Ufahamu uchawi wa Sigil

Ufahamu uchawi wa Sigil

Usisahau mrejesho

Jr

Professor nime kuta hii kitu tena kwa mara nyingine mda huu jikoni awa wana sayansi naona wana niandama Sana
IMG_0657.JPG



Sent using iphone
 
wewe mshana acha kufundisha watu uchawi utaangamia wewe, kwa andiko lako hili unaweza ukawa historia
 
Hua ana kuja dada wa kazi na kusepa lakini haingii chumbani


Sent using iphone
 
Huyo ndio wa kuanza naye... Trust me huyo kuna kitu anajua... Uchawi wa kileo uko so weak kuweza kupenyeza vitu kama hivyo chumbani bila kufungua milango
BTW huyo HG kama kakuonesha dalili na wewe mzee mzima unajifanya hujiongezi she can play with your mind
Hua ana kuja dada wa kazi na kusepa lakini haingii chumbani


Sent using iphone

Jr
 
Huyo ndio wa kuanza naye... Trust me huyo kuna kitu anajua... Uchawi wa kileo uko so weak kuweza kupenyeza vitu kama hivyo chumbani bila kufungua milango
BTW huyo HG kama kakuonesha dalili na wewe mzee mzima unajifanya hujiongezi she can play with your mind

Jr

Haha salute chief umepiga mule mule, japo mtoto mashaallah ila siwezi piga ntajivunjia heshima ukweni, ngoja nione kama nitalogeka nita leta mrejesho


Sent using iphone
 
Usi under estimate nguvu ya mwanamke
Haha salute chief umepiga mule mule, japo mtoto mashaallah ila siwezi piga ntajivunjia heshima ukweni, ngoja nione kama nitalogeka nita leta mrejesho


Sent using iphone

Jr
 
View attachment 456932
Unaweza kuita uchawi au ushirikina lakini sigils ni alama za kishetani ambazo ukizichanga kwa kufuata mifumo yake hukupa matokeo unayotaka iwe ni kwenye ishu za mapenzi ngekewa bahati mali umaarufu nk
Ukiangalia huo uso hapo una point zote muhimu za sigils lakini ya muhimu sana ni point no moja ambayo haijajirudia na imekaa kwenye nafasi ya jicho la tatu
Paji la uso ndio lango la kiroho kwenye mambo mengi sana ya kiza na mwangaView attachment 456941
Sigils za kawaida ni mbinu za kawaida za kichawi ambazo ukiipatia formula yake itakutimizia mahitaji yako yote...sigils si chochote kigeni bali alama za kawaida kwa macho zinazofanana fanana na number za kirumi ama kwa sehemu maandishi ya kiarabu (usichanganye na dini ya kiarabu)
Kuna formula ya kutengeneza sigils zenye nguvu hata ya kudhuru na kuangamiza(hypersigils)lakini hapa si mahala pake...hapa tunapeana tu elimu
Kiasili sigil ni mhuripicha wa shetani ambao unaweza kuuchora kwa namna tofauti kuficha uhalisia lakini ndani yake mhuri ukibaki bila kuathirika kabisa...na ni mhuri huo wa kishetani unaowapa watu nguvu kubwa ya kufanya wapendacho na kupata chochote watakacho iwe kulaani kuua kuogopwa na hata kutengeneza maumbomawazo yenye roho zinazoweza kufanya yote hayo
Nimeandika kwa ufupi lakini angalizo kubwa ni kwamba sigils ni alama za kishetani tofauti kabisa na uchawi wa kawaida na wengi wetu tumeubeba huu mhuri kupitia mapambo yetu na hata tattoos tunazojichora
Cc: tetee
Mshana Jr.at his best.Natamani kweli kukuona not only as Mshana,but as a Pare who has decided to be a distinguished servant of the devil.
 
roho zenye nguvu kwenye ulimwengu wa gizaa? we mshana sasa umenishindaa nimerudisha mpira kwa goli kipaa
Hizo ndio alama muhimu(sigilis) kwenye kutengeneza roho zenye nguvu kwenye ulimwengu wa giza...ni alama hizo ambazo hutengenezewa formulas na kuleta matukio na matokeo yanayotakikana

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom