UEFA Champions League, Special Thread

UEFA Champions League, Special Thread

Status
Not open for further replies.
Duuh! Mwaka huu tutasikia mengi sana mpaka kufikia hii mechi, ni kama vile vijimambo mwaka wa uchaguzibongo! Huu uteja unaoongelea umeanza lini mkuu??!! Maana statistic zinaonyesha Arsenal hajawahi kuwafunga Barcelona, ni kipigo tu wamepokea Arsenal, sasa nani mteja hapo?[/QUOTE]

Hahahahahahah Mkuu mpira si kama hesabu kwamba 2+2 siku zote ni nne!!!, nani alijua BARC watawaadhiri nyumbani kwenu!? hivyo usije ukakimbia jukwaa siku ya siku hahahahahaha. Nyie sasa hivi elekezeni nguvu zenu zote kwenye EPL vinginevyo mnaweza mkatoka kapa...🙂
 
Hapa Sylvestre
Hapa Messi

Pale Campbell
Pembeni yuko Henry...

Teh teh teh siku ya kufa mbwa pua zote zinaziba.........
 
Duuh! Mwaka huu tutasikia mengi sana mpaka kufikia hii mechi, ni kama vile vijimambo mwaka wa uchaguzibongo! Huu uteja unaoongelea umeanza lini mkuu??!! Maana statistic zinaonyesha Arsenal hajawahi kuwafunga Barcelona, ni kipigo tu wamepokea Arsenal, sasa nani mteja hapo?[/QUOTE]

Hahahahahahah Mkuu mpira si kama hesabu kwamba 2+2 siku zote ni nne!!!, nani alijua BARC watawaadhiri nyumbani kwenu!? hivyo usije ukakimbia jukwaa siku ya siku hahahahahaha. Nyie sasa hivi elekezeni nguvu zenu zote kwenye EPL vinginevyo mnaweza mkatoka kapa...🙂

Swali lilikuwa, nataka kujua huo uteja uliosema umeanza lini?! Ndio maana nikaongea kuhusu statisic, na si vinginevyo....😎😎
 
Hawa jamaa mi siwaogopi wala nini...Kama unakumbuka hata ile game ya fainali ilikuwa yetu sema ndo hivo,muda mwingi tulicheza tukiwa 10 uwanjani(Lehman alipewa red card dakika ya 18 tu) na tumeongoza muda mrefu kwa goli la Campbell la dakika ya 37....jamaa walikuja sawazisha dakika ya 76 na kutuongeza la 2 daika ya 80 tukiwa 10 uwanjania...Anyways,ni historia hiii tayari...Hawa jamaa tutawamudu tu(wanalijua hilo) maana hata form yao kwa sasa kwenye La Liga sio nzuri kiviiiile
Balantanda kuwatoa Barca kwenye game za mtoano ni rahisi sana ,na mara nyingi wanapata tabu wakikutana na timu za England kwenye hatua za mtoano nafikiri unakumbuka walitolewa na Liverpool then Man U hata Chelsea bila makosa ya yule refa .Kuwatoa Barca inahitaji kucheza kwa nidhamu ya hali ya juu pia muwe na defence ngangari na msifanye makosa ya kitoto na hili ndilo tatizo kubwa kwa Arseanal .Timu ya kuiogopa kwa sasa ni Inter Milan ya Mourinho naona hawa jamaa wana nafasi kubwa ya kufika fainali.Tunawatakia mema muwatoe Barca then tukutane fainali
 
Waingereza wakifanikiwa kufika final itakuwa historia tena kwa All english finals...Ila safari yake ni kama kwenda kupanda milima ya Everest..Shughuli pevu..kila kocha anatamani kulinyanyua kombe..hivi mbona hizi timu kama CSKA, Lyon hazipewi kabisa kipaumbele cha kufanya maajabu kwenye robo hii?
 
Nasikia mmepangwa na Madrid EUROPA CUP

Huo sasa utani kaka!!?Benfica imekuwa madrid?!...Najua wapenzi wa madrid imewauma sana kuikosa hii robo kama wangesonga wangalikutana na Borde...
 
Huo sasa utani kaka!!?Benfica imekuwa madrid?!...Najua wapenzi wa madrid imewauma sana kuikosa hii robo kama wangesonga wangalikutana na Borde...

Mkuu kukosa kuingia kwenye hii round ni sawa na kupoteza £10 million in terms of revenue etc. Sasa kwa clubs kama Chelsick na Real kukosa huo mpunga wakati wanatumia fweza tele ni big big deal ndio sababu wapinzani wa Arsenal wanalialia na kujiuliza maswali lukuki inakuwaje hawa vijana wa Emirates wanaleta shinda bila kusahau bado wapo kwenye kinyang'anyiro cha EPL tena kwa kishindo.
 
Ni kweli Wacha this is a big blow kwa Ma-Giant hawa..nasikia kuna tetesi kuwa huenda Billionea Abramovich akaitema Chelsiki faida hakuna ..Pound 10M si mchezo!!..Kawaida mtu ukiwekeza unategemea kupata faida ila mwaka wa tano huu kwa chelsiki wanalitafuta hili kombe na sijui wangapi kwa Real japo kufika nusu fainali..Uwekezaji wa soka wataka moyo mgumu...
 
Tik tak tik tak tik tak......sitaki kuongeza maadui anymore at ths time, October nagombea political post..........
Fate will tell....tik tak tik tak tik tak tik tak.......(i cant wait!)...Lol!
 
joe-mourinho_1546127c.jpg

...sasa mbona hutaki kujibu bana, you are so "Grumpy!" nowadays, ni nini kikusikitishacho?

ROMAN ABRAMOVICH atakubali kweli huyu mtu awatoe Chelsea yake, kisha akawatoe 'pacha' wenu, ChelSKiA-MOSCOW pia?
au mmejisahau kwa kutuombea dua mbaya Arsenal tu dhidi ya Barca? 😀😀😀
 


Inter Milan face holders Barcelona in the semi-finals of the Champions League and the cast is an impressive one. [+]


Wakuu mnaweza kuweka utabiri wenu wa mechi hii kali na wengi tunategemea mshindi wa nusu fainali hii ana nafasi kubwa kuwa bingwa japokuwa bayern pia wana nafasi yao.
 
mie kura yangu inaenda barcelona lakini nataka kuona jinsi gani maicon na wenzake watakavyo mzima "computer" a.k.a MESSI.
 
bado dakika 45 tuone mourhino kajiandaa vipi.na kwenye ligi italy naona as roma wako juu sasa hivi kazi hipo.
 
All the best 'the special one', wish to watch you and your team pale Madrid. Mwaka wenu huu Inter
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom