Habari wadau,
Mwanafunzi wa UDSM kutoka department ya Creative Arts maarufu kama Plaboe ametangazwa best student katika mahafali ya chuo Kikuu cha Dar es Salaam ya mwaka 2023.
Kijana huyo ameongoza kwa kupata First Class GPA ( 4.8) ambayo ni ya juu kuliko wanafunzi wote UDSM.
Amesoma Bachelor of Arts in Music
GPA hiyo ameipata kwa kujua kupiga kinanda vizuri
Kujua kuimba live na kucheza vizuri
Kupiga Guitar vizuri, saxophone na music instruments zingine
Pamoja na kuwa mburudishaji mzuri kwenye events zinazoendeshwa na udsm department ya creative arts.
Hii inaonesha udsm na wao ni wametambua kwamba dunia imebadilika. Vitu vyepesi vya kuimba na kudance dance ndio vinapendwa na kizazi cha 2000 maarufu kama generation Z.
Best student alivyotangazwa ameshangiliwa na wahitimu wotee maana wanamjua balaa lake akiwa jukwaani.
Amepewa ufadhili wa masters. Na zawadi zingine.
Department ya creative arts ndiyo aliyopita chawa maarufu MWIJAKU , Rapper Chemical na wengineo
Mwanafunzi wa UDSM kutoka department ya Creative Arts maarufu kama Plaboe ametangazwa best student katika mahafali ya chuo Kikuu cha Dar es Salaam ya mwaka 2023.
Kijana huyo ameongoza kwa kupata First Class GPA ( 4.8) ambayo ni ya juu kuliko wanafunzi wote UDSM.
Amesoma Bachelor of Arts in Music
GPA hiyo ameipata kwa kujua kupiga kinanda vizuri
Kujua kuimba live na kucheza vizuri
Kupiga Guitar vizuri, saxophone na music instruments zingine
Pamoja na kuwa mburudishaji mzuri kwenye events zinazoendeshwa na udsm department ya creative arts.
Hii inaonesha udsm na wao ni wametambua kwamba dunia imebadilika. Vitu vyepesi vya kuimba na kudance dance ndio vinapendwa na kizazi cha 2000 maarufu kama generation Z.
Best student alivyotangazwa ameshangiliwa na wahitimu wotee maana wanamjua balaa lake akiwa jukwaani.
Amepewa ufadhili wa masters. Na zawadi zingine.
Department ya creative arts ndiyo aliyopita chawa maarufu MWIJAKU , Rapper Chemical na wengineo