Timetraveller
Member
- May 8, 2021
- 52
- 42
Njia gani inayotumika kuzichanganya hizo alama ili kupata matokeo ya ninachokihitaji??Sigil ni aina fulani ya alama ambazo ukizichanganya katika mfumo fulani hukupa matokeo unayotaka kutokana na shida yako
Njia gani inayotumika kuzichanganya hizo alama ili kupata matokeo ya ninachokihitaji??Sigil ni aina fulani ya alama ambazo ukizichanganya katika mfumo fulani hukupa matokeo unayotaka kutokana na shida yako
Nasubiri kaka mkubwaNgoja kuna tutorial takutumia
Mshana mi nashida moja huwa nikiamka asubuhi mara kadhaa huwa naukuta mdomo mchungu yaani kama vile nimebugia chumvi kabla ya kulala. Uchungu sio mchezo.
Mmh hili hebu cheki na tabibu.. Kulishwa nyama unaamka umevimbiwa au kichefuchefu cha kutema mate kama umbwaMshana mi nashida moja huwa nikiamka asubuhi mara kadhaa huwa naukuta mdomo mchungu yaani kama vile nimebugia chumvi kabla ya kulala. Uchungu sio mchezo.
Nilijaribu kufanya uchunguzi huenda maji yakawa tatizo lakini nilijaribu ndani ya siku kadhaa niliamka sikuwa na uchungu mdomoni.
Mi nilichokiwaza huenda nalishwa Nyama za watu bila ya mimi kunua ama. Kwanini niamke mdomo wangu unaladha ya chumvi kalii ???
Mkuu mimi itabidi unipe mwongozo nikutembelee msata kabisaa... Tuyajenge kuna mengi sana PM hatuwezi kuyamaliza..Karibu mkuu
Mwendo ameumaliza😂Endelea basi au ndio nwisho?
Haifungiki mbn
Hebu itafute google
Mayai kwa vyovyote yalikuwa viza..hapo kuna mtu katengenezwa...kuna kingine hamjakiona.. Maji ya mochwari! Na kuondolewa msalaba ni kuondoa nguvu ya kimungumkuu tulikuta mayai mawili, miguu ya kuku miwili na kitu kimefungwa kama maiti na kuzungushiwa sanda vyote vikawekwa juu ya kaburi pia msalaba wa hilo kaburi ulichomolewa na hadi leo hatujafanikiwa kuupata hii ina maana gani mkuu
Mayai kwa vyovyote yalikuwa viza..hapo kuna mtu katengenezwa...kuna kingine hamjakiona.. Maji ya mochwari! Na kuondolewa msalaba ni kuondoa nguvu ya kimungu
Mayai kwa vyovyote yalikuwa viza..hapo kuna mtu katengenezwa...kuna kingine hamjakiona.. Maji ya mochwari! Na kuondolewa msalaba ni kuondoa nguvu ya kimungu