UDSM: CHADEMA yaibuka kidedea uchaguzi wa DARUSO

mr chakubanga

Senior Member
Oct 16, 2017
124
260
moja Kati ya chaguzi za kusisimua katika chuo cha daressalaam umeisha kwa makada watiifu Frank isack na matalunya evarist kupigwa chini licha ya kutamba lazima washinde hata kwa goli la mkono.

haruna Stanley kutoka kitivo cha Cohu ameibuka kidedea akiungwa mkono na wana CHASO

[HASHTAG]#Solidarity[/HASHTAG] forever
 
moja Kati ya chaguzi za kusisimua katika chuo cha daressalaam umeisha kwa makada watiifu Frank isack na matalunya evarist kupigwa chini licha ya kutamba lazima washinde hata kwa goli la mkono.
haruna Stanley kutoka kitivo cha Cohu ameibuka kidedea akiungwa mkono na wana CHASO
[HASHTAG]#Solidarity[/HASHTAG] forever
mzee chakubanga from lumumba
Uchaguzi wowote kama policcm na TISCCM hawajatia maguu lazima iangukie pua.
 
Uchaguzi wowote kama policcm na TISCCM hawajatia maguu lazima iangukie pua.
Hahahaaaa pythagoras bana, ukweli huo utakuweka kubaya kama kina lisu na saanane..... Haya majitu hayataki kusikia ukweli ila ukweli husimama na hautetereki unabakia kuwa ukweli.CCM BILA POLICCM NA TISSCCM hawana lao.na 2020 wallah watashaaa, wao wanadhani hela na mapoliccm na ma tissccm wakati wote yako upande wao, unaweza kununua wa tanzania wachache(wajinga) kwa wakati mmoja ila si watanzania wote(wajinga na werevu) wakati wote.OVER.
 
moja Kati ya chaguzi za kusisimua katika chuo cha daressalaam umeisha kwa makada watiifu Frank isack na matalunya evarist kupigwa chini licha ya kutamba lazima washinde hata kwa goli la mkono.
haruna Stanley kutoka kitivo cha Cohu ameibuka kidedea akiungwa mkono na wana CHASO
[HASHTAG]#Solidarity[/HASHTAG] forever
mzee chakubanga from lumumba
Bila polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .
 
Back
Top Bottom