Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 53,759
- 99,630
Naisindikiza kwa AMEN kubwa.Mungu ibariki DARUSO
Naisindikiza kwa AMEN kubwa.Mungu ibariki DARUSO
Baada ya CCM kuanguka sasa hivi siasa itakuwa uhaini chuoniSiasa si zimekatazwa vyuoni?
Hahahahaaa! Kabisa. Yaani CCM akili zao mbovu kama za hawara yangu wa zamani. Very hopeless bunch of heathens!Baada ya CCM kuanguka sasa hivi siasa itakuwa uhaini chuoni
Ha ha ha! J. Sonzi, Petrobes Kitambo, et. al.Tatizo wanatumia hizo nafasi kujijenga wakishakuwa maarufu wanahamia ccm kwenda kuwa wakuu wa wilaya
Mtatiro Julius ni mwadilifu sanaaa
Bila polisi kutumika kuiba masanduku au kumimina risasi za moto ccm haiwezi kushinda uchaguzi wowoteHahahahaaa! Kabisa. Yaani CCM akili zao mbovu kama za hawara yangu wa zamani. Very hopeless bunch of heathens!
Inatufundisha kuwa tusipende kupiga samasoti huku tumevaa misuli bila mikwega.Hii inatufundisha nini wewe mzee chakubanga?
Mkuu, mjumbe hauwawiUnatafuta msonyo toka kwa makomredi wenzio bila ya sababu!!
Aliyejiteka alitakiwa kunyimwa dhamana kwa maelezo toka kwa mwendesha Mashitaka wa serikali kuwa "watekaji" bado wapo wanaweza kumteka tena Nondo!JPM alishawakataza kufanya siasa vyuoni.....nyie endeleeni mtajikuta mnajiteka kama NONDO
Lissu hatakuwepo lakini Mungu aliye hai aliyemuokoa dhidi ya waliotaka kumuua atakuwepo!Tundu Lisu atahudhuria siku ya kuapishwa?
Ni mwanafunzi mwenzake!!Huyo aliyemtangaza Nhonya kuwa mshindi analipwa mshahara na nani?
Lissu hatakuwepo lakini Mungu aliye hai aliyemuokoa dhidi ya waliotaka kumuua atakuwepo!