mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,909
- 18,551
Atakuwa na roho ya umaskini sana!Upo sahihi Leo yamejidhihirisha
Atakuwa na roho ya umaskini sana!Upo sahihi Leo yamejidhihirisha
Zimesaidia ziro!!!!Hizo first class zao zimesaidia nini jamii?
mkuu mbona kamtaja apo juu kwenye hao wanne..pitia vizuri uziKatika orodha hiyo kuna mtu naamini umemsahau. Huyu bwana alikuwa mwaka mmoja na Prof Majamba na alipata First Class. Nakumbuka kwa mbali jina lake ni Steve Mosha kama sijakosea. Ila baada ya kumaliza nasikia alikwenda nje. Hebu cheki ukweli huu.
Sure Mkuu....The gap between practice and GPA is very big like heaven and hell!
Mkuu naonaga sana wewe ndo unaonekana eti ndo wakili humu JF....mi nataka uniambie any landmark case ambayo umeshashinda so far iwe ya High Court ama Court of Appeal...nikachek iyo judgment yake nione ulivokua unargue afu ndo nione kweli iyo upper second yako na wewe mahakamani kua ndo nyumbani kama kunaendana na ufanisi wako kama advocate.....Mkuu,mahakamani ndiyo nyumbani kwangu
Lengo lako hasa ni nini? Halafu iweje? Acha mambo yasiyo na maana MkuuMkuu naonaga sana wewe ndo unaonekana eti ndo wakili humu JF....mi nataka uniambie any landmark case ambayo umeshashinda so far iwe ya High Court ama Court of Appeal...nikachek iyo judgment yake nione ulivokua unargue afu ndo nione kweli iyo upper second yako na wewe mahakamani kua ndo nyumbani kama kunaendana na ufanisi wako kama advocate.....
Maana tunawaonaga mahakamani mlivo watupu....japo wengine mna majina makubwa kama Pita Kibatala
Haha sawa Mkuu naona umepanikLengo lako hasa ni nini? Halafu iweje? Acha mambo yasiyo na maana Mkuu
Wewe ndiwe uliyepanic. Jihusishe na mambo ya maana. Kama unataka kuwa Mwanasheria, pambana na utakuwa. Usijipe tabu kufuatilia watu wasiokuhusu.Haha sawa Mkuu naona umepanik
Yeah, he sounds like a wannabe!Wewe ndiwe uliyepanic. Jihusishe na mambo ya maana. Kama unataka kuwa Mwanasheria, pambana na utakuwa. Usijipe tabu kufuatilia watu wasiokuhusu.
Hata hajapaniki.Haha sawa Mkuu naona umepanik
majina matano yote ayo au ndo sifa..Acha kupanic bhana hapa JF watu ndo wanakuona kama eti ndo mwanasheria ila bhana sisi tunawaonaga sana nyie vilaza mahakamani bhana lazima tuongee ukweli...Wewe ndiwe uliyepanic. Jihusishe na mambo ya maana. Kama unataka kuwa Mwanasheria, pambana na utakuwa. Usijipe tabu kufuatilia watu wasiokuhusu.
Hapana nilikua naona ikitokea ishu ya sheria hapa JF...jamaa anaitwa atoe eti "ushauri wa kisheria" sasa ndo nikasema naomba aniambie case alizoshinda ili nizifuatilie nione kama sio bush lawyer kama wenzake.....Hata hajapaniki.
Unahitaji case alizoshinda ili umpe kazi au!!?
Sasa unaumizwa na nini Mkuu? Acha mambo ya hovyoHapana nilikua naona ikitokea ishu ya sheria hapa JF...jamaa anaitwa atoe eti "ushauri wa kisheria" sasa ndo nikasema naomba aniambie case alizoshinda ili nizifuatilie nione kama sio bush lawyer kama wenzake.....
Maana ni kama yule kibatala ana jina kubwa...juzi kwenye case ya yule msanii anashindwa hata kuweka foundation ya documentary evidence.......
Siyo kweli kamili. Fanya utafiti zaidi. 1st class zilianza kupatikana mwaka 1973/74Leo nimekumbuka historia hii kama kumbukumbu:
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam almaarufu kama UDSM kilianzishwa mwaka 1961 kikiwa na kitivo kimoja tu cha Sheria. Kilianzia Lumumba na sasa Mwalimu Julius Nyerere Mlimani Campus kikiwa na Koleji na Shule Kuu mbalimbali.
Tangu kuanzishwa kwake,Kitivo cha Sheria kimetoa wahitimu wanne tu waliokuwa na ufaulu wa Daraja la Kwanza(yaani First Class-GPA ya 4.4 hadi 5.0).
Hao ni Dr.Ringo William Tenga,Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi, Dr.Asha-Rose Mtengeti Migiro na Prof. Hamudi Ismail Majamba. Hawa wanastahili sifa.Wanastahili kuitwa 'the Big Four'.Tangu mwaka 1992,hakukuwa na Daraja la kwanza lingine.
Wengine tulijaribu lakini tukashindwa.Tukaishia na Daraja la Pili la Juu (Upper Second Class). Ikumbukwe kuwa,Kitivo cha Sheria ndicho kinachochukua wanafunzi wanaofaulu zaidi,'the Cream of the Nation' kwa masomo ya sanaa(lakini kwasasa TCU wanaleta hata daraja la pili).
Juhudi ziongezwe kwa wengine kupata Daraja la Kwanza kitivoni hapo.Wapo watakaoweza. Wajiunge na wastahili hao. Mazingira ya kujisomea UDSM yanaboreshwa kila kukicha. Inawezekana hata kwa wengine.
Nitafanya utafiti zaidi Mkuu. AsanteSiyo kweli kamili. Fanya utafiti zaidi. 1st class zilianza kupatikana mwaka 1973/74
Huoni kama inaumiza?? Mteja anaenda kufungwa kwa uvilaza wenu afu unasema naumia na nn?? Yani unachukua hela ya mtu afu unakua kilaza afu unasema naumia nn ??Sasa unaumizwa na nini Mkuu? Acha mambo ya hovyo
Leo nimekumbuka historia hii kama kumbukumbu:
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam almaarufu kama UDSM kilianzishwa mwaka 1961 kikiwa na kitivo kimoja tu cha Sheria. Kilianzia Lumumba na sasa Mwalimu Julius Nyerere Mlimani Campus kikiwa na Koleji na Shule Kuu mbalimbali.
Tangu kuanzishwa kwake,Kitivo cha Sheria kimetoa wahitimu wanne tu waliokuwa na ufaulu wa Daraja la Kwanza(yaani First Class-GPA ya 4.4 hadi 5.0).
Hao ni Dr.Ringo William Tenga,Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi, Dr.Asha-Rose Mtengeti Migiro na Prof. Hamudi Ismail Majamba. Hawa wanastahili sifa.Wanastahili kuitwa 'the Big Four'.Tangu mwaka 1992,hakukuwa na Daraja la kwanza lingine.
Wengine tulijaribu lakini tukashindwa.Tukaishia na Daraja la Pili la Juu (Upper Second Class). Ikumbukwe kuwa,Kitivo cha Sheria ndicho kinachochukua wanafunzi wanaofaulu zaidi,'the Cream of the Nation' kwa masomo ya sanaa(lakini kwasasa TCU wanaleta hata daraja la pili).
Juhudi ziongezwe kwa wengine kupata Daraja la Kwanza kitivoni hapo.Wapo watakaoweza. Wajiunge na wastahili hao. Mazingira ya kujisomea UDSM yanaboreshwa kila kukicha. Inawezekana hata kwa wengine.
Haya Mkuu, kunywa maji upumzike. Maana unaelekea kurukwa kwa mambo yasiyo na maana kwenye maisha yako. Ukiwa na jinai ndiyo utajua kama Mawakili ni vilaza au la. Siku njema!Huoni kama inaumiza?? Mteja anaenda kufungwa kwa uvilaza wenu afu unasema naumia na nn?? Yani unachukua hela ya mtu afu unakua kilaza afu unasema naumia nn ??
Afu ndo unasema una gpa ya uper second??? Sasa kama logic ndogo kama iyo inakushinda iyo upper second imekusaidiaje ktk maisha yako????