UDOM second round

UDOM second round

Mmmmh jaman...... Hvi unaweza kuomba uhamisho wa chuo hata kabla ya kuanza kusoma? Na wanaweza kunitransfer direct kwenye chuo kingine?
 
Mmmmh jaman...... Hvi unaweza kuomba uhamisho wa chuo hata kabla ya kuanza kusoma? Na wanaweza kunitransfer direct kwenye chuo kingine?
ingia TCU waliweka izo information za transfer na deadline lakin kwa mi navyojua ni lazima icho chuo unachotaka kuhamia kiwe kina nafasii yaan kiufipii hii process inahitajii sanaa mguu kwa mguu ka upo serious na si kupiga simu
 
Mmmmh jaman...... Hvi unaweza kuomba uhamisho wa chuo hata kabla ya kuanza kusoma? Na wanaweza kunitransfer direct kwenye chuo kingine?
Inawezekana ukiwai na nafasi zikiwepo ,
 
mi wamenipigia simu kuniuliza kama ntaenda baada kuthibitisha ndio akaniambia itatumwa code leo au kesho maana kuna watu 800 wa multiple wanatakiwa kuwasiliana nao ndio waaze kuwatumia izo code
ok poa
 
Vipi wakuu bado tu UDOM hawajatoa majina ya second round ya diploma na certificate? Tafadhari mwenye kuyapata mapema anisaidie
 
Naombeni ushauri wana jamii. Mimi chuo cha saut kilinipigia simu kuwa nimechaguliwa pale lakini kwenye list ya majina jina langu halipo nlipowapigia wakaniambia kama chuo kimekupigia simu basi umechaguliwa lakini wazazi wangu hili swala hawaelewi nifanyeje?
 
Back
Top Bottom