- Thread starter
- #41
Nimekupata ndugu yangu.
Sasa basi tuingie katika mjadala wa uboreshaji wa elimu yetu ya juu, tafadhali ingia katika Jukwaa la Elimu na tuendeleze mada. Mchango wako unahitajika sana.
Ni ngumu kuongelea jinsi ya kuboresha elimu wakati bado ndani ya hiyo elimu kuna watu wenyejitihada za kuididimiza hiyo elimu,watu wasiokubali ukweli,watu wenye mentality zilizopitwa na wakati na hawataki kwenda na wakati.
Kwanza kitu cha kwanza ni watu wakubali kubadili hiyo mentality na wakubali kuelimika si lazima udsm ama DIT ama MZUMBE hata kwa njia ya internet mtu una elimika.