cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,749
- 189,134
Mwaka gan?Sasa ni kudanganye ili iweje? Hao nime maliza nao Advance mwaka mmoja na shule moja,so najua ninacho kizungumza.
Mwaka gan?Sasa ni kudanganye ili iweje? Hao nime maliza nao Advance mwaka mmoja na shule moja,so najua ninacho kizungumza.
Aseme ni mwaka upi?Huyu binti mpotezee tu, unapoteza nguvu bure kumjibu.
2009 inawezekana ulikuwa bado upo primary.Mwaka gan?
Nimepiga shule pale. Mwl wangu ni Kyaruzi, Mvungi, Elias, Khadija, Luhanga (RIP), Mshana, Kissaka na wengine. Ila haiondoi ujalala wake.Hukusoma UDSM? poleeeeeh
Kabisa mkuuPAMOJA NA HAYO YOTE BADO UDSM KITABAKIA KUWA CHUO KIKUU BORA KUWAHI KUTOKEA TANZANIA
Hapo umesema kuwahu kutokeaPAMOJA NA HAYO YOTE BADO UDSM KITABAKIA KUWA CHUO KIKUU BORA KUWAHI KUTOKEA TANZANIA
Hapo kwenye baba lao, ndo ulichokosea mkuuElimu inayotolewa vyuoni inaweza kuwa ni ile ile tu kwa vyuo vingi maana hata waalimu wa vyuo vingine wengi wanatokea udsm.
Ishu kubwa katika hivi vyuo ni uzito wa jina la chuo, baaasi??
Mtu anaweza kuwa na gpa ya 4.3 kutoka vyuo vingine lakini mtu wa Udsm mwenye gpa ya 2.9 akapewa uzito kwasababu tu kasoma udsm.
Ukiangalia vizuri unakuja kugundua vyeo vingi sana vya serikalini vya juu juu wengi ni wahitimu wa udsm, ni kama vile wanabebana kifamilia.
Kupata nafasi tu ya kusoma udsm ni heshima kubwa sana, mtu anaweza kawa kapata divisioni 3 form 4, division 3 form 6 lakini akiinga tu udsm ana uwanja mpana sana kuliko kipanga aliepiga division 1 kali form 4 na 6 ila akaishia kusomea vyuo vingine.
Kwa lugha nyepesi, UDSM NI BABA LAO!!
Hukusoma UD, poleeeehNimepiga shule pale. Mwl wangu ni Kyaruzi, Mvungi, Elias, Khadija, Luhanga (RIP), Mshana, Kissaka na wengine. Ila haiondoi ujalala wake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]UD walininyima udahili. Siwatetei kwenye uzi
kwa sababu ni cha zamani tu na sio vinginevyoPAMOJA NA HAYO YOTE BADO UDSM KITABAKIA KUWA CHUO KIKUU BORA KUWAHI KUTOKEA TANZANIA
Hili swali gumu sana. najua hapa umemshika pabayaUnataka vigezo gani wewe, jadili hoja usilete maneno tu nitajie tafiti hata tano mwaka 2021 zilizofanywa na Udsm kama ni chuo bora kweli kama kinavyojipambanua ambazo zimeleta au zinaendelea kuleta matokeo chanya kwenye sekta yeyote.
Sasa mbona unamkataa baba ako au kisa ana majibu tofauti na nyie mnayotaka ?Hukusoma UD, poleeeeh
Badala ya kushangaa mueleweshe!Mie sina ufahamu mkubwa sana wa mambo. Ila nilishangaa sana mhitimu wa degree wa UDSM hajui kutuma email. Yaani hajui subject inamanisha nini na kwenye email content iweje. Hajui hata maneno ya kuanzia yanakuwaje na akituma email eti anatuma ikiwa haina subject. Nilishangaa sana.