Mungu ana makusudi yake lbd alitaka wauaji wajifunze kitu.
walikatazwa SUASiasa si zimekatazwa vyuoni?
Ila roho inakuuma? CCM bila polisi na Tume ya uchaguzi ni wepesi kama karatasi...kwanza lichama halipendwi linatumia ubabe kupendwa!Hata mkiwabwaga chini hamtafaidika na lolote.
Unaziweza harakati?Ila roho inakuuma? CCM bila polisi na Tume ya uchaguzi ni wepesi kama karatasi...kwanza lichama halipendwi linatumia ubabe kupendwa!
Hongereni, naona marais wanaongezeka tu. Alikuwa rais wa TLS sasa wa DARUSO.
Ni Balozi wa Tanzania nchini Sweden. Maswali yako yana reflect u lumumba buku tatu!Unaziweza harakati?
Unajua gharama ya harakati?
Dr Slaa yuko wapi leo hii?
kwani wasingebwagwa tungefaidika na nini?Hata mkiwabwaga chini hamtafaidika na lolote.
Upo chuo kikuu unaandika "classment", jirekebishe bwana...Apa nimebakia dilema....matulanya classment wangu nilitaka ashinde ila kwa upande wa chama daah.....
Uzembe mkubwa hivi Polisi walijisahau au hawakujua kuna uchaguzi ili wawasaidie mafisiem kushinda?moja Kati ya chaguzi za kusisimua katika chuo cha daressalaam umeisha kwa makada watiifu Frank isack na matalunya evarist kupigwa chini licha ya kutamba lazima washinde hata kwa goli la mkono.
haruna Stanley kutoka kitivo cha Cohu ameibuka kidedea akiungwa mkono na wana CHASO
[HASHTAG]#Solidarity[/HASHTAG] forever
Ni haki yao kujengewa makazi! we unafikiri wale wana akili mbovu kama sijui jingalao, rutashoborwa, lizaboni na ndezi wengine wa Lumumba?Wanafunzi hawana shukrani hawa, yaani wamejengewa hostel halafu ndio wanaleta nini sasa?
Ndiyo maana hakuna profffesional graduates this era in Tanzania.
Very stupid....Yaani mzazi anasomesha mtoto awe mwana taaluma au kuwa mshabiki wa mlengo flani.
Hakika hamstahili hata mikopo ya Serikali kwakuwa hamjui mnachofanya.
Tatizo watz hatupendi kusikia ukweii. Baki ivo ivo.Acha kudanganya watu na kujipa moyo.
..Wabariki pia na Viongozi wake....Mungu ibariki DARUSO