mwanalumango
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 232
- 277
jaribuni mwaka mmoja kuchukua wanafunzi wanaostahili kusoma engineering wasome sheria halafu utaniambia first class ngapi zitapatikana!! trust meSijui kwakweli.LAKINI NADHANI MFUMO WA KUFUNDISHA KOZI KWA MWAKA MZIMA UNACHANGIA