Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,643
- 4,182
Huna akili
WE' UNATAFUTa LAWAMA TU!
Huna akili
Huna akili
Mbwiga88 usibishane na Mpumbavu utapoteza Nguvu zako bure....
SAMAHANi KIDOGO JAMANI,
HIVI KUPATA SAPU 4 NA MAKARAI MAWILI ARIS HAKUNA MKONO WA MTU HAPA JAMANI??
TUPEANE MBINU M'BADALA KABIISA KAMA ZIPO!
Seneta mtwiz sauti ya wanaaaaaaa.....hahahahaha niaje wanaaaaa.....
TALL MNYAMA
Elim mitindo byebye
Hahahah vijana Hongereni Mnanikumbusha mbalii saana...Nakumbuka sana Mazingira yale ya Yombo,,kugombania shuttle kwenda bibo,,foleni ya ubungo,,Yale mapindi hadi usiku kule Theatre 1&2,,ulee msosi kiduchuu wa cafeteria,,ule usingizi mzito mle mjengoni (library) lilee joto kali la Bibo...vile vyoo vichafu vya Campus duuh na.mengine mengii kama Cozwek,,Ue,,kutoa copy madesa....kuushiwaa helaa kabla bum lingne halijatoka...yale makeleelee ya NJAAAAAAAA hall2 na 5,,block c,,d,,na e
All in all najivunia kupita na kufaulu Katika chuo kikuu cha dar es salaam na Mungu akijalia nitarudi kwa ajili ya Masters
karibuni Kitaa sasa kwenye Real life!!Acha yale mliokua mnaigiza enzi za boom!!
Huku ni akili kumkichwaa!!utavuna ulichopanda...
Jengeni fikra katika Kujiajiri zaidi na sio kuajiriwa...
Wale wa Sept conf mjipange angalau muungane na wenzenu kuvaa Majoho pale Mlimani city huku mkipiga vipicha picha na kuweka mitandaoni daah
KUVAA YAKE JOHO ASIKWAMBIE MTU...KUNA RAHA YAKE HASA UKIKUMBUKA ZILE CHANGAMOTO ZA KOZWEK,,UE,,NA MA LECTURER WASIO NA HURUMA
Binafsi sitoisahau kozi moja inaitwa REMOTE SENSING chini ya JAMAA MMOJA MTATA SANA ANAITWA DOKTA WILLIUM PHD ..ilkua ni balaa enzi zilee...
karibuni saana kitaaa....
OOOOOOOOOOOOOOOH!
SUPEr TALL MNYAMA,
NIPE REPORT BROTHER-
PANDE ZIPI KIONGOZI??
Nipo mjini dasalama katika moja na mbili...
Sauti ya wanaaaa
SAMAHANi KIDOGO JAMANI,
HIVI KUPATA SAPU 4 NA MAKARAI MAWILI ARIS HAKUNA MKONO WA MTU HAPA JAMANI??
TUPEANE MBINU M'BADALA KABIISA KAMA ZIPO!
Tengenezeni whatsapp group, mkaongee private zenu huko!
hivi kwel ulikua chuo unasoma au unacheza.......sapu 4 na makalai mawili duhhhhhhhh
Teh teh teh....GPA ya boom ipo! Dance,dance! Shake't shake't!