UDSM: CHADEMA yaibuka kidedea uchaguzi wa DARUSO

moja Kati ya chaguzi za kusisimua katika chuo cha daressalaam umeisha kwa makada watiifu Frank isack na matalunya evarist kupigwa chini licha ya kutamba lazima washinde hata kwa goli la mkono.

haruna Stanley kutoka kitivo cha Cohu ameibuka kidedea akiungwa mkono na wana CHASO

[HASHTAG]#Solidarity[/HASHTAG] forever
Uzembe mkubwa hivi Polisi walijisahau au hawakujua kuna uchaguzi ili wawasaidie mafisiem kushinda?
 
Wanafunzi hawana shukrani hawa, yaani wamejengewa hostel halafu ndio wanaleta nini sasa?
Ni haki yao kujengewa makazi! we unafikiri wale wana akili mbovu kama sijui jingalao, rutashoborwa, lizaboni na ndezi wengine wa Lumumba?
 
Ndiyo maana hakuna profffesional graduates this era in Tanzania.
Very stupid....Yaani mzazi anasomesha mtoto awe mwana taaluma au kuwa mshabiki wa mlengo flani.
Hakika hamstahili hata mikopo ya Serikali kwakuwa hamjui mnachofanya.

Ficha ujuha wako. Chuoni hakuna watoto kuna watu wazima wanaojiamulia mambo yao wenyewe.
 
Back
Top Bottom