Ufaransa kuivamia Niger itakuwa ni habari mbaya sana kwa Afrika

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,332
12,647
Waafrika walikuwa na mashaka na viongozi wao kama kweli ni viongozi kwaajili ya watu wao au wako kwaajili Yao na mabeberu. Wana makasha kama viongozi wao wanajali maslahi yao wananchi au maslahi ya mabeberu.

Kama Ufaransa itaipiga Niger kwasababu ya wanaiger kumkataa kiongozi wao asiyewanuisha ni ushahidi tosha kuwa kiongozi wao alikuwa akiwanufaisha wafaransa zaidi kuliko wao, kiongozi wao ni pandikizi la wafaransa kwaajili ya wafaransa. Maana yake ni kwamba uchaguzi wao uliingiliwa na Ufaransa kwaajili ya Ufaransa,

Hii ni kengele ya kutuamsha waafrika kujua kuwa kumbe umaskini wetu sio wa bahati mbaya, kumbe baadhi ya viongozi wetu ni mapandikizi, kumbe demokrasia ya uchaguzi ni uchochoro mzuri na mpana wa mabeberu kutupandikizia watu wao kwaajili yao, kumbe tunataka hatutaki lazima tunyonywe, kumbe, kumbe, kumbe Afrika haiko huru kabisa na kumbe baadhi ya viongozi ni vibaraka wa Wazungu ndio maana umoja wa Afrika kamili haupatikani.

Juzi tumesikia kuwa Benki ya dunia imesitisha mikopo kwa Uganda kwasababu ya kupinga ushoga. Hii Ina maana kwamba kumbe nchi zote ambazo hazikusitishiwa misaada na World Bank zimeukubali ushoga. Benk ya dunia na ushoga vina uhusiano gani? Waafrika amkeni kumekucha.

Kumbeee, sio chaguzi zote za kidemokrasia ni za kidemokrasia!! Kumbe kuna wakati ni afadhali ya kumshuru Jecha Salum Jecha nyakati za uchaguziiii!

Wafrika tufungue mboni zetu ili kujua kuwa Kuna mapinduzi baridi na mapinduzi moto yenye athali zinazofanana kwetu.
 
Waafrika walikuwa na mashaka na viongozi wao kama kweli ni viongozi kwaajili ya watu wao au wako kwaajili Yao na mabeberu. Wana makasha kama viongozi wao wanajali maslahi yao wananchi au maslahi ya mabeberu.

Kama Ufaransa itaipiga Niger kwasababu ya wanaiger kumkataa kiongozi wao asiyewanuisha ni ushahidi tosha kuwa kiongozi wao alikuwa akiwanufaisha wafaransa zaidi kuliko wao, kiongozi wao ni pandikizi la wafaransa kwaajili ya wafaransa. Maana yake ni kwamba uchaguzi wao uliingiliwa na Ufaransa kwaajili ya Ufaransa,

Hii ni kengele kuwa ya kutuamsha waafrika kujua kumbe umaskini wao sio wa bahati mbaya, kumbe baadhi ya viongozi wao ni mapandikizi, kumbe demokrasia ya uchaguzi ni uchochoro mzuri na mpana wa mabeberu kutupandikizia watu wao kwaajili yao, kumbe tunataka hatutaki lazima tunyonywe, kumbe, kumbe, kumbe Afrika haiko huru kabisa na kumbe baadhi ya viongozi ni vibaraka wa Wazungu ndio maana umoja wa Afrika kamili haupatikani.

Juzi tumesikia kuwa Benki ya dunia imesitisha mikopo kwa Uganda kwasababu ya kupinga ushoga. Hii Ina maana kwamba kumbe nchi zote ambazo hazikusitishiwa misaada na World Bank zimeukubali ushoga. Benk ya dunia na ushoga vina uhusiano gani? Waafrika amkeni kumekucha.
Hapa ndipo inanijia kumbukumbu na taswira ya yule mwamba wa chato JPM

Miongoni mwa viongozi waliobarikiwa karma ya kuwatumikia watu. R.I.P mwamba
 
Afadhali wanajeshi wa niger wamethubutu kuwang'oa vibaraka wa wazungu.sisi hapa tz nchi inauzwa kweupe kwa mwarabu wa dubai lakini wao wametulia tu kwa kupewa tu tu v8 na kuacha kulinda maslahi ya nchi.tz kila kitu hovyo.jeshi,bunge,mahakama,rais,kila kitu kipo hovyohovyo tu.
Hata huyu aliyepindua nchi ni kibaraka wa RUSSIA au anaandaliwa kuwa kibaraka wao.

Jiulize Wagner na Putin wana maslahi gani Niger
 
Waafrika walikuwa na mashaka na viongozi wao kama kweli ni viongozi kwaajili ya watu wao au wako kwaajili Yao na mabeberu. Wana makasha kama viongozi wao wanajali maslahi yao wananchi au maslahi ya mabeberu.

Kama Ufaransa itaipiga Niger kwasababu ya wanaiger kumkataa kiongozi wao asiyewanuisha ni ushahidi tosha kuwa kiongozi wao alikuwa akiwanufaisha wafaransa zaidi kuliko wao, kiongozi wao ni pandikizi la wafaransa kwaajili ya wafaransa. Maana yake ni kwamba uchaguzi wao uliingiliwa na Ufaransa kwaajili ya Ufaransa,

Hii ni kengele kuwa ya kutuamsha waafrika kujua kumbe umaskini wao sio wa bahati mbaya, kumbe baadhi ya viongozi wao ni mapandikizi, kumbe demokrasia ya uchaguzi ni uchochoro mzuri na mpana wa mabeberu kutupandikizia watu wao kwaajili yao, kumbe tunataka hatutaki lazima tunyonywe, kumbe, kumbe, kumbe Afrika haiko huru kabisa na kumbe baadhi ya viongozi ni vibaraka wa Wazungu ndio maana umoja wa Afrika kamili haupatikani.

Juzi tumesikia kuwa Benki ya dunia imesitisha mikopo kwa Uganda kwasababu ya kupinga ushoga. Hii Ina maana kwamba kumbe nchi zote ambazo hazikusitishiwa misaada na World Bank zimeukubali ushoga. Benk ya dunia na ushoga vina uhusiano gani? Waafrika amkeni kumekucha.
Ufaransa bila kuinyonya Afrika hawawe kuwepo.Hivyo nia wa ya kupeleka jeshi ni kulinda maslahi yao pekee.Hakuna maneno mengine ya kudanganya.
 
Ipo Siku Wananchi wa nchi za Afrika watakuwa wamoja na kufanya mahamuzi ambayo yatazishangaza nchi za magharibi....unachoona uko Niger uwo ni Mwanzo tu wa chemchem ya mabadiliko...nchi nyingi Afrika Bado zina uhuru wa bendera.
Viva Afrika.
Huo ukombozi wa kujitoa mikononi mwa hawa wahuni ndiyo unaohitajika lakini hiki kinachoendelea katika hizi nchi za Afrika Magharibi bado naona wanakimbia moto na wanakanyaga jivu la moto maumivu yatakuja kwa utofauti ila bado ni maumivu tu
 
Back
Top Bottom