Ufanye nini mwenye pesa akikupora mke?

Ufanye nini mwenye pesa akikupora mke?

TUPAC WA MWAKALELI

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2014
Posts
354
Reaction score
109
Jamaa ana pesa, nguvu ya ushawishi, vyombo vyote vya dola kaviweka mkononi.
Sasa umegundua anatembea na mkeo umejaribu kumkanya mkeo, mkeo anakujibu ukifanya lolote bwana mapesa atakupotezea jela.
He ufanyeje
 
nisha porwa sasa nifanyeje?

Tafuta hela tu mkuu!Ukishazipata atarudi mwenyewe!

Polee,kwani mwanamke ndiye huyo tu duniani,tafuta aliye size yako na anayekupenda kwa dhati!Mnapowapata wake zenu kwa kuwahonga honga vihela,na kujifanya mna hela,hela ndiyo mnaifanya chambo kuwapata hao wenzi wenu matokeo yake ndiyo hayo!

Ndio maana mimi first date nakuja na daladala,napiga na nguo zangu za kawaida kabisa,na naagiza wali na mboga za majani,na soda (sprite is my favourite)!!
 
Jamaa ana pesa, nguvu ya ushawishi, vyombo vyote vya dola kaviweka mkononi.
Sasa umegundua anatembea na mkeo umejaribu kumkanya mkeo, mkeo anakujibu ukifanya lolote bwana mapesa atakupotezea jela.
He ufanyeje
Acha upuuzi sio jamaa kakupora mke ni mke na kaendekeza njaa akidhani hela ndo kila kitu!
Mbona unajiaminisha kuwa huwezi kupenda mwanamke mwingine?
Wanawake wa sasa hivi wengi ni njaa kali kushinda ya ethiopia na somalia!
 
Jamaa ana pesa, nguvu ya ushawishi, vyombo vyote vya dola kaviweka mkononi.
Sasa umegundua anatembea na mkeo umejaribu kumkanya mkeo, mkeo anakujibu ukifanya lolote bwana mapesa atakupotezea jela.
He ufanyeje

Hapo ndipo umuhimu wa uchawi a.k.a ndumba unapo onekana. Hahahahaha LOL. We baki ndani tu uoshe vyombo, kupika, kufua nguo na ubaki na kijiba chako cha roho. Sipati picha jamaa anavyomtifua mkeo huko. Inauma sana lakini !!! LoL
 
Wanawake wote hawa duniani unapata tabu gani sasa?

Tatzo ni aibu kwa ndugu, jamaa na marafiki. Kumuacha si kazi tatzo ile aibu ya kuibiwa mke tena mke wako wa ndoa na alaf wewe kibaba umeshindwa kufanya chochote na mwanamke anakula uroda nnje tu bila wasi ndio kinacho muumiza mtu. Bob usiombe yakukute. Noma Sanaa !!! Hahahaha
 
Zisake na wewe jamaa akifulia atarudi tu

Hakuna huo ni uhanithi yaan kamvulia mtu mwingine na mm nije kuingia tena hapo hapo.

Na mbaya zaidi ni wakati wa njaa kali ndo kasepa! Hata aniroge imekula kwake. Wacha nife na ukwasi kama sikupata mwingine lakini siwezi kula matapishi ya mtu mwingine.

Nimng'ang'anie umekuwa mgodi nikiingia naongeza utajiri f*** it kama si wa kuishi hata ufanyaje utakonda wenzio wanajinenepea fanya yako kalagabao...


Single and happily ever after
 
Back
Top Bottom