Udsm kesho kuchafuka zaidi

Acheni uwoga sisi enzi zetu tulikuwa tukiamua kugoma tunagoma na tatizo linatatuliwa mara moja, siku hizi tatizo wamejaa wengi ambao wanaona kama wamepata favour kuingia vyuoni. Nani asiyetaka hali bora chuoni? Acheni unafiki vijana
 
Acheni uwoga sisi enzi zetu tulikuwa tukiamua kugoma tunagoma na tatizo linatatuliwa mara moja, siku hizi tatizo wamejaa wengi ambao wanaona kama wamepata favour kuingia vyuoni. Nani asiyetaka hali bora chuoni? Acheni unafiki vijana
kugoma hamna dili
 
-Ni baada ya kubandika majina mengine ya watu 22 ambao kesho wanatakiwa kwenda kuchukua barua za kurudi nyumbani,ukiachia mbali wale 12 waliopewa barua lastly week na hali kesi zao mahakamani hazijafutwa na hakuna mategemeo ya kufutwa hivyo Jumla yao wote ni 34.
Mbao zote za matangazo usiku huu zimejaa tangazo la kukutana revolution square kesho saa saba mchana kwa ajili ya kutokubaliana na hilo.

UDSM na UDOM wasipofanya mabadiliko wanatupeleka pabaya...huu mtindo wa kuwafukuza watu kama njugu haukubaliki...nadhani kuna haja ya kuwauliza huyu Mkandala na Mlacha wanafanya kazi kwa niaba ya nani? Kuna njama za kufukuza vijana wanaodai haki zao kwa kisingizio kuwa ni member wa CDM......
 
Sijapata infoz toka rev square coz nlikuwa kwa class but soon ntawajuzeni wana Jf .Na kama kuna m2 ambaye yupo maeneo ya cafeteria na coET anaweza kutujuza.Nipo yombo 5 ndo naelekea huko kwa wadau.Huku yombo kukofine no any rumourz,
I Will be back after a Moment.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom