Kumbe huyu "Mama" naye ni 'kipanga' enhe?
Leo nimekumbuka historia hii kama kumbukumbu:
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam almaarufu kama UDSM kilianzishwa mwaka 1961 kikiwa na kitivo kimoja tu cha Sheria. Kilianzia Lumumba na sasa Mwalimu Julius Nyerere Mlimani Campus kikiwa na Koleji na Shule Kuu mbalimbali.
Tangu kuanzishwa kwake,Kitivo cha Sheria kimetoa wahitimu wanne tu waliokuwa na ufaulu wa Daraja la Kwanza(yaani First Class-GPA ya 4.4 hadi 5.0).
Hao ni Dr.Ringo William Tenga,Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi, Dr.Asha-Rose Mtengeti Migiro na Prof. Hamudi Ismail Majamba. Hawa wanastahili sifa.Wanastahili kuitwa 'the Big Four'.Tangu mwaka 1992,hakukuwa na Daraja la kwanza lingine.
Wengine tulijaribu lakini tukashindwa.Tukaishia na Daraja la Pili la Juu (Upper Second Class). Ikumbukwe kuwa,Kitivo cha Sheria ndicho kinachochukua wanafunzi wanaofaulu zaidi,'the Cream of the Nation' kwa masomo ya sanaa(lakini kwasasa TCU wanaleta hata daraja la pili).
Juhudi ziongezwe kwa wengine kupata Daraja la Kwanza kitivoni hapo.Wapo watakaoweza. Wajiunge na wastahili hao. Mazingira ya kujisomea UDSM yanaboreshwa kila kukicha. Inawezekana hata kwa wengine.
Yaani wabongo kwa kuhusudisha achievements za kwenye makaratasi, hatujambo!
Leo nimekumbuka historia hii kama kumbukumbu:
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam almaarufu kama UDSM kilianzishwa mwaka 1961 kikiwa na kitivo kimoja tu cha Sheria. Kilianzia Lumumba na sasa Mwalimu Julius Nyerere Mlimani Campus kikiwa na Koleji na Shule Kuu mbalimbali.
Tangu kuanzishwa kwake,Kitivo cha Sheria kimetoa wahitimu wanne tu waliokuwa na ufaulu wa Daraja la Kwanza(yaani First Class-GPA ya 4.4 hadi 5.0).
Hao ni Dr.Ringo William Tenga,Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi, Dr.Asha-Rose Mtengeti Migiro na Prof. Hamudi Ismail Majamba. Hawa wanastahili sifa.Wanastahili kuitwa 'the Big Four'.Tangu mwaka 1992,hakukuwa na Daraja la kwanza lingine.
Wengine tulijaribu lakini tukashindwa.Tukaishia na Daraja la Pili la Juu (Upper Second Class). Ikumbukwe kuwa,Kitivo cha Sheria ndicho kinachochukua wanafunzi wanaofaulu zaidi,'the Cream of the Nation' kwa masomo ya sanaa(lakini kwasasa TCU wanaleta hata daraja la pili).
Juhudi ziongezwe kwa wengine kupata Daraja la Kwanza kitivoni hapo.Wapo watakaoweza. Wajiunge na wastahili hao. Mazingira ya kujisomea UDSM yanaboreshwa kila kukicha. Inawezekana hata kwa wengine.
Sio wa 4 ndugu yangu! Weng kama 15 ivi,nakumbuka wote waliitwa mbele pale nkhuruma cku ya kilele cha 50th Anivsry ya kitivo! Prof.Majamba H.I ndo 1st clas ya mwsho mwaka 1992
This is a travesty insulting our intelligence as a nation, an outrageous medieval burgh bent on sado-masochistic protectionism at the disadvantage of the public good, an abomination stunting the growth of the nation, a calcified plague entrenched in the spine of our educational system.
Part of the reason so many of us are poor as citizens of an immensely rich nation.
Wakati wenzetu mpaka mandondocha wanafundishwa na kuelewa kiasi chao sie wanaohitimu kiwango cha juu tangu uhuru wanahesabika kwa vidole?
Wa mwisho kahitimu enzi za kuanzishwa kwa vyama vingi?
Hawa watu wana mbongo gani ziwe tofauti hivyo? Napendekeza watakapofariki wa donate mbongo zao kwenye research institutions maana pengine si bure. Inawezekana si binadamu wa kawaida hawa.
Na kama si binadamu wa kawaida kwa nini mtihani utake mtu asiye binadamu wa kawaida kufaulu na first class?
Tushakubali kufelisha watu ndiyo elimu?
Wanaofeli hapo ni wanafunzi au mfumo wa elimu?
very true Kiranga..many Of UDSM graduates,wamegraduate kwa very low g.p.a's..inanyima sana chances za kupata scholarshps abroad...and its nat that w2 hawasomi,people reads a lot..bt ts ol abt ubabe..imagyne a Prof. anakuja clas anasema "dnt wry abt ur g.p.a's watoto wangu,C ya family law udsm ni sawa na A ya mzumbe"imagyne..Prof uyo,na ye ndo aloeka rekod kitivo pale enz izo kwa kupata g.p.a ya 4.8(Kabudi)..yan ubabe,ubabe 2..somo lake hatoi A..
Hivi hiyo sheria ina ugumu kiasi gani hadi watu wasifaulu na first class honors hapo UDSM?
Sijui kwakweli.LAKINI NADHANI MFUMO WA KUFUNDISHA KOZI KWA MWAKA MZIMA UNACHANGIA
Ni ushenzi tu.
Kwa sababu nchi nzima vyuo vya kuhesabu.Profesa anaogopa akiwapasisha watu wakienda kusoma Ulaya wakirudi watachukua kazi yake.
Kumbe hajui anarudisha nyuma maendeleo ya nchi nzima.
Hivi hiyo sheria ina ugumu kiasi gani hadi watu wasifaulu na first class honors hapo UDSM?
Yaani wabongo kwa kuhusudisha achievements za kwenye makaratasi, hatujambo!
Mkuu,ungesoma vyema mantiki ya jibu langu ungeelewa.Ni hivi,tangu zamani wanafunzi wa Sheria wamekuwa wakijisomea kwa juhudi na maarifa...kwelikweli. Sheria na Uhandisi ni kozi zenye wasongo wa kutosha. Lakini,perfomance ya wanafunzi huwa tofauti.Hapo ndipo hata mimi nisipoelewa. Wanafunzi wanahudhuria mihadhara na kujisomea kwa bidii,kwanini ufaulu usumbue?umenifurahisha kwakweli, yaani hujui kwanin hakuna 1st class za law ud!! kama ww uliyepata 2nd class upper na hujui kwanin hakuna 1st class, basi hatuna wasomi nchini cause hata wewe mfano ukipewa nafasi ya kuwa muhadhiri pale chuoni itakuwa ovyoivyoivyo,