UEFA Champions League, Special Thread

Status
Not open for further replies.
mabuluu yaelekea yatashinda leo, tujiandae mwaka mzima na kelele zao, na game ilivyowakubali leo mnhhh!!!... naombea kweli Man U iwakate kidomo domo...

Gunners 4life!
 
Extra time!!!!..

Gemu safi sana lakini uwanja mbovu.
Referee suspect!!!

We still there...Ze Bluzz!
 
Extra time!!!!..

Gemu safi sana lakini uwanja mbovu.
Referee suspect!!!

We still there...Ze Bluzz!

Hili jiwanja hmmm no comments!!! ila duh hii second half naona Bluuz walituweka in check...lakini ndio hivyo we stood the barrage of attack kutoka kwao...I hope it doesn't go to penalties.
 
hapa mashetani wekundu watashinda!na inaelekea watafika kwenye matuta
 
the rain begins to lash down hii might make things interesting....
 
Mimi jamani kweli mshabiki ila sasa leo naona Joto la mwili limezidi na jinsi game inavyokwenda ndio kabisa nimeona nirudi zangu kwenye JF. Ila bado nasali maana najua yaweza fika Penalti hapo ndio patakuwa hapafai kabisa.
 
Duh!!! Chelsea wanahold down for penalties....

Am I the only one who hates penalties?
 
Mimi jamani kweli mshabiki ila sasa leo naona Joto la mwili limezidi na jinsi game inavyokwenda ndio kabisa nimeona nirudi zangu kwenye JF. Ila bado nasali maana najua yaweza fika Penalti hapo ndio patakuwa hapafai kabisa.

sasa jiandae kutoa machozi ya furaha au ya huzuni!maana matuta ndo yametimia
 
Goodluck Guys!!!

...kwa uzoefu wangu, kufunga macho, kuzima Tv yako au ku mute sauti hakusaidii kubadilisha matokeo ya mchezo...

Keep on smiling!!! he he he
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom