely because of that....you will ask specific people to submit their applications for consideration. Otherwise, you kill the whole thing of merit na credibility ya eventual winner.

Kama NEHEMIA aliomba hi kazi, akashindanishwa na wengine, akaibuka mshindi. I will buy your argument ya head hunting. Maana siku hizi hata mashirika makubwa iwe UN, WB au kwingineko, head hunting inafanyika, lakini inaishia "kukuomba" uwasilishe maombi yako kama wengine. Hii inasaidia kuwa na strong pool ya applicants. Lakini hii kwamba mtu atoke from nowhere, umkabidhi kitengo...harafu useme ni head hunting, we miss a point.

In all, naamini kama mkuu Waberoya alivyoshusha maswali legit hapo juu, as we move forward ukweli utafahamika. Trust my word. Na kama kweli itakuwa hivyo, hata credibility ya Nehemia itashuka maana hata wenzake waliokuwa wanamuona kijana hardworking..well..watamuona sasa kama ni mtu wa kubebwa which is a bad fit kwa kijana mwenzetu.

In anything you do especially when it involves public resources/interest, you ignore procedures at your own peril. Because, at some point, it will come to HAUNT YOU.

Masanja
 
-Kwanza tuanze na mchakato..Ni gharama kiasi gani E&Y wamelipwa?

-Sababu za kubadilisha kampuni n nini?

Nimeona majibu ya kipuuzi kabisa aliyotoa Chiligati.Halafu ni mtu mwenye masters yake ya Public administarion anajibu waandishi wa habari kimtaa mtaa tu.

Pia majibu ya Chiligati ni dharau kubwa kwa wananchi,na ameanza tabia kama ya Omari mapuri mwaka 2005.

Sijui ni kitu gani huyu mkuu anaficha ktk huo mchakato.Sijui ni lini watanzania wataheshimiana.
 
WoS, heshima mbele,

I beg to respectifully disagree. Head hunting inafanyika katika juhudi za ku-widen pool ya applicants. Huwezi amua kumchukua Masanja from Nowhere, bila kumshindanisha na wengine ukasema kwamba hiyo ni head hunting. What happened to merit? Unless hiyo inafanyika hapa TZ tuu. Assume you go by what you say "head hunting". This will set a VERY dangerous precedent, maana you no longer subscribe to merit na utakuwa huna haja ya kuinvite applications. Yes applicants wanaweza wasiwe na vigezo, its precisely because of that....you will ask specific people to submit their applications for consideration. Otherwise, you kill the whole thing of merit na credibility ya eventual winner.

Kama NEHEMIA aliomba hi kazi, akashindanishwa na wengine, akaibuka mshindi. I will buy your argument ya head hunting. Maana siku hizi hata mashirika makubwa iwe UN, WB au kwingineko, head hunting inafanyika, lakini inaishia "kukuomba" uwasilishe maombi yako kama wengine. Hii inasaidia kuwa na strong pool ya applicants. Lakini hii kwamba mtu atoke from nowhere, umkabidhi kitengo...harafu useme ni head hunting, we miss a point.

In all, naamini kama mkuu Waberoya alivyoshusha maswali legit hapo juu, as we move forward ukweli utafahamika. Trust my word. Na kama kweli itakuwa hivyo, hata credibility ya Nehemia itashuka maana hata wenzake waliokuwa wanamuona kijana hardworking..well..watamuona sasa kama ni mtu wa kubebwa which is a bad fit kwa kijana mwenzetu.

In anything you do especially when it involves public resources/interest, you ignore procedures at your own peril. Because, at some point, it will come to HAUNT YOU.

Masanja

Well said Masanja!

But Hon'ble John Chiligati could answer all these questns thru the previous Interview.But he opt for uncivilized way ya kujibu kimtaa.

Sasa inabidi waje watoe majibu coz credibility ya huyu bwana itashuka kwa hizi hisia/habari

Pia kuwahabarisha wananchi juu ya mchakato ni zaidi ya kutoa taarifa fupi fupi huku ukiacha maswali yasiyojibika nyuma yake.

Nadhani wanasiasa wa Tanzania wanahitaji extra skills of communication!This might be a big proplem
 
Ukweli utabaki kuwa: Kila uteuzi unaofanywa na serikali ya CCM utazingatia mambo yafuatayo (kuanzia the most important kushuka chini less important)
1. Je mtu huyu ana kadi ya CCM?
2. Je mtu huyu atakisaidia vipi chama pindi tukihitaji pesa za kuimarisha uwepo wetu madarakani
3. Je mtu huyu anaweza kutusikiliza sisi tunayotaka hata kama kwa kufanya hivyo yeye ndiyo ataonekana kituko kwa wananchi (Yupo tayari kubeba msalaba kwa niaba yetu) (e.g Hosea, Late Balali et al)
4. Je hana uhusiano na wapinzani ili asiwachangie kisirisiri kutoka katika mshahara wake mkubwa tutakaompatia?
5. Je ni mtoto wa nani miongoni mwetu sisi wateuzi wake
.
.
.
20. Je ana-qualifications za kuwadanganyia wananchi kuwa mtu huyu anafaa kwa nafasi hiyo?
.
.
.
100. Je ataweka maslahi ya nchi mbele katika maamuzi yake?
 
GT na wewe uko wapi?Umeleta news afu ukapotea,hebu uje hapa pia ufafanue baadhi ya hizi ishus na ulikozitoa
 
sina hakika: kuna mdau anasema inawezekana fedha za uchaguzi zikatokea huko, huyu bwana kuna wasiwasi alihusika na kuoitisha fedha za EPA CBA wakati kote zilikataliwa?

If this is another plan of CCM to plunder our wealth is not good!

kwa nini waliukataa mchakato wa E&Y??

Hilo ni kweli kuwa fedha za EPA zilipita nyingi huko CBA na CRDB. Na ni kweli CCM inataka kucheza rafu kwenye NHC maana zimetolewa pesa nyingi sana na World Bank kufinance ujenzi wa nyumba za gharama nafuu kwa wakazi. Sasa hii project ililenga katika kupunguza umaskini na makazi mabovu (Thanks to mama Tibaijuka). Waungwana wanataka kuicheza rafu kuzikamatia humo NHC kwani wao ndio wahusika wakuu. Tunaomba mwenye data atusaidie waungwana!!!

Kuhusu majibu ya Chiligati sishangai kwani wanajua hataka kama hatutaki CCM tutawafanya nini? mungu ibariki taifa letu.

Jamaa ni mchapakazi but kama uteuzi wake ulikuwa na mambo haya nitaupinga kwa nguvu zote
 
Ukweli utabaki kuwa: Kila uteuzi unaofanywa na serikali ya CCM utazingatia mambo yafuatayo (kuanzia the most important kushuka chini less important)
1. Je mtu huyu ana kadi ya CCM?
2. Je mtu huyu atakisaidia vipi chama pindi tukihitaji pesa za kuimarisha uwepo wetu madarakani
3. Je mtu huyu anaweza kutusikiliza sisi tunayotaka hata kama kwa kufanya hivyo yeye ndiyo ataonekana kituko kwa wananchi (Yupo tayari kubeba msalaba kwa niaba yetu) (e.g Hosea, Late Balali et al)
4. Je hana uhusiano na wapinzani ili asiwachangie kisirisiri kutoka katika mshahara wake mkubwa tutakaompatia?
5. Je ni mtoto wa nani miongoni mwetu sisi wateuzi wake
.
.
.
20. Je ana-qualifications za kuwadanganyia wananchi kuwa mtu huyu anafaa kwa nafasi hiyo?
.
.
.
100. Je ataweka maslahi ya nchi mbele katika maamuzi yake?

Respect mkuu!!!
 
is either you THINK BUSINESS or you THINK POLITICS no middle ground!!!
 
Kama kila post nzuri mambo yake ndio haya .....ni wazi kuwa competent individuals hawataomba hizi kazi na matokeo yake ndio watoto wa vigogo, wajukuu, na washirika wao wataendelea kutesa tu.

Nina sikikia sikia kuwa TTCL watu wa serikali wanafikiria kumpa jamaa anayeact kwa sasa ingawa kwenye interview hakuwa the best candidate. Au tunaweza kusikia kama haya tunayosikia hapa kuhusu NHC.
 
Kama ni kweli sitashangaa sana kwani haya ndo mambo ya huko nyumbani manake ni kulindana na kurushiana mapande ya namna ya kuendelea kuila nchi hii ya Baba wa taifa. Lakini watanzania bado tunayo nafasi, mwezi wa kumi msifanye makosa!
 
Pia pamoja na yote tujaribu kuyapa mashaka nafasi katika hii habari.Inawezekana kuna malengo kama hayo but usijekuta kijana Nehemia hajui hii kitu au hayo malengo hayapao coz everybody knows kuwa kijana yuko fit na amea-ccomplish mengi.So unaweza kuta jama ni innocent hajui lolote
 
Pia pamoja na yote tujaribu kuyapa mashaka nafasi katika hii habari.Inawezekana kuna malengo kama hayo but usijekuta kijana Nehemia hajui hii kitu au hayo malengo hayapao coz everybody knows kuwa kijana yuko fit na amea-ccomplish mengi.So unaweza kuta jama ni innocent hajui lolote

Ndio maana tuipe habari benefit of doubt kwani ukweli utakuja kujulikana tu.
 
Mi nafikiri hii story ya GT is very true..

angalieni vizuri btn the lines names of board of directors then plus minus their backgrounds then add together then you will get the answers we all looking for... no further comment.. but all i can say mtandao/ufisadi bongo hauwezi kuisha kwa namna hii.. I hope this Young MD wa NHC knows what he is up for... if he is not part of the deal ..

i am waiting to hear from you all..

Stay Tune
 
Pia pamoja na yote tujaribu kuyapa mashaka nafasi katika hii habari.Inawezekana kuna malengo kama hayo but usijekuta kijana Nehemia hajui hii kitu au hayo malengo hayapao coz everybody knows kuwa kijana yuko fit na amea-ccomplish mengi.So unaweza kuta jama ni innocent hajui lolote
tungependa /ningependa kumpa benefit of doubt, tatizo ni historia na historia waungwana wanasema hujirudia kama vile mtu aliye kwisha kula damu ya binadamu/ kuwa na dhambi ya ubaguzi, sasa huyu alipitisha fedha za epa, ile mtu anafungua account leo , na si muda mrefu hiyo fedha zinaondoshwa, na transaction kama hizi huwa zinatakiwa kuchunguzwa na ikiwezekana kuzizuia, na kwakweli viongozi wote wa mabenki walio pitisha fedha za epa hawafai kuongoza shirika lolote. sasa hapa kanuni za utendaji mzuri na za utawala bora/professionalism hakuna.
je tunahitaji kuzungumza zaidi?
 
Kama kuna ukweli basi tunakoelekea si pazuri! Watanzania tunanafasi ya kurekebisha hii hali hapo October 2010 kwenye sanduku la kupigia kura, msiuze shahada za kupigia kura.....mimi nendelea kusoma biblia hapa
1 Timothy 6:9-10
People who want to get rich fall into temptation and a trap and into many foolish and harmful desires that plunge men into ruin and destruction. For the love of money is a root of all kinds of evil. Some people, eager for money, have wandered from the faith and pierced themselves with many griefs
 
tungependa /ningependa kumpa benefit of doubt, tatizo ni historia na historia waungwana wanasema hujirudia kama vile mtu aliye kwisha kula damu ya binadamu/ kuwa na dhambi ya ubaguzi, sasa huyu alipitisha fedha za epa, ile mtu anafungua account leo , na si muda mrefu hiyo fedha zinaondoshwa, na transaction kama hizi huwa zinatakiwa kuchunguzwa na ikiwezekana kuzizuia, na kwakweli viongozi wote wa mabenki walio pitisha fedha za epa hawafai kuongoza shirika lolote. sasa hapa kanuni za utendaji mzuri na za utawala bora/professionalism hakuna.
je tunahitaji kuzungumza zaidi?


Bongo usawa huu by the time unasema ngoja tumpe benefit of doubt, ukifunga macho ukifungua ushapigwa bonge la bao, EPA jingine.

Mwaka wa uchaguzi huu, wenyewe ukiongea nao wanakwambia "kuna maswala nyeti ya logistics"

Hii kashfa ya kuhusishwa na EPA ni nzito sana.
 
tungependa /ningependa kumpa benefit of doubt, tatizo ni historia na historia waungwana wanasema hujirudia kama vile mtu aliye kwisha kula damu ya binadamu/ kuwa na dhambi ya ubaguzi, sasa huyu alipitisha fedha za epa, ile mtu anafungua account leo , na si muda mrefu hiyo fedha zinaondoshwa, na transaction kama hizi huwa zinatakiwa kuchunguzwa na ikiwezekana kuzizuia, na kwakweli viongozi wote wa mabenki walio pitisha fedha za epa hawafai kuongoza shirika lolote. sasa hapa kanuni za utendaji mzuri na za utawala bora/professionalism hakuna.
je tunahitaji kuzungumza zaidi?

Mkuu August ni ukweli ulioje! Thanks
 
Back
Top Bottom