UEFA Champions League, Special Thread

UEFA Champions League, Special Thread

Status
Not open for further replies.
Group D kwa kweli ni ngumu sana.......Group H mmmh.
 
As we approach another exiciting season of UEAF Champions League tournament,see all the groups below:

Group A
Porto (POR)
Dynamo Kiev (UKR)
PSG (FRA)
Dinamo Zagreb (CRO)



Group D
Real Madrid (ESP)
Man. City (ENG)
Ajax (NED)
Dortmund (GER)


Group F
Bayern (GER)
Valencia (ESP)
Lille (FRA)
BATE (BLR)

Have your say... 🙂

-Which one do you think deserves to be marked the group of death?

Hayo niliyoquote naona ndio itakuwa kivumbi sana.
Ila Kundi D ndio zaidi
 
Mkuu Ambitious historia ina heshima yake katika football. Man U hajawahi shida katika ardhi ya Ureno

Msimu wa mwaka 2008/2009 Uefa Champions League:
1/4 Final-Porto 0-1 Manchester United
Uwanja:Estádio do Dragão.
Goli alifunga Christiano Ronaldo.

Msimu wa Uefa Champions League 2007/2008.
Group stage-Sporting CP 0:1 Man United
Uwanja:Estádio José Alvalade
Goli alifunga Christiano Ronaldo.

Msimu wa 2006/2007 Uefa CL
Group stage:Benfica SL 0-1 Man United.
Uwanja:Estádio da Luz
Goli alifunga Louis Saha.

Kwa hisani ya Google...Google anatumia mwanafunzi mpaka mwalimu,mfanyabiashara,mwajiri mpaka mwajiriwa!!
 
Last edited by a moderator:

Hayo niliyoquote naona ndio itakuwa kivumbi sana.
Ila Kundi D ndio zaidi

Kweli mkuu kundi D limekaa kama mechi za robo fainali.Timu yoyote hapo ikizubaa lazima imwagiwe mchanga machoni.
 
Chelsea sasa hivi ni noma sana ukiangalia huyojamaa anaitwa Harzad nobalaa hakuna wakutuzuia mwaka huu
 
Umeanza lini kushabikia mpira?
Mkuu mimi nimeanza kuangalia mechi yawezekana wewe kabla hujazaliwa achilia mbali kushabikia. Kwa hiyo siongei ushabiki. Angalia mwenyewe hapa chini
[TABLE="class: tablesorter, width: 660"]
[TR="class: black_top"]
[TH="bgcolor: #F5F5F5"]Dates[/TH]
[TH="bgcolor: #F5F5F5"]Season[/TH]
[TH="bgcolor: #F5F5F5"]Cup[/TH]
[TH="bgcolor: #F5F5F5"]Round[/TH]
[TH="bgcolor: #F5F5F5"]Match[/TH]
[TH="bgcolor: #F5F5F5"]Result[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]26.02.1964[/TD]
[TD]1963/64[/TD]
[TD]CWC[/TD]
[TD]1/4 Final[/TD]
[TD]Manchester United - Sporting CP[/TD]
[TD="align: center"]4:1 (2:0)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]18.03.1964[/TD]
[TD]1963/64[/TD]
[TD]CWC[/TD]
[TD]1/4 Final[/TD]
[TD]Sporting CP - Manchester United[/TD]
[TD="align: center"]5:0 (2:0)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]02.02.1966[/TD]
[TD]1965/66[/TD]
[TD]EC[/TD]
[TD]1/4 Final[/TD]
[TD]Manchester United - SL Benfica[/TD]
[TD="align: center"]3:2 (2:1)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]09.03.1966[/TD]
[TD]1965/66[/TD]
[TD]EC[/TD]
[TD]1/4 Final[/TD]
[TD]SL Benfica - Manchester United[/TD]
[TD="align: center"]1:5 (0:3)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]29.05.1968[/TD]
[TD]1967/68[/TD]
[TD]EC[/TD]
[TD]Final[/TD]
[TD]Manchester United - SL Benfica[/TD]
[TD="align: center"]4:1 (1:1)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]19.10.1977[/TD]
[TD]1977/78[/TD]
[TD]CWC[/TD]
[TD]1/8 Final[/TD]
[TD]FC Porto - Manchester United[/TD]
[TD="align: center"]4:0 (2:0)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]02.11.1977[/TD]
[TD]1977/78[/TD]
[TD]CWC[/TD]
[TD]1/8 Final[/TD]
[TD]Manchester United - FC Porto[/TD]
[TD="align: center"]5:2 (3:1)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]05.03.1997[/TD]
[TD]1996/97[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]1/4 Final[/TD]
[TD]Manchester United - FC Porto[/TD]
[TD="align: center"]4:0 (2:0)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]19.03.1997[/TD]
[TD]1996/97[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]1/4 Final[/TD]
[TD]FC Porto - Manchester United[/TD]
[TD="align: center"]0:0 (0:0)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]05.12.2001[/TD]
[TD]2001/02[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]Group stage 2[/TD]
[TD]Manchester United - Boavista FC[/TD]
[TD="align: center"]3:0 (1:0)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]19.03.2002[/TD]
[TD]2001/02[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]Group stage 2[/TD]
[TD]Boavista FC - Manchester United[/TD]
[TD="align: center"]0:3 (0:2)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]25.02.2004[/TD]
[TD]2003/04[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]1/8 Final[/TD]
[TD]FC Porto - Manchester United[/TD]
[TD="align: center"]2:1 (1:1)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]09.03.2004[/TD]
[TD]2003/04[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]1/8 Final[/TD]
[TD]Manchester United - FC Porto[/TD]
[TD="align: center"]1:1 (1:0)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]27.09.2005[/TD]
[TD]2005/06[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]Group stage[/TD]
[TD]Manchester United - SL Benfica[/TD]
[TD="align: center"]2:1 (1:0)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]07.12.2005[/TD]
[TD]2005/06[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]Group stage[/TD]
[TD]SL Benfica - Manchester United[/TD]
[TD="align: center"]2:1 (2:1)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]26.09.2006[/TD]
[TD]2006/07[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]Group stage[/TD]
[TD]SL Benfica - Manchester United[/TD]
[TD="align: center"]0:1 (0:0)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]06.12.2006[/TD]
[TD]2006/07[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]Group stage[/TD]
[TD]Manchester United - SL Benfica[/TD]
[TD="align: center"]3:1 (1:1)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]19.09.2007[/TD]
[TD]2007/08[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]Group stage[/TD]
[TD]Sporting CP - Manchester United[/TD]
[TD="align: center"]0:1 (0:0)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]27.11.2007[/TD]
[TD]2007/08[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]Group stage[/TD]
[TD]Manchester United - Sporting CP[/TD]
[TD="align: center"]2:1 (0:1)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]07.04.2009[/TD]
[TD]2008/09[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]1/4 Final[/TD]
[TD]Manchester United - FC Porto[/TD]
[TD="align: center"]2:2 (1:1)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]15.04.2009[/TD]
[TD]2008/09[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]1/4 Final[/TD]
[TD]FC Porto - Manchester United[/TD]
[TD="align: center"]0:1 (0:1)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]14.09.2011[/TD]
[TD]2011/12[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]Group stage[/TD]
[TD]SL Benfica - Manchester United[/TD]
[TD="align: center"]1:1 (1:1)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]22.11.2011[/TD]
[TD]2011/12[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]Group stage[/TD]
[TD]Manchester United - SL Benfica[/TD]
[TD="align: center"]2:2 (1:1)

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Mkuu mimi nimeanza kuangalia mechi yawezekana wewe kabla hujazaliwa achilia mbali kushabikia. Kwa hiyo siongei ushabiki. Angalia mwenyewe hapa chini
[TABLE="class: tablesorter, width: 660"]
[TR="class: black_top"]
[TH="bgcolor: #F5F5F5"]Dates[/TH]
[TH="bgcolor: #F5F5F5"]Season[/TH]
[TH="bgcolor: #F5F5F5"]Cup[/TH]
[TH="bgcolor: #F5F5F5"]Round[/TH]
[TH="bgcolor: #F5F5F5"]Match[/TH]
[TH="bgcolor: #F5F5F5"]Result[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]26.02.1964[/TD]
[TD]1963/64[/TD]
[TD]CWC[/TD]
[TD]1/4 Final[/TD]
[TD]Manchester United - Sporting CP[/TD]
[TD="align: center"]4:1 (2:0)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]18.03.1964[/TD]
[TD]1963/64[/TD]
[TD]CWC[/TD]
[TD]1/4 Final[/TD]
[TD]Sporting CP - Manchester United[/TD]
[TD="align: center"]5:0 (2:0)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]02.02.1966[/TD]
[TD]1965/66[/TD]
[TD]EC[/TD]
[TD]1/4 Final[/TD]
[TD]Manchester United - SL Benfica[/TD]
[TD="align: center"]3:2 (2:1)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]09.03.1966[/TD]
[TD]1965/66[/TD]
[TD]EC[/TD]
[TD]1/4 Final[/TD]
[TD]SL Benfica - Manchester United[/TD]
[TD="align: center"]1:5 (0:3)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]29.05.1968[/TD]
[TD]1967/68[/TD]
[TD]EC[/TD]
[TD]Final[/TD]
[TD]Manchester United - SL Benfica[/TD]
[TD="align: center"]4:1 (1:1)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]19.10.1977[/TD]
[TD]1977/78[/TD]
[TD]CWC[/TD]
[TD]1/8 Final[/TD]
[TD]FC Porto - Manchester United[/TD]
[TD="align: center"]4:0 (2:0)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]02.11.1977[/TD]
[TD]1977/78[/TD]
[TD]CWC[/TD]
[TD]1/8 Final[/TD]
[TD]Manchester United - FC Porto[/TD]
[TD="align: center"]5:2 (3:1)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]05.03.1997[/TD]
[TD]1996/97[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]1/4 Final[/TD]
[TD]Manchester United - FC Porto[/TD]
[TD="align: center"]4:0 (2:0)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]19.03.1997[/TD]
[TD]1996/97[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]1/4 Final[/TD]
[TD]FC Porto - Manchester United[/TD]
[TD="align: center"]0:0 (0:0)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]05.12.2001[/TD]
[TD]2001/02[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]Group stage 2[/TD]
[TD]Manchester United - Boavista FC[/TD]
[TD="align: center"]3:0 (1:0)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]19.03.2002[/TD]
[TD]2001/02[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]Group stage 2[/TD]
[TD]Boavista FC - Manchester United[/TD]
[TD="align: center"]0:3 (0:2)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]25.02.2004[/TD]
[TD]2003/04[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]1/8 Final[/TD]
[TD]FC Porto - Manchester United[/TD]
[TD="align: center"]2:1 (1:1)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]09.03.2004[/TD]
[TD]2003/04[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]1/8 Final[/TD]
[TD]Manchester United - FC Porto[/TD]
[TD="align: center"]1:1 (1:0)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]27.09.2005[/TD]
[TD]2005/06[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]Group stage[/TD]
[TD]Manchester United - SL Benfica[/TD]
[TD="align: center"]2:1 (1:0)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]07.12.2005[/TD]
[TD]2005/06[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]Group stage[/TD]
[TD]SL Benfica - Manchester United[/TD]
[TD="align: center"]2:1 (2:1)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]26.09.2006[/TD]
[TD]2006/07[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]Group stage[/TD]
[TD]SL Benfica - Manchester United[/TD]
[TD="align: center"]0:1 (0:0)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]06.12.2006[/TD]
[TD]2006/07[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]Group stage[/TD]
[TD]Manchester United - SL Benfica[/TD]
[TD="align: center"]3:1 (1:1)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]19.09.2007[/TD]
[TD]2007/08[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]Group stage[/TD]
[TD]Sporting CP - Manchester United[/TD]
[TD="align: center"]0:1 (0:0)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]27.11.2007[/TD]
[TD]2007/08[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]Group stage[/TD]
[TD]Manchester United - Sporting CP[/TD]
[TD="align: center"]2:1 (0:1)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]07.04.2009[/TD]
[TD]2008/09[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]1/4 Final[/TD]
[TD]Manchester United - FC Porto[/TD]
[TD="align: center"]2:2 (1:1)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]15.04.2009[/TD]
[TD]2008/09[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]1/4 Final[/TD]
[TD]FC Porto - Manchester United[/TD]
[TD="align: center"]0:1 (0:1)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]14.09.2011[/TD]
[TD]2011/12[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]Group stage[/TD]
[TD]SL Benfica - Manchester United[/TD]
[TD="align: center"]1:1 (1:1)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]22.11.2011[/TD]
[TD]2011/12[/TD]
[TD]CL[/TD]
[TD]Group stage[/TD]
[TD]Manchester United - SL Benfica[/TD]
[TD="align: center"]2:2 (1:1)

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]




Sasa nimegundua kwanini uhalifu ni mkubwa sana Tanzania. Ni kwa sababu ninyi mapolisi hamjui kazi yenu, na sio makini hata kidogo. Table ndogo sana kama hii umeleta mwenyewe hapa lakini umeshindwa kuisoma na kuielewa! Ni wazi kuwa hukuisoma! Je, ukipewa mikataba muhimu ya nchi si tumekwisha? Nafikiri viongozi wengi wa nchi wako kama wewe ndio maana tunaona madudu ya kutia aibu kubwa kwenye mikataba ya nchi na wawekezaji.
Sasa nakupa homework, rudia kusoma vizuri hii table yako. Kwa kukusaidia angalia zaidi hapo nimeweka rangi nyekundu na bold.
 
Sasa nimegundua kwanini uhalifu ni mkubwa sana Tanzania. Ni kwa sababu ninyi mapolisi hamjui kazi yenu, na sio makini hata kidogo. Table ndogo sana kama hii umeleta mwenyewe hapa lakini umeshindwa kuisoma na kuielewa! Ni wazi kuwa hukuisoma! Je, ukipewa mikataba muhimu ya nchi si tumekwisha? Nafikiri viongozi wengi wa nchi wako kama wewe ndio maana tunaona madudu ya kutia aibu kubwa kwenye mikataba ya nchi na wawekezaji.
Sasa nakupa homework, rudia kusoma vizuri hii table yako. Kwa kukusaidia angalia zaidi hapo nimeweka rangi nyekundu na bold.

Labda useme wewe mkuu, nikisema mimi anaweza kusema nimezidi unazi.
Amekopi na ku paste kutoka mtandaoni halafu 'hajaona' mechi ambazo Man U wameshinda nchini Ureno kutoka kwenye jedwali lake.
Poor him Polisi, Kajipange tena ndipo ujibu swali langu. Umeanza lini kushabikia mpira?

 
Last edited by a moderator:
Sasa nimegundua kwanini uhalifu ni mkubwa sana Tanzania. Ni kwa sababu ninyi mapolisi hamjui kazi yenu, na sio makini hata kidogo. Table ndogo sana kama hii umeleta mwenyewe hapa lakini umeshindwa kuisoma na kuielewa! Ni wazi kuwa hukuisoma! Je, ukipewa mikataba muhimu ya nchi si tumekwisha? Nafikiri viongozi wengi wa nchi wako kama wewe ndio maana tunaona madudu ya kutia aibu kubwa kwenye mikataba ya nchi na wawekezaji.
Sasa nakupa homework, rudia kusoma vizuri hii table yako. Kwa kukusaidia angalia zaidi hapo nimeweka rangi nyekundu na bold.

Ha ha ha. Mkuu Peasant hapa ni jukwaa la sports, watu lazima tutaniane kudogo, kurushana roho kidogo n.k mambo ya uhalifu na mikataba feki yametoka wapi tena? Watu wanataniana mahakamani, ije kuwa hapa!
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha. Mkuu Peasant hapa ni jukwaa la sports, watu lazima tutaniane kudogo, kurushana roho kidogo n.k mambo ya uhalifu na mikataba feki yametoka wapi tena? Watu wanataniana mahakamani, ije kuwa hapa!




Hahhahahaaa! Na mimi nakutania tu mkuu, sidhani kama wewe ni polisi kweli. Don't take me too seriously!
 
Last edited by a moderator:
Sasa nimegundua kwanini uhalifu ni mkubwa sana Tanzania. Ni kwa sababu ninyi mapolisi hamjui kazi yenu, na sio makini hata kidogo. Table ndogo sana kama hii umeleta mwenyewe hapa lakini umeshindwa kuisoma na kuielewa! Ni wazi kuwa hukuisoma! Je, ukipewa mikataba muhimu ya nchi si tumekwisha? Nafikiri viongozi wengi wa nchi wako kama wewe ndio maana tunaona madudu ya kutia aibu kubwa kwenye mikataba ya nchi na wawekezaji.
Sasa nakupa homework, rudia kusoma vizuri hii table yako. Kwa kukusaidia angalia zaidi hapo nimeweka rangi nyekundu na bold.

Ha..ha..ha msameheni bwana Polisi alikesha kwenye lindo ndio maana umakini wake umepungua..Ila Poti ni mtu muelewa nina uhakika ameshaelewa somo.
 
Last edited by a moderator:
If you look at which teams are favorites to go thru tutasema madrid and ajax simply coz madrid na ajax wameshashinda champions lg before and city havent so people would say they r favorites to go thru the knockout stages bt we all know anything can happen in football and u dont rule out man city that easily

Mkuu umetia kiinglishi kuonyesha msisitizo.Man City yuko vizuri mkuu wazungu wanaita 'power house' b'se in kikosi imara sana chenye nguvu za kuhimili mikiki na nina uhakika wamejufunza kutokana na makosa waliyofanya kipindi kilichopita...
 
Naona d litakuwa kundi la kutupa raha kwani papa ushindani mkubwa. Huko kwingine unajua tu timu frani itajipigia inavyotaka
 
Grp d watatumia nguvu nyingi sana kusönga mbele jambo ambalo linaweza kuharibu progress yao kwenye ligi za nyumbania hasa kwa madrid.soka lko mbele c ngoja 2jiliwaze na mabonanza ya voda.
 
Chelsea sasa hivi ni noma sana ukiangalia huyojamaa anaitwa Harzad nobalaa hakuna wakutuzuia mwaka huu

Mkuu natumaini utakuwa mshabiki enough na unaangalia mafunzo ya soccer wanayopewa Chelsea na mabingwa wa Uefa Ndogo Atletico Madrid.Don't press your luck too much b'se you might get stuck.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom