Litvinienko
JF-Expert Member
- Nov 17, 2011
- 313
- 105
Hatari hiiinashangaza kuwa jambo hili lilitokea tarehe 26.6 lakini polisi hawakutoa taarifa hadi juzi. kwa hiyo mtu huyo hakuja kutubu bali kueleza na wao wakaona si watu muafaka wa kuelezwa. Kama alikuwa na nia ya kutubu hakueleza na pia kwanini aje kanisa hili? Je, kwanini hakwenda kwao kutubu kenya?