The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,392
- 12,976
Wala siyo Policcm bali ni tume. Tume wanajitangazia matokeo kwa maelekezo toka juu!! Ni too obvious.....!!Hahahaaaa pythagoras bana, ukweli huo utakuweka kubaya kama kina lisu na saanane..... Haya majitu hayataki kusikia ukweli ila ukweli husimama na hautetereki unabakia kuwa ukweli.CCM BILA POLICCM NA TISSCCM hawana lao.na 2020 wallah watashaaa, wao wanadhani hela na mapoliccm na ma tissccm wakati wote yako upande wao, unaweza kununua wa tanzania wachache(wajinga) kwa wakati mmoja ila si watanzania wote(wajinga na werevu) wakati wote.OVER.