mr chakubanga
Senior Member
- Oct 16, 2017
- 124
- 260
moja Kati ya chaguzi za kusisimua katika chuo cha daressalaam umeisha kwa makada watiifu Frank isack na matalunya evarist kupigwa chini licha ya kutamba lazima washinde hata kwa goli la mkono.
haruna Stanley kutoka kitivo cha Cohu ameibuka kidedea akiungwa mkono na wana CHASO
[HASHTAG]#Solidarity[/HASHTAG] forever
haruna Stanley kutoka kitivo cha Cohu ameibuka kidedea akiungwa mkono na wana CHASO
[HASHTAG]#Solidarity[/HASHTAG] forever