UEFA Champions League, Special Thread

UEFA Champions League, Special Thread

Status
Not open for further replies.
Nduzu zangu 'washika bunduki za matoi' hebu fanyeni uamuzi wa busara, hamieni vilabu vingine!
<br />
<br />
Aisee, huu ushauri mzuri sana asiyekusikia asije kulalamika huko mbele ya safari. Wanazi wa arsenal hamieni timu ya ushindi mani yuu ili mjiepushe na stress,mtapata magonjwa ya moyo ndugu zetu tunawahurumia.
 
"Dont say we didnt warn u",hamieni kwetu kabla hatujafunga dirisha la usajili wa mashabiki tar 10/8/2011
 
Real Madrid under the special one! Mi ndo nshahama arsenal hvyo!lol!
 
acha wehu wewe! Mbona hata hao waliosajili wananyukwa? Kama aina ya wachezaji ndo yule kipa wenu bora kutosajili kabisa.
 
Karibuni kwa King Daglish mtaburudika vya kutosha na mwenye kuhitaji card ya uanachama karibu PM.
 
Sio siri Wenger anawatesa sana mashabiki wa Arsenal mpaka nawaonea huruma.Muda si mrefu watakuwa sugu wa vipigo kama Liverpool.Wenger asipobadilika na kusajili vifaa basi tophies watazisikia redioni na magazetini na matokeo yake wataendeleza chuki dhidi ya Man U wakati tatizo ni kocha.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
aisee mtashabikiaje mashetani bwana mnakaribishwa city bwana we are blue...
<br />
<br />
city hakuna issue ni afadhali ushabikie manyema! Kama vp the red devils ndo mpango mzima wahi sasa kabla dirisha la usajili wa mashabiki halijafungwa!
 
GUMADI
mambo yote BARCELONA tafadhari sana we mshika bunduki isiyo na risasi hamia Camp Nou ktk sayari mpya ya Soka chini ya Jua
 
aisee mtashabikiaje mashetani bwana mnakaribishwa city bwana we are blue...
Kama ishu ni vikombe, mbona wewe upo city! Au umehamia juzi baada ya FA Cup? Na utahama baada ya kukosa ngao juzi? Waacheni, subira yavuta heri.
 
Mmmh! Hiyo kiboko. Capacity ya uwanja ikoje? Isijekuwa ni 140 000 so kujaa ni ishu!

Muulize huyo ndetichia uwa wanafanya nini uko Stockport wakati wa matchday maana huo uwanja wao unajaza wakicheza na man utd tuu alafu capacity ni under 50,000
 
uzuri mwaka huu tunamaliza ligi mapema! ie tunacheza na so cald big 4 mwanzon! namwaminia mzee wenga! anayebisha tupinge! aweke haus gal hapa tuone!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom