UDSM tupunguzeni masifa sasa

Wanaosoma udsm,wengi wanatokea mikoan,kwahiyo tuwavumilie tu.
the worst thing ni kwamba, they have no any credible impact after three good years in the collage.

kwa mfano, bachelor in Kiswahili πŸ™„ πŸ™„

its impact is actually likely to deem up to -0.0%.

utamkuta huyo kagangamara kama kisiki, udsm! udsm! udsm!

πŸ˜€ πŸ˜€
 
Tena izo ID zinawarahisishia wamachinga wakiwaona tu na ID zao wanajua hawa walugaluga wameshika laki tano za mkopo,


T-shirt ya buku 4 anauziwa buku 9.
Anauziwa kiatu timberland fake chinga kama ananawa vile [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23]
 
Tutazidi kuzivaa tu...
 
hahaa huyu mwaka wa tatu nae kilaza tu kwanzaa ndii mnaongoza kupost picha social mediaa za udsm student.... kwanza unasoma kozi gani we kilaza kakomaee na madesa huko acha kudiss non sense issuez
 
Kwani uongo kama udsm ni think tank ya tz?
Jpm karibu anamaliza maprof wote wa udsm......

Udsm hoyeee
Sawa,

Hebu tupe any current positive effect ya hao think tank.
 
Umenena vema mkuu, mwenyew nipo Udsm but nikiwa first year sikuwa hivo but kuna watu ukiwambia wanaona ka unawakosea HAKI zao
 
Na wewe unashangilia? Au UDSM haihitaji hao maprofesa? Akiendelea hivyo baada ya miaka mitano tutajuliana hali.
ukinisoma between lines utajua nimemaanisha nini!
Binafsi nimefundishwa na baadhi ya hao wateule ni ukweli usiopingika wapo vizuri kuliko hawa wengine wanao ajiriwa kipindi hiki
Binafsi naona jpm anaiharibu udsm
 
Hahaha,,,,,,, mtajuaje kua wanasoma ud !!!!!
Ila degree n ileile,,, hats wa udism,, aspo komaa atakua chenga kama vyenga vingine,,,,,
kweli hata wewe nadhani mda si mrefu utakuwa na degree ila haitofanana na za wengine kwa uandishi huu.
 
Ukivaa itakutambulisha ka we n mwanafynz wa ud asa kama wewe unataka kila unakopita watu wajue amepita jamaa wa ud basi vaa tuuu............ Usipovaa unaonekana laia wa kawaida
Laia=[raia]
Sasa niambie ni typing error au hujui tofauti ya R na L?
 
mh...so ulikuiwa nao wanafunzi wote wa UD hapo au? ina maana wao vyuo vingine kila kitu wanajua? huwezi ukageneralize kwa kuangalia mtu mmoja au watu wachache.
 
Collage=college
 
kasome UDSM na wewe kama unaweza then uje na mrejesho utakua unajisikiaje!

waache wafanye yote kile ndio chuo cha taifa
 
Alafu unakuta mwanafunzi mwenyewe anasoma BED (Bachelor in Education), wakat waleo wa CoICT wakitoka wanavivua...

ahaha ahaha, mm huwa nahisi wamefika baati mbya ud
 
Kipindi tunaingia chuo fasheni ilikuwa kuvaa miwani za macho.

Jamii flani toka kanda ya ziwa walikua na mamiwani hao balaa. Ni msimu tu hata hawa wa ID watajiona malofa na kurudi normal.

Wakikua wataacha. Ubaya shule zetu hazina somo la etiquette na manners. Na kama lipo basi walimu wenyewe sio.
 
Collage=college
ona huyu zumbukuku wa udsm.

eti collage??

do you even know what collage is?

πŸ˜€ πŸ˜€

collage?????? πŸ˜€

halafu eti unasahihisha kwa madaha kabisa.

would please spare me the shit and get back to school..... fuuuuuuuulllllllllll.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…