inaweza kua maandishi ya kawaida tu.....................ila kwa namna flani kapo kama sigil
inaweza kua maandishi ya kawaida tu.....................ila kwa namna flani kapo kama sigil
labda mtaalamu Mshana Jr atuambieHaha nisha pigwa password nini?
Sent using iphone
Mmh..
Jr![]()
Hapa niwe mkweli sijui kwa kweli ila naona imekaa kama ramli chonganishi
Jr![]()
Du.Hii ya nyota ngoja niishike.ndo nilichombulia hapa leo.🤣🤣Kila kitu kina pande mbili... Upande wa nuru na upande wa giza, upande wa mema na upande wa mabaya nk.
Katika kila upande kuna alama na viashiria vyake vinavyotumika kama kiwakilishi
Angalia kwa mfano nyota, ncha moja ikiangalia juu na mbili chini hutumiwa kama kiwakilishi cha nuruni, lakini ncha mbili nikiangalia juu ni alama na kiwakilishi cha giza (shetani)
Angalia pia shwastika iliyotumiwa na Hitler na ile iliyotumiwa na mabudhist au wakatoliki
Hahhaahaa
Jr![]()
Muda huu kilinge kimefungwa mpaka masika yapite
Jr![]()
Nadhani nimekujibu... Nimekwambia kojolea kisha mwagia chumvi na mafutaa halafu piga kibiriti
Jr![]()
