UDSM: ARIS imetema

UDSM: ARIS imetema

Wallahi hiyo course hadi Leo sijui kwa nini sijasup...nlikuwa najua electromagnetic spectrum... tuuu kwingine Chengaaa...Mungu mkubwa nyiee

Hahahahah mkuuu???acha tu Mungu aitwe Mungu maaana Ile pepa ya Ue kwanza nikikumbuka kati ya Maswali ma 5 yote ya Essay....mtu unaambuliaa moja tu mengine unafanya kujibu kwa Kubahatisha.....

hahahah alafu walishikwa raiaa kibaoo wakarudi kusapuaa..na wengine walikeri kabisaa...daah Ukipita UDSM unapitia Mengi jamani...Am proud..of myslf
 
mi si wa udsm but kuna kikaka flan tulikuwa tunakiiita read more books plus 30 books i gave you. ana softcopy za vitabu vyake 30 kilá ikiuliza swali anakuambia if you dont understand today you will understand 1/2 when you read my 30 books and the rest during UE

''If you dont understand here in the Lecture room You will understand in the Examination room''

hahahaha moja kati ya kauli Matata sana za Dokta wilium.PHD
 
Ivi mtu unadisco hadi udom?we utakua kilaza wa first degree order.

Kwa maneno yako ya kike,Chuo chochote unapata GPA maharage,,,na hata kama ukibahatsha mtaani lazma utadisco...
 
Ivi mtu unadisco hadi udom?we utakua kilaza wa first degree order.

Akili yako ni ya kitoto sana.Ulisoma huko au unasimuliwa na wauza kahawa?.
Njoo usome college inaitwa CIVE,afu usikie moto wake na uliza wanaosoma hapo ikoje.UNARUDISHWA MCHANA KWEUPE.
 
Dah Nimeikumbuka Mkwawa Last Year Niliposain Out Na Kuvaa Joho.Aisee No Sweet Without Sweat
 
Kwa wale wa UDSM kitu kimetema, kwa wale wa September Conference mpeane updates za tarehe za vikao mapema...

Si tupo kwenye mambo yetu ya ukawa ww unatuletea mambo ya aris sijui ndo kitu gani
 
hahahah vijana hongereni mnanikumbusha mbalii saana...nakumbuka sana mazingira yale ya yombo,,kugombania shuttle kwenda bibo,,foleni ya ubungo,,yale mapindi hadi usiku kule theatre 1&2,,ulee msosi kiduchuu wa cafeteria,,ule usingizi mzito mle mjengoni (library) lilee joto kali la bibo...vile vyoo vichafu vya campus duuh na.mengine mengii kama cozwek,,ue,,kutoa copy madesa....kuushiwaa helaa kabla bum lingne halijatoka...yale makeleelee ya njaaaaaaaa hall2 na 5,,block c,,d,,na e
all in all najivunia kupita na kufaulu katika chuo kikuu cha dar es salaam na mungu akijalia nitarudi kwa ajili ya masters

karibuni kitaa sasa kwenye real life!!acha yale mliokua mnaigiza enzi za boom!!
Huku ni akili kumkichwaa!!utavuna ulichopanda...
Jengeni fikra katika kujiajiri zaidi na sio kuajiriwa...
Wale wa sept conf mjipange angalau muungane na wenzenu kuvaa majoho pale mlimani city huku mkipiga vipicha picha na kuweka mitandaoni daah
kuvaa yake joho asikwambie mtu...kuna raha yake hasa ukikumbuka zile changamoto za kozwek,,ue,,na ma lecturer wasio na huruma

binafsi sitoisahau kozi moja inaitwa remote sensing chini ya jamaa mmoja mtata sana anaitwa dokta willium phd ..ilkua ni balaa enzi zilee...

Karibuni saana kitaaa....

essay ndefu kama makala ya kupinga vijiji vya ujamaa wilaya ya manyoni.
 
SAMAHANi KIDOGO JAMANI,
HIVI KUPATA SAPU 4 NA MAKARAI MAWILI ARIS HAKUNA MKONO WA MTU HAPA JAMANI??

TUPEANE MBINU M'BADALA KABIISA KAMA ZIPO!
 
essay ndefu kama makala ya kupinga vijiji vya ujamaa wilaya ya manyoni.


Ni upeo wako Finyu ndio umekutuma kuwaza hayo ...
Ni upumbafu wako unaoendelea kuishi nao.
Jaribu Kuongea vitu vya maana au tafuta shughuli kama kuuza jezi ulipokua bibo....kuliko kukoment pumba ukidhani utafurahisha watu sio facebook humu..kule ulipozoea kuongea pumba zako...za blok g,,Rb,,ugum wa kozwek au kulialia bum limechelewa...
 
Ni upeo wako Finyu ndio umekutuma kuwaza hayo ...
Ni upumbafu wako unaoendelea kuishi nao.
Jaribu Kuongea vitu vya maana au tafuta shughuli kama kuuza jezi ulipokua bibo....kuliko kukoment pumba ukidhani utafurahisha watu sio facebook humu..kule ulipozoea kuongea pumba zako...za blok g,,Rb,,ugum wa kozwek au kulialia bum limechelewa...

MBONa UMEPANIKI SANA MKUU HADI UNAKOSA LOGIC?!

KWANI UONGO ESSAY YAKO SIO NDEFU KAMA KANZU ZA ASKARI KANZU WA WAKOLONI?!
 
Hakuna mkono wa mtu kijana,ulikua kozi gani kwani mkuu?nahc hapo ushadisco tayari..ila usife moyo,jipange upya.
 
Hakuna mkono wa mtu kijana,ulikua kozi gani kwani mkuu?nahc hapo ushadisco tayari..ila usife moyo,jipange upya.

NILIKUWa ILE KOZI YETU YA KUPEWA "SHOKAMOO" NYINGI ILE!

HAPA LAZIMA KUNA MKONO WA MTU-
HAIWEZEKANI KABIISA!
 
SAMAHANi KIDOGO JAMANI,
HIVI KUPATA SAPU 4 NA MAKARAI MAWILI ARIS HAKUNA MKONO WA MTU HAPA JAMANI??

TUPEANE MBINU M'BADALA KABIISA KAMA ZIPO!

Duh! Makarai yote hayo? Aisee Aris ni nyoko,me wamenikosa na hawatanipata tenaaa
 
Tengenezeni whatsapp group, mkaongee private zenu huko!
 
Back
Top Bottom