Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,649
Si Kweli! Hata Waanglikana wanatubu kwa Padri.
Anglicana ni tawi la Katoliki......back to the topic...
Aisee hii ni noumer mazee
Si Kweli! Hata Waanglikana wanatubu kwa Padri.
Hongera Gwajima kwa ujasiri, walivyo wapumbavu wataunda zengwe aondolewe Tanganyika packers kisa kawaumbua,mtaniambia
Mark my words!
Mkuu umechukizwa na ufafanuzi wa Mchungaji? Poleni sana Kova, Msangi na Ikuludah!madhabahu sasa kugeuka majukwaa ya siasa....
Wanaharakati wa kulipwa ubwabwaUso wangu nitauweka wapi mie maskini nilidhani huyu nae ananunulika kama wale wa igunga na wale waliokodishwa waandamane kupinga mgomo wa madaktari; hivi wanaitwa akina nani vile? mmhh tatizo shule ila GWAJIMA umejijengea heshima kubwa sana na umemwinua MUNGU
Glory be to He-Who-Shines in Holiness.
Labda wanatoa sadaka. Kama mtoa habari hakuandaa sadaka ataaibika maana wanafuata mstari
Wanaharakati wa kulipwa ubwabwa
Na akateswa hadi alfajiri 27.6.12.wakuu uli alitekwa tarehe 26 saa 6 usiku.
afanye press conference kusafisha kanisa lake na kuwaumbua polisi ,kuzungumzia kanisani tu ni uoga huo.
Naomba mnikumbushe Ulimboka alitekwa tarehe ngapi?