UDSM: ARIS imetema

UDSM: ARIS imetema

Hahahah vijana Hongereni Mnanikumbusha mbalii saana...Nakumbuka sana Mazingira yale ya Yombo,,kugombania shuttle kwenda bibo,,foleni ya ubungo,,Yale mapindi hadi usiku kule Theatre 1&2,,ulee msosi kiduchuu wa cafeteria,,ule usingizi mzito mle mjengoni (library) lilee joto kali la Bibo...vile vyoo vichafu vya Campus duuh na.mengine mengii kama Cozwek,,Ue,,kutoa copy madesa....kuushiwaa helaa kabla bum lingne halijatoka...yale makeleelee ya NJAAAAAAAA hall2 na 5,,block c,,d,,na e
All in all najivunia kupita na kufaulu Katika chuo kikuu cha dar es salaam na Mungu akijalia nitarudi kwa ajili ya Masters

karibuni Kitaa sasa kwenye Real life!!Acha yale mliokua mnaigiza enzi za boom!!
Huku ni akili kumkichwaa!!utavuna ulichopanda...
Jengeni fikra katika Kujiajiri zaidi na sio kuajiriwa...
Wale wa Sept conf mjipange angalau muungane na wenzenu kuvaa Majoho pale Mlimani city huku mkipiga vipicha picha na kuweka mitandaoni daah
KUVAA YAKE JOHO ASIKWAMBIE MTU...KUNA RAHA YAKE HASA UKIKUMBUKA ZILE CHANGAMOTO ZA KOZWEK,,UE,,NA MA LECTURER WASIO NA HURUMA

Binafsi sitoisahau kozi moja inaitwa REMOTE SENSING chini ya JAMAA MMOJA MTATA SANA ANAITWA DOKTA WILLIUM PHD ..ilkua ni balaa enzi zilee...

karibuni saana kitaaa....
Ni kweli kabisa maisha ya Ud ni changamotoo yan ukitka pale na 2nd upper we mtabee, but all in all tushakaribia kitaaa
 
ARIS niliyoiona leo sio ARIS ile iliyonilea na kunikuza katika GPA nzuri nimeshuudia ubakaji wa elimu.... ARIS ARIS sio mama yangu wala baba yangu..... Usipopata mabadiliko ndan ya ARIS tuyatafute UDOM....... Nimeitikia wito wa UDOM wa kujiunga nayo ili kuikomesha ARIS........ 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂watu Wana maneno

Sophia niliyemuona leo sio Sophia aliyenipenda nakunijali nilichoshuhudia ni ubakaji wa upendo..Sophia sio mama yangu wala baba yangu...usipopata mapenzi kwa Sophia uyatafute kwa Jacqueline..Nimeitikia wito wa Jacqueline..nimeamua kujiunga na Jacqueline ili kumkomesha Sophia..😀😀😀😀
 
Hahaha mkuu nishaa kusoma Mzee alipangilia maneno kwa ufasaha katika hutuba yake
 
Mkiambiwa msome hamtaki, kazi kushikana mikono na kukumbatiana na mademu kwenye macorridor ya chuo, sasa unalaumu ARIS, poleeeeeeeeeeeeeeeeee samaki poleeeeeeeeeeeee
 
Hahahah vijana Hongereni Mnanikumbusha mbalii saana...Nakumbuka sana Mazingira yale ya Yombo,,kugombania shuttle kwenda bibo,,foleni ya ubungo,,Yale mapindi hadi usiku kule Theatre 1&2,,ulee msosi kiduchuu wa cafeteria,,ule usingizi mzito mle mjengoni (library) lilee joto kali la Bibo...vile vyoo vichafu vya Campus duuh na.mengine mengii kama Cozwek,,Ue,,kutoa copy madesa....kuushiwaa helaa kabla bum lingne halijatoka...yale makeleelee ya NJAAAAAAAA hall2 na 5,,block c,,d,,na e
All in all najivunia kupita na kufaulu Katika chuo kikuu cha dar es salaam na Mungu akijalia nitarudi kwa ajili ya Masters

karibuni Kitaa sasa kwenye Real life!!Acha yale mliokua mnaigiza enzi za boom!!
Huku ni akili kumkichwaa!!utavuna ulichopanda...
Jengeni fikra katika Kujiajiri zaidi na sio kuajiriwa...
Wale wa Sept conf mjipange angalau muungane na wenzenu kuvaa Majoho pale Mlimani city huku mkipiga vipicha picha na kuweka mitandaoni daah
KUVAA YAKE JOHO ASIKWAMBIE MTU...KUNA RAHA YAKE HASA UKIKUMBUKA ZILE CHANGAMOTO ZA KOZWEK,,UE,,NA MA LECTURER WASIO NA HURUMA

Binafsi sitoisahau kozi moja inaitwa REMOTE SENSING chini ya JAMAA MMOJA MTATA SANA ANAITWA DOKTA WILLIUM PHD ..ilkua ni balaa enzi zilee...

karibuni saana kitaaa....



mkuu unataja remote sensing nisipate ucngiz leo au ustaarabu basi ngoja nile msosi maana!!!!
 
Bulayaa ,aka shangazi, aka elimumitindo alinikondeshaa saba yaani, na formative view of assessmentEp300 but mambo n swafiii nasubir joho tuuu du Ud n kebokho

Hongera mkuu
 
mkuu unataja remote sensing nisipate ucngiz leo au ustaarabu basi ngoja nile msosi maana!!!!

Ahahahahah kaka ile kitu...hapana chezeaa weka mbali na watoto ...
mambo kama

Electeomagnetic spectrum
Fussion and fission
stefan boltzman graph
IFOV
Quanta

Daah ile misemo ya Dokta wilium sasa You guys ur not serious dont rely on.these skeletons I display here...
Read more books daah...hahahaha
 
Ahahahahah kaka ile kitu...hapana chezeaa weka mbali na watoto ...
mambo kama

Electeomagnetic spectrum
Fussion and fission
stefan boltzman graph
IFOV
Quanta

Daah ile misemo ya Dokta wilium sasa You guys ur not serious dont rely on.these skeletons I display here...
Read more books daah...hahahaha



mi si wa udsm but kuna kikaka flan tulikuwa tunakiiita read more books plus 30 books i gave you. ana softcopy za vitabu vyake 30 kilá ikiuliza swali anakuambia if you dont understand today you will understand 1/2 when you read my 30 books and the rest during UE
 
Ahahahahah kaka ile kitu...hapana chezeaa weka mbali na watoto ...
mambo kama

Electeomagnetic spectrum
Fussion and fission
stefan boltzman graph
IFOV
Quanta

Daah ile misemo ya Dokta wilium sasa You guys ur not serious dont rely on.these skeletons I display here...
Read more books daah...hahahaha

Wallahi hiyo course hadi Leo sijui kwa nini sijasup...nlikuwa najua electromagnetic spectrum... tuuu kwingine Chengaaa...Mungu mkubwa nyiee
 
Mimi naomba demu ambaye kuanzia mwaka wa pili hadi wanaograduate mmoja atapata fursa ya mume(ndoa) kama wewe ni mwanadada uliyemaliza mtihani last month basi unapewa kipaumbele...! Jasiri unapata mume kirahisi kabisa
 
kwa wale wa Udsm kitu kimetema, kwa wale wa september comference mpeane updates za tarehe za vikao mapema...

Mm nitulie course yangu hata iweje lazima nirud September... labda ni kuuliza nina ngap ...???
 
Back
Top Bottom