kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,222
- 1,670
Wataala na wachambuzi wa mpira wanasema kwavile beki wa kati, Thiago Silva, na washambuliaji Zlatan Ibrahimovic na Ezequiel Lavezz, ambao wote walisajiliwa mwaka jana kwa gharama kubwa, wamekuwa mhimili kuisaidia PSG kupata mafanikio mpaka hatua ya sasa.
dalili za mvua ni mawingu, leo inaweza kuwa mwendelezo PSG ng'oa ng'oa kama walivyo wafanya Valencia ktk hatua ya 16 bora, na wanaamini leo ni wakati mzuri kwao kupata heshima ya kuwa miongoni mwa vigogo wa Ulaya.