Ndio maana nilimpiga kibuti Mamndenyi
kachimbe tanzanite meku na wewe upate pesa hutaliwa mkeoJamaa ana pesa, nguvu ya ushawishi, vyombo vyote vya dola kaviweka mkononi.
Sasa umegundua anatembea na mkeo umejaribu kumkanya mkeo, mkeo anakujibu ukifanya lolote bwana mapesa atakupotezea jela.
He ufanyeje
tena umwambie kabisa na huyo chama wako, kuwa mwaka huu lazima ajibebe na tusenti twake twa LumumbaHa ha haaa
Mwenye chenji zake alikupora mke.
Anaitwa chama, mwana chama wa magambaz mchepukoMkuu gani alikuchukulia??
If its true,..Plan A:- Naacha mke wafaidi hizo pesa,kwanza maradhi mengi siku hizi. Ikiwa wataendelea kunifatafata au mwenyepesa kunilazimisha niendelee kubaki na mke huku yeye akiendelea kupita mlango wa uwani,here comes plan B:- "Eliminate dem all"...
Unampora pesa ana yeye... Mwaga mboga na mimi nimwage ugali.Jamaa ana pesa, nguvu ya ushawishi, vyombo vyote vya dola kaviweka mkononi.
Sasa umegundua anatembea na mkeo umejaribu kumkanya mkeo, mkeo anakujibu ukifanya lolote bwana mapesa atakupotezea jela.
He ufanyeje
ziko bankUnampora pesa ana yeye... Mwaga mboga na mimi nimwage ugali.