buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 3,145
- 6,297
Jana usiku wametoa na admission letter , medical forms , fee structure na form nyinginezo labda wanatayarisha vitu vyenu wa upload pamoja.
Chuo gani hicho kimetoa admission letter.
Jana usiku wametoa na admission letter , medical forms , fee structure na form nyinginezo labda wanatayarisha vitu vyenu wa upload pamoja.
UdomChuo gani hicho kimetoa admission letter.
sijjapata na sijajibiwa mkuu katika kutapatapa ikabidi niwapigie sasa cjw majibu hayo ni yakufariji mgonjwa au yana ukweli ndani yake.nimejibiwa hivoKwn na ww haujapata mkuu?
Wenda ikawa ivo kaka coz ata mm sijajibiwa kaka alafu kwny pc angu kuna akaunti km 5 za watu niliwaombea udom lkn wote wamekosa ...ngoja sisi tusubirsijjapata na sijajibiwa mkuu katika kutapatapa ikabidi niwapigie sasa cjw majibu hayo ni yakufariji mgonjwa au yana ukweli ndani yake.nimejibiwa hivo
na ukifanya utafiti kila aliyejibiwa amekosa sijasikia aliyejibiwa raund ya 2 kuwa amepata. tujipe moyo yaani hapa hata ucku nikiamka nachukua PC naangalia bado sijajibiwa ila wameniambia kesho au kesho kutwa lazima watoe...la msingi tuvute subira hakuna namna mkuu.Wenda ikawa ivo kaka coz ata mm sijajibiwa kaka alafu kwny pc angu kuna akaunti km 5 za watu niliwaombea udom lkn wote wamekosa ...ngoja sisi tusubir
Mungu atupiganie tuweze kuchaguliwa maana chakula hakiend kbxmkuu usiye moyo tupo wengi hata mimi sijajibiwa ingawa rafiki zangu 2 wamejibiwa wamekosa, na ukichunguza sijasikia aliyejibiwa kuwa amepata sasa cjw sisi yaani wamechukia application zetu mpaka wamekataa kujibu sielewi...ILA NIMEWAPIGIA UDOM TECHNICAL SUPOTA mmoja kaniambia nisubir kati ya kesho na kesho kutwa kama nitakuwa sijajibiwa niwacall tena. Tecnical sapoti mwingine kaniambia waliojibiwa ni waliopata chuo zaidi ya kimoja na waliokosa..SITAKI KUSEMA KUWA AMBAO HAWAJAJIBIWA WAMEPATA HAPANA ILA KASEMA KUNA ASILIMIA KAMA 50 AMBAO HAWAJAJIBIWA WANAWEZA KUPATA...
NB ZILE NAMBA ZAO KARIBU NA PROFILE ZETU UKIWAPIGIA WANAPOKEA ILA UWE MUDA HUO HUNA HASIRA MAANA UNAWEZA KUTUMIA SAA NZIMA WAKO BIZE
Itakuwa n vema sana kama ikiwa ivo mkuuKwa wale ambao hawajajibiwa **** uwezekano mkubwa wakawa wamepata Chuo kesho tena wapigieni watawapa majibu ya kueleweka
haiwezekani maana ulishajisajili tayari, wewe sikilizia siku mbili tatu hizi maana 3rd round mwisho ni 1/10/2018 au unaweza kuwapigia simu kuwaelezea shida yakoHadi sahv bdo sijapata majibu udom vp nikifungua account mpya nikatuma tena hii 3rd raund?
mi niliwapigia wakasema kwa wale ambao hatujajibiwa selection zetu bado zinaendelea afu nikapiga tena namb ingine akanijibu bado wapo wana update account ni nying mpaka kesho watakua washamilza ndio itaonyesha kama umepata au umekosa..........yaan kiufupi hawaelewekiiiiiihaiwezekani maana ulishajisajili tayari, wewe sikilizia siku mbili tatu hizi maana 3rd round mwisho ni 1/10/2018 au unaweza kuwapigia simu kuwaelezea shida yako
Daaaaaaa wanatuweka dilema xn hawa udommi niliwapigia wakasema kwa wale ambao hatujajibiwa selection zetu bado zinaendelea afu nikapiga tena namb ingine akanijibu bado wapo wana update account ni nying mpaka kesho watakua washamilza ndio itaonyesha kama umepata au umekosa..........yaan kiufupi hawaelewekiiiiii
na io j3 ambayo ni tarehe ya mwisho ku apply kwa udom naamini kuna vyuo siku io io vitakua vinapeleka majina kuhakikiwa na tcu ya third round yaan hapa tuombe tu tcu kama wameliona ili tatizo wafungue na fourth roundDaaaaaaa wanatuweka dilema xn hawa udom
Mkuu sijakuelewaNmefungua udom wamejibu kwa wale ambao account hazikuw na changes toka waanze kujibu..mkeka ume tiki
pia ni equivallence na nshapataNasubir mzumbe. Uni of arusha kwa cc with equivalence bdo majibu