UDSM: CHADEMA yaibuka kidedea uchaguzi wa DARUSO

UDSM: CHADEMA yaibuka kidedea uchaguzi wa DARUSO

Vyuoni hakuna siasa kwa hiyo useme serikali imeshinda. Vipi hali ya uchumi huko Tanzania? Huku China uchumi umepata malale/sleeping sickness.
 
Mgombea wa Urais wa Serikali ya Wanafunzi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam alias DARUSO aliyekuwa akiungwa mkono na CHADEMA Ndugu Haroun Nhonya ameibuka kidedea katika uchaguzi huo kwa kuwashinda Makomredi wetu wa CCM Ndugu Isack Frank na Evarist Matulanya.

Utaratibu wa kumuapisha Rais mteule Nhonya unaendelea. Makomredi, pamoja na kusaidiwa na chama, wamepigwa kumbo na Nhonya. Hongereni CHADEMA. Tunajipanga kichama na tutakuja kivingine katika chaguzi nyinginezo hapo UDSM na kwingineko.

Bunge ni la kupewa taarifa au kujadili na kuipitisha bajeti!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Lupunga, Pwani)
poleni mkuu...
 
Mgombea wa Urais wa Serikali ya Wanafunzi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam alias DARUSO aliyekuwa akiungwa mkono na CHADEMA Ndugu Haroun Nhonya ameibuka kidedea katika uchaguzi huo kwa kuwashinda Makomredi wetu wa CCM Ndugu Isack Frank na Evarist Matulanya.

Utaratibu wa kumuapisha Rais mteule Nhonya unaendelea. Makomredi, pamoja na kusaidiwa na chama, wamepigwa kumbo na Nhonya. Hongereni CHADEMA. Tunajipanga kichama na tutakuja kivingine katika chaguzi nyinginezo hapo UDSM na kwingineko.

Bunge ni la kupewa taarifa au kujadili na kuipitisha bajeti!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Lupunga, Pwani)
kiki zote za mkulu pamoja na manunuzi bado watu hawashoboki, hakika 2020 bila mbeleko ya NEC na polisi wanalumumba hatutoboi
 
Hakuna uchaguzi ambao ccm bila mapolisi, wizi na msaada wa vitu kama Nec kamwe hawawezi kushinda, hata wao wanajua hili.
 
Mgombea wa Urais wa Serikali ya Wanafunzi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam alias DARUSO aliyekuwa akiungwa mkono na CHADEMA Ndugu Haroun Nhonya ameibuka kidedea katika uchaguzi huo kwa kuwashinda Makomredi wetu wa CCM Ndugu Isack Frank na Evarist Matulanya.

Utaratibu wa kumuapisha Rais mteule Nhonya unaendelea. Makomredi, pamoja na kusaidiwa na chama, wamepigwa kumbo na Nhonya. Hongereni CHADEMA. Tunajipanga kichama na tutakuja kivingine katika chaguzi nyinginezo hapo UDSM na kwingineko.

Bunge ni la kupewa taarifa au kujadili na kuipitisha bajeti!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Lupunga, Pwani)
mzee tupa itisheni mkutano yenu ya cc na NEC mjipange, upepo wa kisiasa umegeuka ghafla. bungeni moto, bandarini moto. na sasa udsm moto.

mmeisha tumia trial. 1.5 so far na bado hakuna nafuu. mpaka mmemtosa Makungu yule kachero wa wasiojulikana lakini bado.

juzi waziri wa kilimo Amelia bungeni mambo ni moooto.
 
Mgombea wa Urais wa Serikali ya Wanafunzi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam alias DARUSO aliyekuwa akiungwa mkono na CHADEMA Ndugu Haroun Nhonya ameibuka kidedea katika uchaguzi huo kwa kuwashinda Makomredi wetu wa CCM Ndugu Isack Frank na Evarist Matulanya.

Utaratibu wa kumuapisha Rais mteule Nhonya unaendelea. Makomredi, pamoja na kusaidiwa na chama, wamepigwa kumbo na Nhonya. Hongereni CHADEMA. Tunajipanga kichama na tutakuja kivingine katika chaguzi nyinginezo hapo UDSM na kwingineko.

Bunge ni la kupewa taarifa au kujadili na kuipitisha bajeti!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Lupunga, Pwani)
Mkuu mi nakufuatiliaga tuu kujua Kwasasa upo wapi....
 
Mkuu, mjumbe hauwawi

Mzee Tupatupa
Ni wapi mzee Tupatupa ambako kulikuwa na uchaguzi huru na haki CCM ikashinda? Nakuapizia kabisa CCM hauwezi kushinda hata tukishindanisha mataahira ya Lumumba na mataahira ya upinzani kama yapo, ccm utaangukia pua tu!
 
Mgombea wa Urais wa Serikali ya Wanafunzi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam alias DARUSO aliyekuwa akiungwa mkono na CHADEMA Ndugu Haroun Nhonya ameibuka kidedea katika uchaguzi huo kwa kuwashinda Makomredi wetu wa CCM Ndugu Isack Frank na Evarist Matulanya.

Utaratibu wa kumuapisha Rais mteule Nhonya unaendelea. Makomredi, pamoja na kusaidiwa na chama, wamepigwa kumbo na Nhonya. Hongereni CHADEMA. Tunajipanga kichama na tutakuja kivingine katika chaguzi nyinginezo hapo UDSM na kwingineko.

Bunge ni la kupewa taarifa au kujadili na kuipitisha bajeti!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Lupunga, Pwani)
haujui lolote wewe, ivi kipara kipindi kile alikuwa ccm/chadema na akina ally hapi?. ah aha a aa wote hao ni ccm waliojivika uukawa. hakuna chadema hata moja hapo wote wana kadi za lumumba. hata nhonya ni wale wale.
 
Hakuna simu Ccm wamewahi kushinda uchaguzi wenye wapinzani. Juwa Ccm wanasaidiwa na organs nyingine kibabe
 
Back
Top Bottom