UDOM second round

sijjapata na sijajibiwa mkuu katika kutapatapa ikabidi niwapigie sasa cjw majibu hayo ni yakufariji mgonjwa au yana ukweli ndani yake.nimejibiwa hivo
Wenda ikawa ivo kaka coz ata mm sijajibiwa kaka alafu kwny pc angu kuna akaunti km 5 za watu niliwaombea udom lkn wote wamekosa ...ngoja sisi tusubir
 
Wenda ikawa ivo kaka coz ata mm sijajibiwa kaka alafu kwny pc angu kuna akaunti km 5 za watu niliwaombea udom lkn wote wamekosa ...ngoja sisi tusubir
na ukifanya utafiti kila aliyejibiwa amekosa sijasikia aliyejibiwa raund ya 2 kuwa amepata. tujipe moyo yaani hapa hata ucku nikiamka nachukua PC naangalia bado sijajibiwa ila wameniambia kesho au kesho kutwa lazima watoe...la msingi tuvute subira hakuna namna mkuu.
 
mkuu usiye moyo tupo wengi hata mimi sijajibiwa ingawa rafiki zangu 2 wamejibiwa wamekosa, na ukichunguza sijasikia aliyejibiwa kuwa amepata sasa cjw sisi yaani wamechukia application zetu mpaka wamekataa kujibu sielewi...ILA NIMEWAPIGIA UDOM TECHNICAL SUPOTA mmoja kaniambia nisubir kati ya kesho na kesho kutwa kama nitakuwa sijajibiwa niwacall tena. Tecnical sapoti mwingine kaniambia waliojibiwa ni waliopata chuo zaidi ya kimoja na waliokosa..SITAKI KUSEMA KUWA AMBAO HAWAJAJIBIWA WAMEPATA HAPANA ILA KASEMA KUNA ASILIMIA KAMA 50 AMBAO HAWAJAJIBIWA WANAWEZA KUPATA...
NB ZILE NAMBA ZAO KARIBU NA PROFILE ZETU UKIWAPIGIA WANAPOKEA ILA UWE MUDA HUO HUNA HASIRA MAANA UNAWEZA KUTUMIA SAA NZIMA WAKO BIZE
Mungu atupiganie tuweze kuchaguliwa maana chakula hakiend kbx
 
Hadi sahv bdo sijapata majibu udom vp nikifungua account mpya nikatuma tena hii 3rd raund?
haiwezekani maana ulishajisajili tayari, wewe sikilizia siku mbili tatu hizi maana 3rd round mwisho ni 1/10/2018 au unaweza kuwapigia simu kuwaelezea shida yako
 
haiwezekani maana ulishajisajili tayari, wewe sikilizia siku mbili tatu hizi maana 3rd round mwisho ni 1/10/2018 au unaweza kuwapigia simu kuwaelezea shida yako
mi niliwapigia wakasema kwa wale ambao hatujajibiwa selection zetu bado zinaendelea afu nikapiga tena namb ingine akanijibu bado wapo wana update account ni nying mpaka kesho watakua washamilza ndio itaonyesha kama umepata au umekosa..........yaan kiufupi hawaelewekiiiiii
 
mi niliwapigia wakasema kwa wale ambao hatujajibiwa selection zetu bado zinaendelea afu nikapiga tena namb ingine akanijibu bado wapo wana update account ni nying mpaka kesho watakua washamilza ndio itaonyesha kama umepata au umekosa..........yaan kiufupi hawaelewekiiiiii
Daaaaaaa wanatuweka dilema xn hawa udom
 
Bora Udom wameanza kuelekea kumaliza hili ya sec round lakini chuo cha Mzumbe kinawaacha Wanafunzi dilema
 
Nmefungua udom wamejibu kwa wale ambao account hazikuw na changes toka waanze kujibu..mkeka ume tiki
 
Kuna member mmoja alisema kuwa ukiona account yako haijajibiwa Basi kuna posibilty kubw ya kuwa umechaguliwa hayo ni yakwel kbx mm nimechaguliwa nw
 
Back
Top Bottom