Oya,wengne tuko kwenye starehe zetu huku,hayo matangazo yamewekwa lini?
Lol! Boom bado halijaisha tu? Pole na starehe za wikiendi kijana
inaonyesha ww upo chuo bila kujua nn kinaendelea au umeenda kuuza sura?Oya,wengne tuko kwenye starehe zetu huku,hayo matangazo yamewekwa lini?
kwani kumbe wanafunzi huwa wanagoma kwa makusudi?vijana vp mmeghair kugoma
inaonyesha ww upo chuo bila kujua nn kinaendelea au umeenda kuuza sura?
kugoma hamna diliAcheni uwoga sisi enzi zetu tulikuwa tukiamua kugoma tunagoma na tatizo linatatuliwa mara moja, siku hizi tatizo wamejaa wengi ambao wanaona kama wamepata favour kuingia vyuoni. Nani asiyetaka hali bora chuoni? Acheni unafiki vijana
-Ni baada ya kubandika majina mengine ya watu 22 ambao kesho wanatakiwa kwenda kuchukua barua za kurudi nyumbani,ukiachia mbali wale 12 waliopewa barua lastly week na hali kesi zao mahakamani hazijafutwa na hakuna mategemeo ya kufutwa hivyo Jumla yao wote ni 34.
Mbao zote za matangazo usiku huu zimejaa tangazo la kukutana revolution square kesho saa saba mchana kwa ajili ya kutokubaliana na hilo.