Kilichotokea uchaguzi wa DARUSO ni ishara kuwa CCM imechakaa

Sep 29, 2016
34
83
KILICHOTOKEA UCHAGUZI WA DARUSO-MLIMANI (UDSM) NI ISHARA KUWA CCM IMECHAKAA

Na Mwl Razaq Mtele Malilo

Tarehe 20/4/2017 kulikuwa na uzinduzi wa kampeni za uchaguzi wa Rais wa serikali ya wanafunzi CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM (CKD) maarufu kama UDSM, uzinduzi uliofanyika katika viunga vya YOMBO 4 moja ya kumbi kubwa za mihadhara katika chuo hiki kikongwe Tanzania.

Katika uzinduzi huo uliojumuisha wagombea watatu wa nafasi ya urais ambao ni JOHN JEREMIAH, EMMANUEL PAUL na RICHARD AUGUSTINO.
Katika uzinduzi huo ndugu JOHN JEREMIAH alionekana kuwa na mvuto mkubwa huku akishangiliwa kwa mbwembwe mno ndani ya ukumbi akifuatiwa na EMMANUEL PAUL ambaye alishangiliwa kwa mbwembwe wenda kwa sababu tu anatokea ndaki yenye wanafunzi wengi katika chuo ambayo ni ndaki ya Insia yaani College of Humanity (COHU) na kelele hizo kuhusishwa na siasa za undaki.
Ndugu RICHARD AUGUSTINO alionekana kuwa na hoja nzuri lakini Sera yake ya kuirudisha UDSM kwenye Shirikisho la Vyuo vikuu nchini (TAHILISO) ambapo udsm ilijitoa chini ya utawala wa KITAPONDA AHADI ,Sera hii ilipelekea ndugu Richard kupingwa na wanaharakati wa Siasa za DARUSO kwa nguvu zote kwani hawaoni umuhimu wa kuwa na shirikisho hilo ambalo limeshindwa kupigania maslahi ya wanavyuo nchini.
Hii ilipelekea ndugu Richard kuonekana kupoteza ushawishi na hata tafiti iliyofanyika na Taasisi ya MALILO TRUTH GROUP (MTG) kumweka katika nafasi ya mwisho kwa asilimia ya ushindi kwa mujibu wa tafiti walioufanya.

Ndugu EMMANUEL PAUL alionekana ndiye mshindani mkubwa wa JOHN JEREMIAH lakini kadri ya siku zilivyokwenda ndugu PAUL alikuwa anapoteza ushawishi wa kisiasa na hii baada tu ya kusambaa kwa picha ikimuonesha ndugu EMMANUEL PAUL akiwa kwenye sare za CCM akiwa na makada mbalimbali wa CCM wakiwa kwenye sare na kuelezwa kuwa alikuwa anagombea uongozi ndani ya chama hiko kupitia UVCCM lakini alishindwa kwenye uchaguzi huo.
Zipo taarifa za ndani zinazosema picha hiyo ilisambazwa na moja ya kada mkongwe wa CCM hapa UDSM ambaye alikuwa akimuunga mkono ndugu JOHN JEREMIAH na lengo la kusambaza kwake ni kumkatia upepo ndugu EMMANUEL PAUL ambaye alikuwa anampa homa ndugu JEREMIAH.
Baada tu ya kusambaa picha hiyo kwenye mitandao ya kijamii hasa makundi ya whatsapp ya wanaudsm, Instagram na Facebook ilikata kabisa upepo wa ushawishi wa ndugu EMMANUEL PAUL na kumpoteza kumtoa kabisa kwenye ushindani.
Na hii ikamfanya ndugu Paul kuanguka vibaya hata kupoteza kura kwenye ndaki yake ya nyumbani ndaki ya insia na kuwa mtu wa mwisho kwenye matokeoa ya uchaguzi.

Wachambuzi mbalimbali wa masuala ya kisiasa za UDSM wanahusisha tukio hili la kutumia picha ya CCM ili kumpotezea mtu ushindi na kumchafua na hadi kupelekea kuanguka kabisa na kuwa wa mwisho ni ishara tosha kuwa CCM imechokwa hususani na wanavyuo.
Ni jambo ambalo si zuri kwa CCM kwamba mgombea yeyote ambaye atabainika ni CCM kwa dhahiri basi hawezi kushinda katika chaguzi za vyuo vikuu maslani CHUO KIKUU CHA DSM kwakuwa tu ya UCCM wake hata kama ana uwezo.
Hii inamaanisha kuwa CCM imepoteza ushawishi miungoni mwa wanajamii hususani wasomi wa vyuo vikuu.
CCM UDSM inatakiwa ikae ijiulize kuanguka kwa kifo cha mende kwa ndugu PAUL kwa sababu tu ya picha iliyosambazwa ya mgombea akiwa na makada wa CCM ikapelekea kupoteza kwa mgombea.
CCM ijiulize ni kwa nini iwe hivi ? Kisha ijitathmini imewafanyia nini wanaudsm hadi wawe na hasira na mgombea kwakuwa tu ameonekana akiwa kwenye sare za CCM na watu wakamchukia moja kwa moja hadi kupoteza kura hadi kwenye College yake ya COHU ambayo mara nyingi mgombea anayetokea college yao lazima wampe kura za kutosha.
Hili ni jambo ambalo CCM inatakiwa ijiulize na kujifunza.

Katika uchaguzi huo wa DARUSO ndugu JOHN JEREMIAH aliibuka mshindi akifuatiliwa na ndugu RICHARD AUGUSTINO na mwisho kabisa ni ndugu EMMANUEL PAUL

DEMOKRASIA NA HAKI NDIO MISINGI YA AMANI

By Mwl Razaq Mtele Malilo
BAED-UDSM
 
Sasa kama walifikiri kwa kutotumia akili zao kuwa ni mtu labda katunwa na CCM, si ni kuonyesha hao wanafunzi hawana fikra wala hawajui wanalofanya hapo.

Utafikiri wao kama wana kadi za kupiga kura huwa hawaendi kuchagua vhama vyao. Wanafunzi wamekalia udaku tu mitandaoni, mwisho wa siku mnatoka bila ujuzi mkikosa kazi mnaishia kulalamikia serikali, na bado mtanyooka tu.

Serikali ya awamu hii inaonyesha jinsi ilivyo na mazuri mengi kwa wananchi wake.

Mkipeleka siasa huko na kwenye vitabu itawaingia na mkifeli mtajiju wenyewe sio kiongozi wa nini au nini atawanyanyua kuwapa pesa mezani. Hapo mnapita tu

Hapa kazi tu

Magufuli 2020
 
Sasa kama walifikiri kwa kutotumia akili zao kuwa ni mtu labda katunwa na CCM, si ni kuonyesha hao wanafunzi hawana fikra wala hawajui wanalofanya hapo.

Utafikiri wao kama wana kadi za kupiga kura huwa hawaendi kuchagua vhama vyao. Wanafunzi wamekalia udaku tu mitandaoni, mwisho wa siku mnatoka bila ujuzi mkikosa kazi mnaishia kulalamikia serikali, na bado mtanyooka tu.

Serikali ya awamu hii inaonyesha jinsi ilivyo na mazuri mengi kwa wananchi wake.

Mkipeleka siasa huko na kwenye vitabu itawaingia na mkifeli mtajiju wenyewe sio kiongozi wa nini au nini atawanyanyua kuwapa pesa mezani. Hapo mnapita tu

Hapa kazi tu

Magufuli 2020
Kazi ipi? kuendesha gari Ooh Lori vibaya.
 
Sasa kama walifikiri kwa kutotumia akili zao kuwa ni mtu labda katunwa na CCM, si ni kuonyesha hao wanafunzi hawana fikra wala hawajui wanalofanya hapo.

Utafikiri wao kama wana kadi za kupiga kura huwa hawaendi kuchagua vhama vyao. Wanafunzi wamekalia udaku tu mitandaoni, mwisho wa siku mnatoka bila ujuzi mkikosa kazi mnaishia kulalamikia serikali, na bado mtanyooka tu.

Serikali ya awamu hii inaonyesha jinsi ilivyo na mazuri mengi kwa wananchi wake.

Mkipeleka siasa huko na kwenye vitabu itawaingia na mkifeli mtajiju wenyewe sio kiongozi wa nini au nini atawanyanyua kuwapa pesa mezani. Hapo mnapita tu

Hapa kazi tu

Magufuli 2020
haikua nia yangu kuchangia huu Uzi, lakini kama unayosema unamaanisha basi
hakika una upeo mdogo sana.

kwanza nikukumbushe: kufeli vyuo vikuu kwa mwanafunzi ni constant law. kila mwaka wanafunzi wanafeli. that's normal. watu walianza kufeli kabla mitandao ya kijamii na udakuz havijawepo .
swala la mwanafunzi kutoka bila ujuzi linawahusu wakufunzi na sio wanafunzi. you are what you eat.

Mwisho kabisa. siasa ni sehemu ya Ujuzi. vyuo vikuu ni kiwanda cha kuzalisha wanasiasa na siasa. ni sehemu ya kujifunza kujenga hoja na kuelewa serikali inavyoongoza nk. kuna masomo kama democracy and governance watu wanajifunza siasa. in short, Siasa ni Somo pia lina ongeza Credit hours za GPA.
by ze way..hao wakina bashite walikua wanafunzi wanasiasa leo hii wamekamata ofisi. how about that, ah??

hayo unayoyaita ni mazuri ya serikali hii ulipaswa uyajadili sio kuyasemea kwa hisia.


naff said
 
haikua nia yangu kuchangia huu Uzi, lakini kama unayosema unamaanisha basi
hakika una upeo mdogo sana.

kwanza nikukumbushe: kufeli vyuo vikuu kwa mwanafunzi ni constant law. kila mwaka wanafunzi wanafeli. that's normal. watu walianza kufeli kabla mitandao ya kijamii na udakuz havijawepo .
swala la mwanafunzi kutoka bila ujuzi linawahusu wakufunzi na sio wanafunzi. you are what you eat.

Mwisho kabisa. siasa ni sehemu ya Ujuzi. vyuo vikuu ni kiwanda cha kuzalisha wanasiasa na siasa. ni sehemu ya kujifunza kujenga hoja na kuelewa serikali inavyoongoza nk. kuna masomo kama democracy and governance watu wanajifunza siasa. in short, Siasa ni Somo pia lina ongeza Credit hours za GPA.

hayo unayoyaita ni mazuri ya serikali hii ulipaswa uyajadili sio kuyasemea kwa hisia. naff said

Kwahiyo hivyo vyuo vyenu kusoma somo la Siasa ni compulsory kwa kila mwanafunzi!?
 
Sasa kama walifikiri kwa kutotumia akili zao kuwa ni mtu labda katunwa na CCM, si ni kuonyesha hao wanafunzi hawana fikra wala hawajui wanalofanya hapo.

Utafikiri wao kama wana kadi za kupiga kura huwa hawaendi kuchagua vhama vyao. Wanafunzi wamekalia udaku tu mitandaoni, mwisho wa siku mnatoka bila ujuzi mkikosa kazi mnaishia kulalamikia serikali, na bado mtanyooka tu.

Serikali ya awamu hii inaonyesha jinsi ilivyo na mazuri mengi kwa wananchi wake.

Mkipeleka siasa huko na kwenye vitabu itawaingia na mkifeli mtajiju wenyewe sio kiongozi wa nini au nini atawanyanyua kuwapa pesa mezani. Hapo mnapita tu

Hapa kazi tu

Magufuli 2020
Mbali ya rais Pombe kuwafungulia hostel kwa mbwembwe mgombea kwa tiketi ya kijani kapigwa chini.
 
KILICHOTOKEA UCHAGUZI WA DARUSO-MLIMANI (UDSM) NI ISHARA KUWA CCM IMECHAKAA

Na Mwl Razaq Mtele Malilo

Tarehe 20/4/2017 kulikuwa na uzinduzi wa kampeni za uchaguzi wa Rais wa serikali ya wanafunzi CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM (CKD) maarufu kama UDSM, uzinduzi uliofanyika katika viunga vya YOMBO 4 moja ya kumbi kubwa za mihadhara katika chuo hiki kikongwe Tanzania.

Katika uzinduzi huo uliojumuisha wagombea watatu wa nafasi ya urais ambao ni JOHN JEREMIAH, EMMANUEL PAUL na RICHARD AUGUSTINO.
Katika uzinduzi huo ndugu JOHN JEREMIAH alionekana kuwa na mvuto mkubwa huku akishangiliwa kwa mbwembwe mno ndani ya ukumbi akifuatiwa na EMMANUEL PAUL ambaye alishangiliwa kwa mbwembwe wenda kwa sababu tu anatokea ndaki yenye wanafunzi wengi katika chuo ambayo ni ndaki ya Insia yaani College of Humanity (COHU) na kelele hizo kuhusishwa na siasa za undaki.
Ndugu RICHARD AUGUSTINO alionekana kuwa na hoja nzuri lakini Sera yake ya kuirudisha UDSM kwenye Shirikisho la Vyuo vikuu nchini (TAHILISO) ambapo udsm ilijitoa chini ya utawala wa KITAPONDA AHADI ,Sera hii ilipelekea ndugu Richard kupingwa na wanaharakati wa Siasa za DARUSO kwa nguvu zote kwani hawaoni umuhimu wa kuwa na shirikisho hilo ambalo limeshindwa kupigania maslahi ya wanavyuo nchini.
Hii ilipelekea ndugu Richard kuonekana kupoteza ushawishi na hata tafiti iliyofanyika na Taasisi ya MALILO TRUTH GROUP (MTG) kumweka katika nafasi ya mwisho kwa asilimia ya ushindi kwa mujibu wa tafiti walioufanya.

Ndugu EMMANUEL PAUL alionekana ndiye mshindani mkubwa wa JOHN JEREMIAH lakini kadri ya siku zilivyokwenda ndugu PAUL alikuwa anapoteza ushawishi wa kisiasa na hii baada tu ya kusambaa kwa picha ikimuonesha ndugu EMMANUEL PAUL akiwa kwenye sare za CCM akiwa na makada mbalimbali wa CCM wakiwa kwenye sare na kuelezwa kuwa alikuwa anagombea uongozi ndani ya chama hiko kupitia UVCCM lakini alishindwa kwenye uchaguzi huo.
Zipo taarifa za ndani zinazosema picha hiyo ilisambazwa na moja ya kada mkongwe wa CCM hapa UDSM ambaye alikuwa akimuunga mkono ndugu JOHN JEREMIAH na lengo la kusambaza kwake ni kumkatia upepo ndugu EMMANUEL PAUL ambaye alikuwa anampa homa ndugu JEREMIAH.
Baada tu ya kusambaa picha hiyo kwenye mitandao ya kijamii hasa makundi ya whatsapp ya wanaudsm, Instagram na Facebook ilikata kabisa upepo wa ushawishi wa ndugu EMMANUEL PAUL na kumpoteza kumtoa kabisa kwenye ushindani.
Na hii ikamfanya ndugu Paul kuanguka vibaya hata kupoteza kura kwenye ndaki yake ya nyumbani ndaki ya insia na kuwa mtu wa mwisho kwenye matokeoa ya uchaguzi.

Wachambuzi mbalimbali wa masuala ya kisiasa za UDSM wanahusisha tukio hili la kutumia picha ya CCM ili kumpotezea mtu ushindi na kumchafua na hadi kupelekea kuanguka kabisa na kuwa wa mwisho ni ishara tosha kuwa CCM imechokwa hususani na wanavyuo.
Ni jambo ambalo si zuri kwa CCM kwamba mgombea yeyote ambaye atabainika ni CCM kwa dhahiri basi hawezi kushinda katika chaguzi za vyuo vikuu maslani CHUO KIKUU CHA DSM kwakuwa tu ya UCCM wake hata kama ana uwezo.
Hii inamaanisha kuwa CCM imepoteza ushawishi miungoni mwa wanajamii hususani wasomi wa vyuo vikuu.
CCM UDSM inatakiwa ikae ijiulize kuanguka kwa kifo cha mende kwa ndugu PAUL kwa sababu tu ya picha iliyosambazwa ya mgombea akiwa na makada wa CCM ikapelekea kupoteza kwa mgombea.
CCM ijiulize ni kwa nini iwe hivi ? Kisha ijitathmini imewafanyia nini wanaudsm hadi wawe na hasira na mgombea kwakuwa tu ameonekana akiwa kwenye sare za CCM na watu wakamchukia moja kwa moja hadi kupoteza kura hadi kwenye College yake ya COHU ambayo mara nyingi mgombea anayetokea college yao lazima wampe kura za kutosha.
Hili ni jambo ambalo CCM inatakiwa ijiulize na kujifunza.

Katika uchaguzi huo wa DARUSO ndugu JOHN JEREMIAH aliibuka mshindi akifuatiliwa na ndugu RICHARD AUGUSTINO na mwisho kabisa ni ndugu EMMANUEL PAUL

DEMOKRASIA NA HAKI NDIO MISINGI YA AMANI

By Mwl Razaq Mtele Malilo
BAED-UDSM
Basi chadema mna marais wengi sana sasa, naona angalau mmeridhika!
1. Rais wa TLS,
2. Rais wa wanafunzi, etc
 
Mbali ya rais Pombe kuwafungulia hostel kwa mbwembwe mgombea kwa tiketi ya kijani kapigwa chini.

Hiyo haijalishi, hata wakichukuliwa tuseme kupiga kura na kuchagua chama kingine hawatabadili matokeo. Ni wachache sana, jambo ni udaku umewajaaa. Kama wanaweka siasa kuchagua mgombea ndio maana nashangaa kama vyama ndivyo vinaongoza hapo chuoni au?

Kwa mimi ambaye sijasoma vyuo hivyo naona kwamba ni udaku tu ndio unawajaa wanafunzi wengi sana wa miaka hii. Na mwisho wa siku tusisikie wakilalamika sijui kazi sijui nini, wakati hawana akili za hata ujuzi na maarifa. Ndio maana hawapatagi kazi miaka hii wengi wao.

Magufuli 2020 kama kawa
 
Kwahiyo hivyo vyuo vyenu kusoma somo la Siasa ni compulsory kwa kila mwanafunzi!?
kwanza kila chuo kina mitaala yake kutokana na fani wanazosomea. lakini vyuo vingi nchini vina toa Elimu katika field nyingi ikiwemo inayogusa siasa.

Nachotaka kukuelewesha ni kwamba Siasa ni sehemu ya vyuo.
serikali ime stick his Big nose into every university kuhakikisha kua wanaochaguliwa wana influence Serikali na sio wanaipinga. iwe kwa mikopo ya wanafunzi, mitaala, utawala, miundombinu, sera, migomo(Strikes) nk.
vyama pinzani navyo haviko nyuma kuhakikisha vinapata watu kupitia vyuo hivi.

Somo la siasa linaweza kua elective ama Co.

kumbuka chuoni ni society ya wasomi, wanahoji sio wanaomeza kila kitu wanacholishwa kama huku mitaani. pia kuna umoja wa vyuo vikuu, kule ni siasa inajadiliwa.
hao wakina Bunsen Bana, profesa Palamagamba, Kitila Mkumbo etc wanajadili siasa na ni wakufunzi wanaelewa vyema haya mambo yalivyo na muingiliano.
kwa ufupi hayatenganishiki.

kwanza ni aibu sana, kwa msomi ukimaliza chuo, watu wa mtaani wanajua ni msomi, kisha wanakuta hujui lolote kuhusu nchi yako na siasa zinazoendelea. kwa madai eti ulikua "bookworm" unasoma ili ufaulu.
how absurd?!!
 
Hiyo haijalishi, hata wakichukuliwa tuseme kupiga kura na kuchagua chama kingine hawatabadili matokeo. Ni wachache sana, jambo ni udaku umewajaaa. Kama wanaweka siasa kichagua mgombea ndio maana nahangaa kama vyama ndivyo vinaongoza hapo chuoni au?

Kwa mimi ambaye sijasoma vyuo hivyo naona kwamba ni udaku tu ndio unawajaa wanafunzi wengi sana wa miaka hii. Na mwisho wa siku tusisikie wakilalamika sijui kazi sijui nini, wakati hawana akili za hata ujuzi na maarifa. Ndio maana hawapatagi kazi miaka hii wengi wao.

Magufuli 2020 kama kawa
Kusoma ni form one chuo kukuu wanakwenda kuelimika.
 
kwanza kila chuo kina mitaala yake kutokana na fani wanazosomea. lakini vyuo vingi nchini vina toa Elimu katika field nyingi ikiwemo inayogusa siasa.

Nachotaka kukuelewesha ni kwamba Siasa ni sehemu ya vyuo.
serikali ime stick his Big nose into every university kuhakikisha kua wanaochaguliwa wana influence Serikali na sio wanaipinga. iwe kwa mikopo ya wanafunzi, mitaala, utawala, miundombinu, sera, migomo(Strikes) nk.
vyama pinzani navyo haviko nyuma kuhakikisha vinapata watu kupitia vyuo hivi.

Somo la siasa linaweza kua elective ama Co.

kumbuka chuoni ni society ya wasomi, wanahoji sio wanaomeza kila kitu wanacholishwa kama huku mitaani. pia kuna umoja wa vyuo vikuu, kule ni siasa inajadiliwa.
hao wakina Bunsen Bana, profesa Palamagamba, Kitila Mkumbo etc wanajadili siasa na ni wakufunzi wanaelewa vyema haya mambo yalivyo na muingiliano.
kwa ufupi hayatenganishiki.

kwanza ni aibu sana, kwa msomi ukimaliza chuo, watu wa mtaani wanajua ni msomi, kisha wanakuta hujui lolote kuhusu nchi yako na siasa zinazoendelea. kwa madai eti ulikua "bookworm" unasoma ili ufaulu.
how absurd?!!
Wewe huku juu kabisa ume comment kuwa umezeeka na mambo ya vyuoni si wakati wako tena!!

Imekuwaje tena??
 
Mtabakia hivyo hivyo. CCM kimechakaa. CCM hivi, mara vile lakini chaguzi za maana zikifika mnapigwa. Hata kama kimechakaa, mbadala wake bado hajaonekana. Wananchi wakiona mbadala wa kweli mbali na hawa wababaishaji wachumia tumbo ma-drug dealers bila shaka watawapa madaraka. Badala ya kuchekelea uchakavu wa CCM pengine ni bora kujisaili nini kifanyike.
 
KILICHOTOKEA UCHAGUZI WA DARUSO-MLIMANI (UDSM) NI ISHARA KUWA CCM IMECHAKAA

Na Mwl Razaq Mtele Malilo

Tarehe 20/4/2017 kulikuwa na uzinduzi wa kampeni za uchaguzi wa Rais wa serikali ya wanafunzi CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM (CKD) maarufu kama UDSM, uzinduzi uliofanyika katika viunga vya YOMBO 4 moja ya kumbi kubwa za mihadhara katika chuo hiki kikongwe Tanzania.

Katika uzinduzi huo uliojumuisha wagombea watatu wa nafasi ya urais ambao ni JOHN JEREMIAH, EMMANUEL PAUL na RICHARD AUGUSTINO.
Katika uzinduzi huo ndugu JOHN JEREMIAH alionekana kuwa na mvuto mkubwa huku akishangiliwa kwa mbwembwe mno ndani ya ukumbi akifuatiwa na EMMANUEL PAUL ambaye alishangiliwa kwa mbwembwe wenda kwa sababu tu anatokea ndaki yenye wanafunzi wengi katika chuo ambayo ni ndaki ya Insia yaani College of Humanity (COHU) na kelele hizo kuhusishwa na siasa za undaki.
Ndugu RICHARD AUGUSTINO alionekana kuwa na hoja nzuri lakini Sera yake ya kuirudisha UDSM kwenye Shirikisho la Vyuo vikuu nchini (TAHILISO) ambapo udsm ilijitoa chini ya utawala wa KITAPONDA AHADI ,Sera hii ilipelekea ndugu Richard kupingwa na wanaharakati wa Siasa za DARUSO kwa nguvu zote kwani hawaoni umuhimu wa kuwa na shirikisho hilo ambalo limeshindwa kupigania maslahi ya wanavyuo nchini.
Hii ilipelekea ndugu Richard kuonekana kupoteza ushawishi na hata tafiti iliyofanyika na Taasisi ya MALILO TRUTH GROUP (MTG) kumweka katika nafasi ya mwisho kwa asilimia ya ushindi kwa mujibu wa tafiti walioufanya.

Ndugu EMMANUEL PAUL alionekana ndiye mshindani mkubwa wa JOHN JEREMIAH lakini kadri ya siku zilivyokwenda ndugu PAUL alikuwa anapoteza ushawishi wa kisiasa na hii baada tu ya kusambaa kwa picha ikimuonesha ndugu EMMANUEL PAUL akiwa kwenye sare za CCM akiwa na makada mbalimbali wa CCM wakiwa kwenye sare na kuelezwa kuwa alikuwa anagombea uongozi ndani ya chama hiko kupitia UVCCM lakini alishindwa kwenye uchaguzi huo.
Zipo taarifa za ndani zinazosema picha hiyo ilisambazwa na moja ya kada mkongwe wa CCM hapa UDSM ambaye alikuwa akimuunga mkono ndugu JOHN JEREMIAH na lengo la kusambaza kwake ni kumkatia upepo ndugu EMMANUEL PAUL ambaye alikuwa anampa homa ndugu JEREMIAH.
Baada tu ya kusambaa picha hiyo kwenye mitandao ya kijamii hasa makundi ya whatsapp ya wanaudsm, Instagram na Facebook ilikata kabisa upepo wa ushawishi wa ndugu EMMANUEL PAUL na kumpoteza kumtoa kabisa kwenye ushindani.
Na hii ikamfanya ndugu Paul kuanguka vibaya hata kupoteza kura kwenye ndaki yake ya nyumbani ndaki ya insia na kuwa mtu wa mwisho kwenye matokeoa ya uchaguzi.

Wachambuzi mbalimbali wa masuala ya kisiasa za UDSM wanahusisha tukio hili la kutumia picha ya CCM ili kumpotezea mtu ushindi na kumchafua na hadi kupelekea kuanguka kabisa na kuwa wa mwisho ni ishara tosha kuwa CCM imechokwa hususani na wanavyuo.
Ni jambo ambalo si zuri kwa CCM kwamba mgombea yeyote ambaye atabainika ni CCM kwa dhahiri basi hawezi kushinda katika chaguzi za vyuo vikuu maslani CHUO KIKUU CHA DSM kwakuwa tu ya UCCM wake hata kama ana uwezo.
Hii inamaanisha kuwa CCM imepoteza ushawishi miungoni mwa wanajamii hususani wasomi wa vyuo vikuu.
CCM UDSM inatakiwa ikae ijiulize kuanguka kwa kifo cha mende kwa ndugu PAUL kwa sababu tu ya picha iliyosambazwa ya mgombea akiwa na makada wa CCM ikapelekea kupoteza kwa mgombea.
CCM ijiulize ni kwa nini iwe hivi ? Kisha ijitathmini imewafanyia nini wanaudsm hadi wawe na hasira na mgombea kwakuwa tu ameonekana akiwa kwenye sare za CCM na watu wakamchukia moja kwa moja hadi kupoteza kura hadi kwenye College yake ya COHU ambayo mara nyingi mgombea anayetokea college yao lazima wampe kura za kutosha.
Hili ni jambo ambalo CCM inatakiwa ijiulize na kujifunza.

Katika uchaguzi huo wa DARUSO ndugu JOHN JEREMIAH aliibuka mshindi akifuatiliwa na ndugu RICHARD AUGUSTINO na mwisho kabisa ni ndugu EMMANUEL PAUL

DEMOKRASIA NA HAKI NDIO MISINGI YA AMANI

By Mwl Razaq Mtele Malilo
BAED-UDSM
Tunaomba mgawanyo wa kura
 
Back
Top Bottom