Kwa msisi yetu
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 826
- 1,410
nhonya ni CCM yule
Hongereni, naona marais wanaongezeka tu. Alikuwa rais wa TLS sasa wa DARUSO.Mgombea wa Urais wa Serikali ya Wanafunzi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam alias DARUSO aliyekuwa akiungwa mkono na CHADEMA Ndugu Haroun Nhonya ameibuka kidedea katika uchaguzi huo kwa kuwashinda Makomredi wetu wa CCM Ndugu Isack Frank na Evarist Matulanya.
Utaratibu wa kumuapisha Rais mteule Nhonya unaendelea. Makomredi, pamoja na kusaidiwa na chama, wamepigwa kumbo na Nhonya. Hongereni CHADEMA. Tunajipanga kichama na tutakuja kivingine katika chaguzi nyinginezo hapo UDSM na kwingineko.
Bunge ni la kupewa taarifa au kujadili na kuipitisha bajeti!?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Lupunga, Pwani)
Yeye ni comredi, atajuaje ya akina Tundu Lissu, amesema mtajipanga upya kwenye chaguzi zingine.Tundu Lisu atahudhuria siku ya kuapishwa?
Hongera tena? mpe pole kada mwenzio.Hongereni, naona marais wanaongezeka tu. Alikuwa rais wa TLS sasa wa DARUSO.
Unawapongeza au unawakebei ......eti tutakuja kivingine.....why this statement?Mkuu, mjumbe hauwawi
Mzee Tupatupa
Tatizo wanatumia hizo nafasi kujijenga wakishakuwa maarufu wanahamia ccm kwenda kuwa wakuu wa wilaya
Mtatiro Julius ni mwadilifu sanaaa
Tena huyo sio mbumbumbu bali mbulula. Yaani mtu anayejilazimisha kutokuelewa
hahahahaha maneno ya mkosaji?Hata mkiwabwaga chini hamtafaidika na lolote.
hata wa monitor wa darasa la tatuBila polisi kutumika kuiba masanduku au kumimina risasi za moto ccm haiwezi kushinda uchaguzi wowote
haujui lolote wewe, ivi kipara kipindi kile alikuwa ccm/chadema na akina ally hapi?. ah aha a aa wote hao ni ccm waliojivika uukawa. hakuna chadema hata moja hapo wote wana kadi za lumumba. hata nhonya ni wale wale.
moja Kati ya chaguzi za kusisimua katika chuo cha daressalaam umeisha kwa makada watiifu Frank isack na matalunya evarist kupigwa chini licha ya kutamba lazima washinde hata kwa goli la mkono.
haruna Stanley kutoka kitivo cha Cohu ameibuka kidedea akiungwa mkono na wana CHASO
alisumbuliwa liniMtatiro namheshimu sana kakaza mpk Leo japo wamemsumbua sana
Julius ni binadamu mwenye msimamo!!!!!! much RESPECT Julius,Tatizo wanatumia hizo nafasi kujijenga wakishakuwa maarufu wanahamia ccm kwenda kuwa wakuu wa wilaya
Mtatiro Julius ni mwadilifu sanaaa