Ufafanuzi wa Mch. Gwajima Kuhusu Mkenya wa Dr. Ulimboka

Mtu huyo alipoulizwa mbele ya polisi kuhusu aliyoyasema alisema ni kweli. Pia alikiri alitumwa akamteke Mch Gwajima. Mch anasema kwa vile kanisa lake linaikosoa serikali inawezekana. Cha kushangaza baada ya kusema hayo Mkenya huyo akasema ni kichaa na anasikitika kwa kuropoka maneno ambayo hayapo
Halafu kina kova wakafunga jalada la upelelezi wa utekaji ulimboka?
 
Walinzi baada ya kuona huyu ni mhalifu ambaye labda ametumwa au alikuwa na nia ya kufanya uhalifu wakapeleka polisi. Jambo hili liibuka tarehe 26.6 na wala si juzi. Baada ya kumpeleka polisi wakamwacha pale na hawakufuatilia tena

Police wajipange tena. Dr Ulimboka alitekwa usiku wa tarehe 26.6.2012. Na hao watu walimtesa hadi alfajiri ya tarehe 27.6.2012. Sasa huyo Mkenya alienda sasa ngapi kutubu kanisani tarehe hiyo 26.6.2012?
 
badala ya kuhangaika sana na Mkenya, hemed Msangi akamatwe ahojiwe maana ametuhumiwa na hiyo itaisaidia serikali. Naishauri serikali tishio la kuondoa leseni kwa madaktari ni baya sana. Badala ya kufuta leseni lisuluhishwe kwa kutumia busara. Inaonekana kuna watu wapuuzi wanamshauri Rais na ndio maana mambo yanayumba. Inawezekana JK amezungkwa na washauri wasiofaa. JK katika hotuba yake JK alisema serikali ni mtuhumiwa pia ya kumteka Dr Ulimboka na hivyo ni jambo la ajanbu mtuhumiwa kujipeleleza. Itafutwe tume huru kuchunguza jambo hili ili matokeo yaaminike
 
Kova na Msangi ni sawa na UAMUSHO, Ponda, Radio Iman, Alnour wao wakisema KANISA huwa wanamaanisha Roman Catholic. Kova hakujua kwamba kuna makisa mengi ya Kikristu. RC ndiyo kanisa pekee ambalo waumini wake wanatubu kwa Padri.

Kova that was a wrong card kumtuma huyo kichaa kwenda kutubu kwa Gwajima. Ona sasa unavyoumbuka.

Ninashauri baada ya Misa Mch. Gwajima afanye press conference.
 
badala ya kuhangaika sana na Mkenya, hemed Msangi akamatwe ahojiwe maana ametuhumiwa na hiyo itaisaidia serikali. Naishauri serikali tishio la kuondoa leseni kwa madaktari ni baya sana. Badala ya kufuta leseni lisuluhishwe kwa kutumia busara. Inaonekana kuna watu wapuuzi wanamshauri Rais na ndio maana mambo yanayumba. Inawezekana JK amezungkwa na washauri wasiofaa. JK katika hotuba yake JK alisema serikali ni mtuhumiwa pia ya kumteka Dr Ulimboka na hivyo ni jambo la ajanbu mtuhumiwa kujipeleleza. Itafutwe tume huru kuchunguza jambo hili ili matokeo yaaminike


Mbona katika clip ya Dr. Ulimboka maskini ya mungu hakumtaja jina, wala chama chochote? hizi habari tunazipata wapi? Tunamuwekea maneno tunadhani hatorudi?
 
Police wajipange tena. Dr Ulimboka alitekwa usiku wa tarehe 26.6.2012. Na hao watu walimtesa hadi alfajiri ya tarehe 27.6.2012. Sasa huyo Mkenya alienda sasa ngapi kutubu kanisani tarehe hiyo 26.6.2012?

Hapo kwa kweli ndio wamejichanganya vibaya.
 
Back
Top Bottom